Kuna uwezekano mkeo akawa limbukeni au amejiona sasa anaweza kuwa kila kitu bila wewe. Ingawa stori yako ni upande mmoja, uwezekano wa kukudhuru ni mkubwa hasa kama anatoka kwenye makabila yanayojulikana kwa tabia hiyo. Muhimu kaa ufikiri na umuite umpe ukweli wa moyoni bila vitisho wala kugusia kuwa unataka kuachana naye. Akijua kuwa una mpango huo atakuwahi na kukuharibia maisha. Ningekuwa wewe ningebadili usimamizi wa mali kiasi cha kupunguza kipato chake. Ningeweza hata kujaribu kumpunguzia hiyo biashara nikimpa somo kuwa kukaa nyumbani ni jambo muhimu. Kama anakunyima chakula cha bwana basi kuna kidudu mtu ambaye ameishamuingia. Fanya utafiti ujue kiburi chake kinatoka wapi ili ujue jinsi ya kupambana naye. Waweza kuanza ku-diversify miradi yako ili kuanza kukusanya nguvu mpya in case if anything happened. Nadhani kwa leo haya yanatosha mwanangu. POLE SANA KWA YANAYOKUKUTA.
du! pole mkuu, mtangulize Mungu kwenye maamuzi yako utakayochukua pia usiwe na hasira. kwa muda wote mliooana, mmevumiliana mengi mpaka mmefika hapo hivyo mfanikiwe kutatua tatizo hili.
Mwanangu Fugwe usijali. Maisha ni kusaidiana. Huyu ajua hili na yule lile ilmradi maisha yanakwenda. Nimefurahi kusikia kuwa angalau nimeweza kutoa mchango. Usikubali kushindwa wala kutoa maamuzi kwa hasira au kukomoana bali kujinasua na janga ulilomo.Father of All,
Nashukuru kwa uchambuzi na ushauri ulitoa. Maana haiwezekani anichanjie ghafla, najua simulizi inaonekana ya upande mmoja lakini huwa na kaa na kufikiri ni wapi nimekosea, naona mbona sina kosa linalolingana na adhabu ninayopewa, Asante kaka
Nahitaji ushauri wenu wanaJF,
Ndoa yangu ina umri wa miaka 21 na mimi mwenyewe nina umri wa miaka 46. Katika ndoa yetu tumejaliwa kupata watoto 3. Mke wangu yeye ni mjasiria mali (siwezi kusema ni mama wa home) kwani anasimamia vijimiradi vya familia na mimi nimwajiriwa wa seriakli. Katika maisha ya ndoa mimi kama baba nimejenga nyumba 2, nina usafiri mzuri magari 3, nina mashamba 2 ya nguvu na vimifugo kidogo si haba. kati ya hivyo vyote hakuna senti iliyotoka mfukoni mwa wife. Nyumbani kama mnavyofahamu kuna facilities za kumuwezesha wife aihudumie familia kwa urahisi, kule kitchen kila kifaa cha kurahisisha mapishi kipo.
Sikilizeni tatizo lilipo, kama mnavyojua sahani zikikaa pamoja lazima zigongane, sasa ikitokea kutoelewana wife hawajibiki kwa maana sipikiwi chai, hakuna kusimamia mafundi na vibarua wataachwa wachakachue wapendavyo, achilia mbali tendo la ndoa ambalo lazima nisahau. Kaenda mbali ndugu kawaambia ninavyomnyanyasa nao bila kuuliza wameungana naye. mambo hayo ni karibu miaka 5 na zaidi hakuna maelewano ndani ya nyumba. Labda nijisemee na mimi, kweli najijua nina hasira lakini pamoja na hayo kwa miaka yote hiyo 21 ya ndoa sijawahi kunyosha mkono kumpiga wife, kurudi nyumbani usiku sio tabia yangu, sina mtoto wa nje wala small house na sijawahi lala nje hata siku moja. Nilikuwa nikipokea mshahara namkabidhi, then naomba hela ya matumizi lakini yeye hela inayopatikana kwenye vijimradi vyetu sijui inatumikaje.
Hatua tulizochukua kujaribu kupata muafaka, sisi wenyewe tumekaa several time hakuna kusikilizana ikabidi tushirikishe family friend tunakaa kidogo yanajirudia, ndugu wa pande zote wamejaribu hakuna muafaka, Hali iliyopo sisi wenyewe hatuwezi tena kuyamaliza ingawa ndio tulikuwa na dhamana ya kuyamaliza.
Nipeni ushauri, ni-sacrify kila kitu niondoke zangu? maana naona uchungu eti tugawane mali wakati najua nina madeni bank kwa ajili ya mali hizo ambapo yeye hakuchangia achilia mbali usemi wa sasa hivi kwamba mali ya ndoa ni ya wanandoa wote. Nitafute small house maana tunda nimeshanyimwa takribani mk2 sasa. Nisiwachose, maoni yenu tafadhali
Relax kaka. Hivi kweli huyo shetani unamruhusu avunje ndoa yako hivi hivi? Wewe kwa sababu ni muelewa endelea kutafuta suluhu ya hayo matatizlo, nina imani yataisha tena very soon. Bila wewe hao watoto wataathirika sana, watendeeni haki watoto wenu.
Huyo mama nahisi ni wakati wako wa kunyoosha mkono umchape makofi tena mengi ila usimtie ngeu. Omba likizo uanze kufatilia kimoja baada ya kingine, usione aibu. Ainisha makosa yake ya kishenzi yote halafu ita ndugu, jamaa na marafiki waamulie ugonvi.
Narudia tena usimruhusu shetani akakuongoza kwenye maamuzi. Mwanaume unahama unaena wapi?
Mungu akutie nguvu sana.
CAROLINE DANZI...hapo nilipo-bold naona unataka ndugu yetu achezee mvua za kutosha....
kati ya kitu asichotakiwa kufanya ni hicho na kwa kosa hilo naona kina mama ananilea nkya na kijo helen bisimba na usu mallya wanavyo-mtolea uvivu ndugu yetu na kuishia segerea kwa miaka mi-5.
na akirudi anakuta mkewe keshaolewa na anawatoto wengine wa-3 na baba mpya na mali zote zishauzwa then anakuwa chizi au anakufa hapohapo.
WANAHARAKATI WA JINSIA WANASEMA MVUMO DUME NI MBAYA...ILA DONT EVEN THINK OF TRYING OTHERWISE...MVUMO JIKE UNAUWA SI MZURI KWA MATUMIZI YA BINADAMU HASA HUKU KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA.
Nahitaji ushauri wenu wanaJF,
Ndoa yangu ina umri wa miaka 21 na mimi mwenyewe nina umri wa miaka 46. Katika ndoa yetu tumejaliwa kupata watoto 3. Mke wangu yeye ni mjasiria mali (siwezi kusema ni mama wa home) kwani anasimamia vijimiradi vya familia na mimi nimwajiriwa wa seriakli. Katika maisha ya ndoa mimi kama baba nimejenga nyumba 2, nina usafiri mzuri magari 3, nina mashamba 2 ya nguvu na vimifugo kidogo si haba. kati ya hivyo vyote hakuna senti iliyotoka mfukoni mwa wife. Nyumbani kama mnavyofahamu kuna facilities za kumuwezesha wife aihudumie familia kwa urahisi, kule kitchen kila kifaa cha kurahisisha mapishi kipo.
Sikilizeni tatizo lilipo, kama mnavyojua sahani zikikaa pamoja lazima zigongane, sasa ikitokea kutoelewana wife hawajibiki kwa maana sipikiwi chai, hakuna kusimamia mafundi na vibarua wataachwa wachakachue wapendavyo, achilia mbali tendo la ndoa ambalo lazima nisahau. Kaenda mbali ndugu kawaambia ninavyomnyanyasa nao bila kuuliza wameungana naye. mambo hayo ni karibu miaka 5 na zaidi hakuna maelewano ndani ya nyumba. Labda nijisemee na mimi, kweli najijua nina hasira lakini pamoja na hayo kwa miaka yote hiyo 21 ya ndoa sijawahi kunyosha mkono kumpiga wife, kurudi nyumbani usiku sio tabia yangu, sina mtoto wa nje wala small house na sijawahi lala nje hata siku moja. Nilikuwa nikipokea mshahara namkabidhi, then naomba hela ya matumizi lakini yeye hela inayopatikana kwenye vijimradi vyetu sijui inatumikaje.
Hatua tulizochukua kujaribu kupata muafaka, sisi wenyewe tumekaa several time hakuna kusikilizana ikabidi tushirikishe family friend tunakaa kidogo yanajirudia, ndugu wa pande zote wamejaribu hakuna muafaka, Hali iliyopo sisi wenyewe hatuwezi tena kuyamaliza ingawa ndio tulikuwa na dhamana ya kuyamaliza.
Nipeni ushauri, ni-sacrify kila kitu niondoke zangu? maana naona uchungu eti tugawane mali wakati najua nina madeni bank kwa ajili ya mali hizo ambapo yeye hakuchangia achilia mbali usemi wa sasa hivi kwamba mali ya ndoa ni ya wanandoa wote. Nitafute small house maana tunda nimeshanyimwa takribani mk2 sasa. Nisiwachose, maoni yenu tafadhali
Mimi si mshabiki wa nyumba ndogo lakini mazingira yako hayo yanaweza kushawishi uwe na nyumba ndogo. Maana kuvunjwa kwa ndoa huko sishauri kabisa. Kinachoweza kufanyika ni kujikausha tu, na kujifanya kama huoni kinachoendelea, focus kwenye watoto kuhakikisha mahitaji yao yote wanapata lakini huduma nyingine za upendo na ndoa uzitafute mahali pengine.
Kama akiona hujali, anaweza kuanza kutafuta namna ya kureconcile. Kuna watu wengi hapa mjini wanaishi kwa style hiyo. Yeye home anarudi kulala na kwa ajili ya watoto na miradi yake tu. Ila ni jambo gumu pia, though ni nafuu zaidi kuliko kuachana.