Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 321
Pole sana,ugonjwa wa mapenzi unauma sana coz hauna dawa,zamani walikuwa wanalalamika sana wanawake lkn nowdaiz wanaume inawatokea,mm nimekuelewa sana lkn c kila mwanamke ni limbukeni kama huyo mkeo(sorry to say zis)imeniuma sana 21yrs watoto unao unahangaika kutafuta nn?mmejaribu kuongea na watu mbalimbali,na ndugu pia hataki kubadilika walisema u cnt force a donkey to drink water,amekumbwa na pepo wa ngono huyo,muite mwambie hujamfukuza na kama uamuzi wake bado ni huo sana,akijiskia kurudi kwa masharti ya kupima sana anakaribishwa,ukisoma bible kuna jamaa alimuoa changu na kuzaa nae watoto,changu akatoka na kuondeleza uzinzi jamaa akamsusa,Mungu akamwambia yule ni mkeo ww pekee ndo unaweza kumbadilisha nenda kule aliko beba na hela kuna jamaa kalala nae kamlipe hela mchukue mkeo!kibinadam wa sasa ni ngumu sana,pole mnoooo
Yatima,
Srce ijamkosea kihivyo, kusema kukaa pamoja uwezekano wa kutofautiana upo ni kweli can you imagine 21 yrs ya ndoa lazima mtofautiane nyakati fulani ila inategemeana mnatofautiana kwa jambo linye ukubwa gani.
Omba yasikufike, utalilia siku iendelee bila giza kuingia ili ukae nje ya nyumba bila kurudi home