Hapana nmemkata nyuzi akiwa mwaka wa kwanza 2006,na nmemuoa mwaka 2012 akiwa na 26 na sasa mm nina 37 nae 31 sasa sijui umri upi unaosema mkuu,,nmeoa kufuata taratibu zote zinazotakiwa,kilichonifanya nimuoe nilijijloza kama yupo chuo mwaka wa kwanza na bikra yake sasa ni mwanamke gan mwngine nimtafute zaid ya huyu,,bas mungu akafanya wepes,,darasa la nne langu sijawah kulidhadau ila nmefanikiwa kupata kila nachokihitaji maishan,,sijawah kukwama kutokana na elimu yngu,sijawah kujutia kutokusoma maana sina nachokosa na ndio maana niliamua kumlipia mastars akasome china miaka mitatu bila hofu,,,,mm ndio dereva na yy ndiye msaidiz wngu,maana mm mjanja kuliko yeye,mtundu wa lugha za watu kuliko yy,nimeish nje kulko yy,nmefanikiwa kabla hata ya kumwoa yy so cjajua kipimo gan ulipimia kuamini unachokiamini.. Na ndio maaana sidanganyag elimu yangu ppte,,,