Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,398
- 12,613
Nadhani hii ndio ikawa sababu kubwa ya kwanini watu wengi wanakua wagumu kuamini kuwa kila ndoto unayoipata inakuwa na maana na umuhimu wake.
Lengo kuu la ujumbe wa ndoto ni
i. Kupewa maelekezo nini cha kufanya (mawazo)
ii. Maonyo (warning)
iii. Kuoneshwa mambo ya mbele yatakayokuja kutokea.
iv. Jambo gani limetokea kwako ambalo hulioni kwa macho ya nyama.
Sasa ukiwa na matukio Mengi maovu lazima yanakuwa yanajirudia ndotoni. Ni mungu anakufunulia uwovu wako, ulivyo mwilini ndivyo ulivyo rohoni.
Mungu anaweza kukutisha katika ndoto, Anakuonesha ni wapi ulikua mjinga, wapi unakosea na nini unatakiwa kuacha. (Mahusiano yako binafsi, wewe na Mungu, mtu mwingine hawezi kusiki wala kuona)
Tafsiri ya Ndoto ukifanya mapenzi na mtu unae mjua, awe ndugu au rafiki
Niende taratibu kwa kutoa picha yake kwa upana, wengi mpate kuona fumbo lilivyofumbwa. Mungu anazungumza kwa picha au video za Mafumbo.
Kama ulisoma Geography, sekondari kwenye ile topic ya Photographer utaona jinsi gani Picha Moja tu ya mtu akichuma zao la chai, inaweza kuandika essay ya page zaidi ya moja.
Twende kazi:
Tunaelewa kwa tamaduni zetu haitakiwi kabisa kufanya mapenz na ndugu yako au rafik yako.
(Sex ni kwa wapenzi, ukifanya mapenz na rafik yako huyo kuanzia hapo sio rafik yako tena ni mpenz wako.)
Tunaelewa sex ni tendo la wanandoa, mke na mume ndio wanashiriki mapenzi
Kawaida kukiwa na kutokuelewana (conflict) kati ya Mume na mke lazima Tendo la ndoa linasitishwa, kama sio kusitishwa basi hamtaweza kulifanya kwa hisia kama mwanzo. sasa migogoro ni mingi ya kimapenz hadi watu wanatengana kabisa.
Kama hakuna mkwaluzano katika mahusiano mtafanya ngono bila shida kabisa mkichukizana tu moja kwa moja na nafasi ya kufanya mapenzi haita kuwepo.
Ndugu/rafik mkiwa hamjachukizana hamtakiwi kufanya mapenzi.
Ukichukizana na ndugu yako basi utafanya nae mapenzi.
Umeelewa Fumbo lilipo?
Kwahiyo Tafsiri ya Ndoto ya kufanya mapenzi na ndugu au rafik ni ujumbe wa jambo linatalokuja kutokea siku za mbele katika maisha.
Huyo ndugu yako utakuja kupitia katika wakatia ambao atakua na hasira na ugomvi na wewe, huoneshwi mtagombana kwenye jambo gani lakini unapewa taarifa kuwa kuna kutokuelewana kunakuja mbele.
Sasa ikiwa katika ndoto uliona huyo rafik au ndugu yeye ndie alionesha kukutamanisha kingono, basi yeye ndie atakua chanzo au mkosaji katika ugomvi wenu.
Lakini kama wewe ndio utaota unamtaka kimapenzi ndugu yako, jua wewe ndio utakua chanzo cha ugomvi.
Mungu anakuonesha kuwa wewe ndie mwenye mapungufu hukutakiwa kuweka chuki kwa jambo hilo.
Ikiwa unafanya mapenzi na mtu usie mjua basi tafsiri ni nyingine, inabadilika kabisa.
Utagundua ndio maana mara nyingi usie mpenda ndiye unaota sasa unafanyanae mapenzi,
ex wako mmeachana na umeisha amua kuendelea na maisha yako lakini cha ajabu unakuja kuota mkisex.
Unaota ukifanya mapenzi na mjomba wako, unafikiri utapata pumzi hata moja ya kumsimulia mtu ??😃😃
Note: Hii haiwahusu watu ambao hata jini likijisikia kuja kulala na wewe linaweza au wale ambao mnamajini yenu yanakujaga mfanye mapenzi.
Lengo kuu la ujumbe wa ndoto ni
i. Kupewa maelekezo nini cha kufanya (mawazo)
ii. Maonyo (warning)
iii. Kuoneshwa mambo ya mbele yatakayokuja kutokea.
iv. Jambo gani limetokea kwako ambalo hulioni kwa macho ya nyama.
Sasa ukiwa na matukio Mengi maovu lazima yanakuwa yanajirudia ndotoni. Ni mungu anakufunulia uwovu wako, ulivyo mwilini ndivyo ulivyo rohoni.
Mungu anaweza kukutisha katika ndoto, Anakuonesha ni wapi ulikua mjinga, wapi unakosea na nini unatakiwa kuacha. (Mahusiano yako binafsi, wewe na Mungu, mtu mwingine hawezi kusiki wala kuona)
Tafsiri ya Ndoto ukifanya mapenzi na mtu unae mjua, awe ndugu au rafiki
Niende taratibu kwa kutoa picha yake kwa upana, wengi mpate kuona fumbo lilivyofumbwa. Mungu anazungumza kwa picha au video za Mafumbo.
Kama ulisoma Geography, sekondari kwenye ile topic ya Photographer utaona jinsi gani Picha Moja tu ya mtu akichuma zao la chai, inaweza kuandika essay ya page zaidi ya moja.
Twende kazi:
Tunaelewa kwa tamaduni zetu haitakiwi kabisa kufanya mapenz na ndugu yako au rafik yako.
(Sex ni kwa wapenzi, ukifanya mapenz na rafik yako huyo kuanzia hapo sio rafik yako tena ni mpenz wako.)
Tunaelewa sex ni tendo la wanandoa, mke na mume ndio wanashiriki mapenzi
Kawaida kukiwa na kutokuelewana (conflict) kati ya Mume na mke lazima Tendo la ndoa linasitishwa, kama sio kusitishwa basi hamtaweza kulifanya kwa hisia kama mwanzo. sasa migogoro ni mingi ya kimapenz hadi watu wanatengana kabisa.
Kama hakuna mkwaluzano katika mahusiano mtafanya ngono bila shida kabisa mkichukizana tu moja kwa moja na nafasi ya kufanya mapenzi haita kuwepo.
Ndugu/rafik mkiwa hamjachukizana hamtakiwi kufanya mapenzi.
Ukichukizana na ndugu yako basi utafanya nae mapenzi.
Umeelewa Fumbo lilipo?
Kwahiyo Tafsiri ya Ndoto ya kufanya mapenzi na ndugu au rafik ni ujumbe wa jambo linatalokuja kutokea siku za mbele katika maisha.
Huyo ndugu yako utakuja kupitia katika wakatia ambao atakua na hasira na ugomvi na wewe, huoneshwi mtagombana kwenye jambo gani lakini unapewa taarifa kuwa kuna kutokuelewana kunakuja mbele.
Sasa ikiwa katika ndoto uliona huyo rafik au ndugu yeye ndie alionesha kukutamanisha kingono, basi yeye ndie atakua chanzo au mkosaji katika ugomvi wenu.
Lakini kama wewe ndio utaota unamtaka kimapenzi ndugu yako, jua wewe ndio utakua chanzo cha ugomvi.
Mungu anakuonesha kuwa wewe ndie mwenye mapungufu hukutakiwa kuweka chuki kwa jambo hilo.
Ikiwa unafanya mapenzi na mtu usie mjua basi tafsiri ni nyingine, inabadilika kabisa.
Utagundua ndio maana mara nyingi usie mpenda ndiye unaota sasa unafanyanae mapenzi,
ex wako mmeachana na umeisha amua kuendelea na maisha yako lakini cha ajabu unakuja kuota mkisex.
Unaota ukifanya mapenzi na mjomba wako, unafikiri utapata pumzi hata moja ya kumsimulia mtu ??😃😃
Note: Hii haiwahusu watu ambao hata jini likijisikia kuja kulala na wewe linaweza au wale ambao mnamajini yenu yanakujaga mfanye mapenzi.