Ndoa zetu...

Ndoa zetu...

Mechi za nje hazina maana

Zinaishia kuleta maumivu na kutoaminika
 
1236436_1416109958614092_1925889828_n.jpg
 
Naacha kabisa tabia hiyo......................................................... E MUNGU NISAIDIE
 
tafsida ni neno linalotumika kupunguza ukali wa neno jingine
mfano:badala ya neno ''kufa'' unatumia kuaga dunia
Asante yawezekana nimekengeuka??basi nitapenda kufahamishwa juu ya neno hilo.
 
Somo zuri hili.
Natamani sote tulielewe na kufanya hiyo analysis kabla ya kuamua ku cheat!!!!

...unafikiri anaechit ana mda wa kutafakari kitu, keshaamua, baaass....ila sometimes kuna sababu, hapo ndo unapotakiwa kutafakari....
 
Somo zuri sana ila kuna mambo mengi sana ndani ya ndoa za tulio wengi yanayopelekea tujikute tunatafuta vi- bustan.
Ni jambo baya ila lina faida na hasara zake pia.
 
Nimefurahia somo lako asiyeelewa achukue akili za mbayuwayu,,,,,,,,,,,za kwake..:shock:
 
Mi nlishawahi kufanya kautafiti kangu binafsi, nikagundua kwamba ni kweli wanaume wengi wanatoka nje ya ndoa na kikubwa hasa kinacho wasukuma ni tamaa za miili yao tu ila wanawake nao wamo sana tu ila wanawake ni wasiri sana huwezi jua wanafanya kimya kimya na kwa umakini mkubwa sana no msgs no kufatanafatana ni kukutana na kumegana kila mtu anarudi kwao tena mapemaaa.
 
Katika ndoa zetu siku hizi ni kweli wanaume ndio wanaoongoza kwa kutoka nje ya ndoa zao????na ni kweli kwamba wanaume ndio wanaoumia zaidi pale wanaposikia mke wake anacheat katika ndoa?naombeni maoni yenu wadau

huwa wanafanya mapenzi na nani kama sio wanawake wengine ambao ni wake za watu pia
 
hebu tufanye experiment ndogo tu, mme atoke akacheat na mke pia atoke akacheat cku hyo hyo, halafu baada ya tendo kwa kila wasisafishe sehemu za siri then warud nyumban kila m2 aonyeshe mwenzake sehemu za siri! je nani ataumia? hapo ndo huwaga mm naumia kwamba yawezekana unaingia chumvini kumbe unasafisha manii ya mme mwenzako kwa ulimi wako....hasiraaaaaa

Umewaza mbali sana mkuu ila ni kweli wanaume huumia sana hasa wakihisi wamesalitiwa na wenza Waooo
 
hebu tufanye experiment ndogo tu, mme atoke akacheat na mke pia atoke akacheat cku hyo hyo, halafu baada ya tendo kwa kila wasisafishe sehemu za siri then warud nyumban kila m2 aonyeshe mwenzake sehemu za siri! je nani ataumia? hapo ndo huwaga mm naumia kwamba yawezekana unaingia chumvini kumbe unasafisha manii ya mme mwenzako kwa ulimi wako....hasiraaaaaa

Umewaza mbali sana mkuu,, ila ni kweli wanaume huumia sana hasa wakihisi wamesalitiwa na wenza Waooo.Tubadilike jaman
 
Back
Top Bottom