Ndoa zetu...

Ndoa zetu...

Sijui kama ile timu ya mabazazi wa MMU imekuelewa...:A S 13:

CC: Mentor, Nicas Mtei, KakaKiiza, Vin Disel, Asprin na nani tena yule mwingine na hisi kumsahau

Hehehehe watu8 hao Team bazaz natamani hata wasione hapa maana hawakosagi sababu.

Hiyo itakuwa gegeda/gegedwa at your own risk.

Risk sio kwa mgegedaji/mgegedwaji peke yao. . .wanawaweka na wenzao kwenye risk.

Nicas Mtei hehehe, kama umestaafu utulizane kweli kweli, ule pensheni. Usiwe kama wale wazee wanaojiita wastaafu wakati wameshikilia nyadhifa serikalini.
 
Last edited by a moderator:
ha haaa, shem pensheni muda huu? wewe bado saaaanaaaaaaa, labda umeamua kuchukua break tu

Hahahaha nimeamua niache hyo kitu mapema ili isije nipa shida hapo baadye. Naamini sitarudi tena huko
 
Hehehehe watu8 hao Team bazaz natamani hata wasione hapa maana hawakosagi sababu.



Risk sio kwa mgegedaji/mgegedwaji peke yao. . .wanawaweka na wenzao kwenye risk.

Nicas Mtei hehehe, kama umestaafu utulizane kweli kweli, ule pensheni. Usiwe kama wale wazee wanaojiita wastaafu wakati wameshikilia nyadhifa serikalini.

Nimeamua iwe hivyo Lizzy cheating haina faida hata kidogo. Inaumiza sana
 
Last edited by a moderator:
Hehehehe watu8 hao Team bazaz natamani hata wasione hapa maana hawakosagi sababu.



Risk sio kwa mgegedaji/mgegedwaji peke yao. . .wanawaweka na wenzao kwenye risk.

Nicas Mtei hehehe, kama umestaafu utulizane kweli kweli, ule pensheni. Usiwe kama wale wazee wanaojiita wastaafu wakati wameshikilia nyadhifa serikalini.

eeeh
a prisoner of your own creation.......jiachie twaishi mara mmoja tu
 
eeeh
a prisoner of your own creation.......jiachie twaishi mara mmoja tu
Marytina .......

Arusha ndio home
Mama mchaga baba mngoni .......

Nimemis sana hiyo makitu,hebu tiririka na moja aiseee!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
kigezo cha watoto ndo huwa kinaniumiza sana ila kama amuna watoto tembeza tu bara barani kama pipipi
 
.. Lizzy, ushawahi ku "cheat?"
kama jibu ni Hapana, endelea na namba #1
kama jibu ni Ndio, endelea na namba #2

1. Unasubiria nini?
2. Ulijiskiaje?
 
Would i cheat to save my soul?.. NO
but to save my G.P.A?.. YES

source: vipanga
 
.. Lizzy, ushawahi ku "cheat?"
kama jibu ni Hapana, endelea na namba #1
kama jibu ni Ndio, endelea na namba #2

1. Unasubiria nini?
2. Ulijiskiaje?
nijiite Lizzy
kuchiti hupunguza kiburi na kukufanya ujiskie mdogo kwa mpenzi wako.Hii huleta natural nidhamu
 
Back
Top Bottom