Ndoa zina mambo!Mimi sio nabii ila usiku huu kuna mwanaume kaamua tu alale sebuleni kwenye makochi, amwache mkewe alale chumbani kwenye kitanda

Ndoa zina mambo!Mimi sio nabii ila usiku huu kuna mwanaume kaamua tu alale sebuleni kwenye makochi, amwache mkewe alale chumbani kwenye kitanda

Dogoli kinyamkela

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2024
Posts
2,144
Reaction score
3,459
Ndoa zina mambo!

Mimi sio nabii ila usiku huu kuna mwanaume kaamua tu alale sebuleni kwenye makochi, amwache mkewe alale chumbani kwenye kitanda.

Ee Mungu nusuru ndoa za waja wako🙏
1753222576570.jpg
 
Bora hivyo. Maana kama jamaa angefosi alalie kitanda alichonunua, basi hii post ingeletwa na mpigania haki za wanawake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom