Kuna uwezekano mkeo akawa limbukeni au amejiona sasa anaweza kuwa kila kitu bila wewe. Ingawa stori yako ni upande mmoja, uwezekano wa kukudhuru ni mkubwa hasa kama anatoka kwenye makabila yanayojulikana kwa tabia hiyo. Muhimu kaa ufikiri na umuite umpe ukweli wa moyoni bila vitisho wala kugusia kuwa unataka kuachana naye. Akijua kuwa una mpango huo atakuwahi na kukuharibia maisha. Ningekuwa wewe ningebadili usimamizi wa mali kiasi cha kupunguza kipato chake. Ningeweza hata kujaribu kumpunguzia hiyo biashara nikimpa somo kuwa kukaa nyumbani ni jambo muhimu. Kama anakunyima chakula cha bwana basi kuna kidudu mtu ambaye ameishamuingia. Fanya utafiti ujue kiburi chake kinatoka wapi ili ujue jinsi ya kupambana naye. Waweza kuanza ku-diversify miradi yako ili kuanza kukusanya nguvu mpya in case if anything happened. Nadhani kwa leo haya yanatosha mwanangu. POLE SANA KWA YANAYOKUKUTA.
Father of us all lol umemshauri vizuri sana. Lakini nitoe ushauri kwa wanaume wote; mke kwa asili aliumbwa kuwa msaidizi wa mwanaume siyo kwamba yuko chini yake no ila companion wake. Wana compliment character na siyo ku-substitute...Makosa ya wanaume wengi hasa wenye mapenzi mazito yasiyo na akili ni kugeuza functioning zao; yaani kichwa kuwa body na body kuwa kichwa. Tukichukulia concept ya kichwa na mwili; ni kuwa kichwa hakiwezi kufanya kazi bila mwili na mwili usio na kichwa haupo ni maiti.
Then mume hatakiwi hata siku moja kushindwa kuongoza nyumba yake kama kichwa no mater anampenda mke kiasi gani...Hapo kwenye hii ndoa ukimsoma huyo mwanaume alishindwa kum-manage mke wake mapema sana tangu awali...Huwezi mkabidhi mkeo pesa eti yeye akupangie matumizi unakaribisha roho ya baal kwenye familia. Ila pia huwezi kumficha mkeo pato na matumizi yako then it means una maintain role ya ubaba kusimamia nyumba huku ukimhisisha mkeo 100% katika maamuzi yote ya kifamilia. Pia ni kosa kutokujua matumizi na mapato ya mkeo maana kama wewe ndiye mume na wewe umemshirikisha vyote vipi yeye asikushirikishe vya kwake? Huyo siyo mke basi ni kitu kingine.
Uzoefu wangu katika kusuluhisha ndoa ni kuwa wanawake wengi kwa jinsi walivyoumbwa wasipo simamiwa vizuri na waume zao wanavuruga ndoa na mfano mzuri ni huyu mwathirika hapo...Wanaume kwakukosa maarifa wakidhani ni upendo kumbe ni kukosa kujua nini maana ya kuwa kichwa wanawaacha wake zao mpaka wanakuwa wameenda beyond repair katika ndoa.
Nini cha kufanya? Hapo kwanza tubu kwa Mungu wako kwa kukosa mbele zake na kushindwa kusimamia nyumba yako maana hiyo iko clearly stated kwenye neno la Mungu kama ni mkristo ni dhambi tena kufuru mbele ya Mungu ndiyo maana ndoa imeenda kubaya pamoja na baraka zote Mungu alizowajalia. Then ukishaomba msamaha omba kibali mbele ya Mungu na hekima ya jinsi ya kuirudisha ndoa yako. This time kuwa mkweli endelea kumpenda mkeo lakini chukua jukumu la kumweleza unavyotakiwa ku manage nyumba....Onyesha seriousness bila kuomba huruma ya mtu yeyote maana it is your responsibility....Mkeo kesha kusoma anajua wewe ni weak person so usipochukua msimamo wa kiume utaathirika. Atajidai kukutishia lakini weka msisitizo wa kiume uone ataamua lipi huku ukiendelea kuomba wisdom ya Mungu na msaada wake ili urudishe nidhamu nyumbani.