Fugwe
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,676
- 664
- Thread starter
- #81
Ogopa sana Binadamu, mtu anaweza kukuflame na ukaonekana wewe ni mbaya kumbe ukweli ni tofauti sana, unaweza kukuta huyo Mwanamke she is too nice kwa ndugu wa Mumewe kwa madhumuni maalum, mimi nimeshashuhudia Dada wa Mume akimsindikiza wifi yake kwa Mabuzi na wanatunziana siri.
Tunakoelekea ndoa wala siyo issue tena itakuwa kama ni Life style tu, na nasikia siku hizi kina Mama kile kiapo cha tuataishi milele ila kifo tu ndio kitutenganishe hawakitaki tena, wanataka kifanyiwe editing kidogo ili wawe huru.
Matola
ukistaajabu ya Musa.....its true kwamba muwamba ngoma ngozi huvutia kwake, nimejaribu kulielezea tatizo lilivyo ili nipate ushauri na maoni ya wanJF, Matola wewe ni member wa siku nyingi hoja zako zina mashiko, sasa liamini hili kuwa ni la ukweli. Kuna mwanJF ame-critise nimemuomba kama ataweza nimwambie tukutane naye sisi tukiwa wote 2 then atusikie. Wewe matola kama ni mwanaume je, huwa unampa mshahara mkeo?kama ni mwanamama mumeo anakupa mshahara wake? definitely ni very rare kuona jambo hilo, labda mapenzi yangu kwake ndiyo yamenifikisha ktk hali hii. Am burning up, acheni kejeli