Ndoa yangu ipo ICU !dah

Kweli mpenzi mnapitia mengi halafu nyie mnajua kuvumilia shida hizi bila hata kutoa chozi ila mnaumia ndani kwa ndani..
Huko nje bidada kashakolezwa Na hisia kwa mume zimeisha. Amuache tu


Ukute mke wa mtoa mada analiwa tigo na wajanja huko nje, hlf hatoi tigo kwa mumewe Mzigua90
 
Pole mkuu Kwa changamoto hizo, mi naona hapo mapenzi yameisha, nakushauri utafute kazi tena dar, urudi na watoto wote, hamishia upendo wote Kwa watoto, kuwa busy na kazi na kusali. Punguza kunywa kwa ajili ya kumuwaza mkeo, pia tafuta mchepuko wa kupunguzia protein usije kuanza kupiga puchu!
 
Kweli mkuu inaonekana una moyo wa upendo sana na familia yako ila huyo mkewako anachanganywa na ulimbukeni wa dunia tu. Mpe likizo kwanza means achana nae kwanza kwa mda ili dunia imfunze.
 
SULUHISHO MUDA MFUPI CONT...
2.Endelea Kumwombe Mwenzi Wako Na Umsemeshe Kwa Upole Hata Kama Unaumia,shetani Hapendi Amani Na Umoja Usually Ndoa Ni Vita Against Temptations And Evils! Usisahau Kuomba Toba Kwa Ajili Yako, Yake Na Familia Yako! Ombea Upendo,umoja Na Usemi Wenu!
3. Hakikisha Umempa Nafasi Ya Kutosha Usimbane,there's A Time People Act The Way They Do As A Reaction To The External Forces!
4. Wajibu Wako Kama Mume Ni Kumpenda Mkeo Na Kutumia Akili Ku Navigate Mahusiano Yenu.
5. Watoto Wasiwe Sehemu Ya Ugomvi Wenu.
6. Onyesha Upendo Kwake Hata Baada Ya Kuondoka, Ni Upendo Tu Utakaowarudisha Pamoja Na Kumfuatilia Au Kupigana!
7. Tafuta Marriage Conseller Au Mentor Akusaidie Na Changamoto Kwenye Kipindi Hiki Cha Mpito.
8. Usimwache Mkeo,huyo Sio Mwanamke Tu,ananafasi Tofauti Na Wanawake Wengine. The Best Gift You Can Ever Give Your Kids Is To Love Their Mum Unconditionally!

If You Want More Personal Advice Let Me Know Bro!
May God Hold Your Family Together!
 
Mkeo anaitwa nani;
Kw
 
Duh,pole sana.Huyo mke wako inaonekana kabisa hajatulia,unajua shida ya wanawake wengi wa sasa wanahitaji tu kuolewa na si mume,na akisha olewa kinachofuata ni kuendelea na mambo yake bila ya kujali kuwa yeye ni mke wa mtu..
 
...kiukweli simon umenitoa machozi ndugu yangu. Nimesoma ulichoandika mara tatu tatu, nikaanza kuhisi pengine labda mimi ndio niliandika huu uzi jana usiku, ila kutokana na mawenge ya strees pamoja na usingizi,, nimejikuta nimesahau. Maana kiukweli ulichokiandika chote, kama kilivyo...ndio hali halisi niliyonayo mwenzako hivi sasa, mpaka nimeisi pengine umeniibia story.

Kiukweli haya maisha ya mahusiano, tuyaache tu kama yalivyo...."mtu mwema ukutana na bedui na bedui ukutana na mwema" sio fair hata kidogo.

Nikupe tu pole ndugu yangu, maana natamani niandike zaidi ya pole lakini nawaza...nitaandika nini, wakati me na wewe tupo kwenye boti moja.

Ila Mungu yupo....tumuachie yeye.
 
Pole sana! Fanya maombi ya kufunga kwa siku 3 ukiomba Mungu akuwezeshe kufanya maamuzi sahihi. Baada ya hapo fuata kile kitakachokupa amani ya moyo. Yawezakuwa kubaki na huyo mwanamke au kumwacha.
Naomba nilifanyie kazi hili
Huku nikianza na sala ya toba
 
Pole sana kaka!
Hayo ni maumivu ya muda yatapita tu, endeleeni kumtumainia Mungu ipo siku atawafuta machozi.
 
Wewe ni mwanaume mzuri. Unampenda mke wako na ndoa yako kiasi cha kuamua kujikana na kuacha kazi na nyumba Dar ili kuinusuru ndoa yako. Wengi wanakuona bwege lakini wanaojua maana ya kujitoa na kuwajibika wanaelewa kuwa uamuzi wako ulikuwa sahihi. Sasa hapa ulipofikia ukiendelea kutokufanya uamuzi wowote utazidi kuumia. Maisha ni yako na moyo wako unao wewe. Sisi huku tutakushauri kulingana na uzoefu wetu na machungu na visasi vyetu. Amua moja na Mungu akutie nguvu kupokea na kukabiliana na matokeo ya uamuzi wowote utakaochukua. Yaliyokupata ni ya kawaida kwa binadamu wote na halitakudhuru kama hutaogopa. Mambo yote (mema na mabaya) hutokea kwa faida ya mtu. Kuwa na imani, chukua somo uendelee na maisha.
 
Wazaz wangu wamdhafariki mkuu
Asante kwa ushauri
Huyu mdogo miwil sasa
 
Watu wa mbeya
Pole sana Simon, siku zote umuhimu wa mtu/kitu huonekana kikiwa hakipo ,kama ukifanikiwa kumove on,ndyo atakuja kukumbuka mno na itakua late tayari,
Mi nakushauri umove on tu inauma ila utazoea, watoto unaweza mwachia mpk wakifikisha umri (7yrs) nadhani utaweza kuwachukua ukawalea mwenyewe ,ila mnawasababishia watoto kuanza kulelewa na single parent jamani arrgh. afu huyo Dada aache kutuharibia CV watu wa Mbeya. Siye hatupo hivoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…