Ndoa zetu...

Ndoa zetu...

mm nlikuwa napenda sana kucheat, ila na mm nlivyo geuziwa kibao roho ilivyo niuma, nme komaga....
 
.. Lizzy, ushawahi ku "cheat?"
kama jibu ni Hapana, endelea na namba #1
kama jibu ni Ndio, endelea na namba #2

1. Unasubiria nini?
2. Ulijiskiaje?

Hahahahahah Mbu bana. . .bado sijapata wa kucheat nae. .Lolz

Nipe uzoefu basi nijiandae! 😉

Marytina
Sasa my dear kama nna IOLO ndio nitafute kufa haraka kwa mapanga,bastola, presha, mgoma n.k?

Toria wewe unasimamia wapi?
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hahahahahah Mbu bana. . .bado sijapata wa kucheat nae. .Lolz

Nipe uzoefu basi nijiandae! 😉

Marytina
Sasa my dear kama nna IOLO ndio nitafute kufa haraka kwa mapanga,bastola, presha, mgoma n.k?

Toria wewe unasimamia wapi?


.....weeee, temea pembeni... Ukianza huachi!!!
 
Last edited by a moderator:
Ujumbe murua kabisa lkn wataelewaaaa . Gharama ya kucheat ni kubwa mno kuliko faida .
 
I ride wild n' free, no commitments. am too young for keepin it locked in one chicka, whats fun and adventure in that?
 
Back
Top Bottom