Ndoa ya Pili ni Ndoa bila kuvunja ya Kwanza?

Na pia kosa laweza kuwa si lako kama ulidanganywa kuwa hakukuwa na ndoa kabla japokuwa you were suppose to do your homework kujua background ya partner wako...........

In relation to DOWANS,hii ni drama,walijuana status zao na bado wakafunga ndoa ya pili batili........:disapointed:

Where have i indicated that ignorance is an excuse in law in my statements???

Sorry if I misqouted you... Please forgive me....
 
hapo kwenye red&bold: tupe evidensi
Ng'wanangwa, ICC kwenye uamuzi wake, haikuangalia uhalali wa parties to contract, but subject matter ya contract, kuwa jee contract ni halali?
Jee contract halali hiyo ilivunjwa?
Kama ilivunjwa jee wahusika waliathirika?.

Haijalishi Richmond/Dowans ni kapuni hewa, ila zimesaini mkataba wa halali na kuleta genereta za ukweli zikifua umeme wa ukweli.
Fidia ile ni kufidia hizo genereta za ukweli na hasara ya ukweli.
 
Mzee Mwanakijiji,
Mkuu kwanza habari za masiku, nimechungulia hapa na kukuta hiki kitu imenibidi niuvue ukimya wangu.
Hakika Tanzania tunaibiwa vibaya sana kiasi kwamba haop tuliowachagua hawaonyeshi uchungu hata chembe na wapo radhi kuipindisha sheria kwa manufaa ya wachache waliowaweka madarakani..

Kwanza kabisa hili sii swala la ndoa na wala mimi sielewi nbdoa hii (mkataba unahalalishwa vipi?.. Ikiwa Dpowans wamerithi mkataba wa Richmond inaonyesha wazi kulikuwa na makubaliano baina ya Richmond na Dowans kufikia kiwango za mauziano.. Hapa Tanesco hawapo kabisa na hata kukubali uhamishaji wa mkataba huo toka Richmond kwenda Dowans haukufikia kuhalalishwa iwe ktk vyombo vyetu vya bunge au vinginevyo..

Sasa maada mkataba wenyewe ni ule ulohamishwa toka Richmond binafsi sioni uhalali wa Watanzania kubebeshwa mzigo ambao kisheria kama navyofikiria mimi Dowans kaingizwa mkenge na Richmond hivyo kama kuna kuvunjika kwa mkataba kabla hata Dowans hawajaanza kazi nadhani ni jukumu la Richmond kuwalipa Dowans na sio Tanesco wala Watanzania..
Na kama ungekuwa ni ktaba mpya basi hapo tunaweza zungumza vinginevyo...Pia wahusika wote ni lazima wafikishwe mahakamani ule mhimili wa pili Mahakama ufanye kazi yake pasipo kuingiliwa..
 
Uhalali naozungumzia ni kwamba DOWANS ina baraka zote za BRELA ndiyo maana wakaperform as company...lakini fact ni kwamba Richmond kua haramu na kuruhusiwa kuachia DOWANS mikoba ni mchezo wa mwanasesere...haiingii akilini kuilipa DOWANS wakati kilichofanyika ni ubadilisho wa jina tu wakati menejmenti ikiendeshwa kwa remote!
Kwa maneno mengine ni kua Richmond walikua matapeli,kwa maana hiyo kila kilichofuata nyuma ni kizungumkuti tu!
 
Mzee Mwanakijiji,
Mkuu kwanza habari za masiku, nimechungulia hapa na kukuta hiki kitu imenibidi niuvue ukimya wangu.
Hakika Tanzania tunaibiwa vibaya sana kiasi kwamba haop tuliowachagua hawaonyeshi uchungu hata chembe na wapo radhi kuipindisha sheria kwa manufaa ya wachache waliowaweka madarakani..

Kwanza kabisa hili sii swala la ndoa na wala mimi sielewi nbdoa hii (mkataba unahalalishwa vipi?.. Ikiwa Dpowans wamerithi mkataba wa Richmond inaonyesha wazi kulikuwa na makubaliano baina ya Richmond na Dowans kufikia kiwango za mauziano.. Hapa Tanesco hawapo kabisa na hata kukubali uhamishaji wa mkataba huo toka Richmond kwenda Dowans haukufikia kuhalalishwa iwe ktk vyombo vyetu vya bunge au vinginevyo..

Sasa maada mkataba wenyewe ni ule ulohamishwa toka Richmond binafsi sioni uhalali wa Watanzania kubebeshwa mzigo ambao kisheria kama navyofikiria mimi Dowans kaingizwa mkenge na Richmond hivyo kama kuna kuvunjika kwa mkataba kabla hata Dowans hawajaanza kazi nadhani ni jukumu la Richmond kuwalipa Dowans na sio Tanesco wala Watanzania..
Na kama ungekuwa ni ktaba mpya basi hapo tunaweza zungumza vinginevyo...Pia wahusika wote ni lazima wafikishwe mahakamani ule mhimili wa pili Mahakama ufanye kazi yake pasipo kuingiliwa..
Mkuu Mkandara,
Tujipe pole wale wote tunaomuzwa na kadhia hii na natunguliza pole zaidi kwa sababu pesa tutalipa.
1. Kisheria mkataba wa Tanesco na Dowans ni halali, kwa sababu Mkataba wa Tanesco na Richmond ni halali kwa vile sheria yetu haikatazi kampuni kuingia mkataba wa kweli na kuleta mashine kweli.#

2.Kitendo cha Richmond kushindwa kuzalisha umeme, kiliuvanya mkataba ile uwe voidable na kilitosha kuuvunja mkataba wa awali, lakini Tanesco hawakuuvunja, kama ilivyo sheria ya voidable marriage, bali Tanesco walikubali kuurisisha kwa Dowans na Dowans wakazalisha umeme, hivyo kuikorect ile voidabilitiy ya mkataba wa mwanzo na kuufanya mkataba kuwa umetekelezwa.

3. Baada ya Tanesco kupata umeme, jenereta bado zipo, huwezi kuibuka na kudai Dowans sio halali kwa vile Baba yake Richmond hakuwa halali. Hata katika ndoa, mkeo akikuzalia mtoto ambaye unahisi sio wako, chukua hatua ndani ya miaka miwili, ikipita bila wewe kuchukua hatua zozote, usisubiri kula mafao yake na ndipo baadae usewe mwana sio wako, sheria haikulindi, na mtoto kisheria ni wa kwako utake usitake na huruhusiwi hata kupima DNA kwa vile ulijua na hukuchukua hatua.

4. Mpaka leo, mpaka kesho, hakuna sheria, taratibu wala kanuni kwa mikataba yoyote individual kufikishwa bungeni, ukiondoa mikataba ya kimataifa ambayo hufikishwa kwa ajili ya kuridhiwa tuu (ratification).

5. Wa kufikishwa mahakamani ni kina nani wakati karibu wahusika wote ni wanafanya tuu kazi ya mabwana wakubwa?. Kama Kagoda imesajiliwa hapa hapa na kila kitu ni hapa hapa na account zao ziko hapa hapa wameshindwa kuwachukulia hatua yoyote huku kila kitu kiko wazi, kuanzia pesa alichukua nani, zikaingizwa account ya nani na benefisharies ni kina nani, leo itakuwa Dowans ya Cyprus tena Off Shore Company?.
 
Ina maana ICC haikuyajua hayo? Ni kwa vipi taasisi competent kama hiyo inaweza kutoa hukumu kwa kitu kisichoeleweka vizuri? Hata hivyo ili kuondoa utata wote huo,niko mbioni kupata mfadhili amabe atabeba huo mzigo wa kulipa hilo deni.Hivyo wale wanao fanya Dowans kuwa ni mtaji wao wa kisiasa wajiandae kutafuta mtaji mwingine huo karibia utaota mbawa.
 
Mkuu Mkandara,
Tujipe pole wale wote tunaomuzwa na kadhia hii na natunguliza pole zaidi kwa sababu pesa tutalipa.

...

5. Wa kufikishwa mahakamani ni kina nani wakati karibu wahusika wote ni wanafanya tuu kazi ya mabwana wakubwa?. Kama Kagoda imesajiliwa hapa hapa na kila kitu ni hapa hapa na account zao ziko hapa hapa wameshindwa kuwachukulia hatua yoyote huku kila kitu kiko wazi, kuanzia pesa alichukua nani, zikaingizwa account ya nani na benefisharies ni kina nani, leo itakuwa Dowans ya Cyprus tena Off Shore Company?.

Well said Mkuu ingawa hapo kwenye kijani unawezaeleweka kama mmoja wa wale wanaofurahia Dowans kulipwa na hivyo kutukera zaidi tusiotaka kusikia ujumbe huo. Lakini ukweli unabakia kwamba tusijidanganye kutafuta makosa na mkosaji katika saga hili; tusije tukaishia kuwa wajinga zaidi. Tujue tu kuwa mchakato mzima wa mikataba ya Richmond na Dowans hadi kesi ya ICC ni mpango maalum wa wizi mkubwa (organised crime) unaoratibiwa vyema na uongozi wa juu wa serikali iliyopania kwelikweli kuiba mapato ya taifa kwa manufaa ya wajanja wachache wanaodhibiti hatamu za uongozi na uchumi wa nchi kama ilivyokuwa kwa EPA/Kagoda, Meremeta, n.k.

Tutajadili hadi mwisho wa dunia kutafuta kipi bora kingefanyika kuepusha kadhia hii, lakini ukweli utabaki palepale kwamba wahusika wenyewe siku zote wako hatua kadhaa mbele yetu wakitusoma kila mwondoko wetu na kuja na mikakati ya kutuzidi kete (ukija hivi, napigilia msumari; ukinikwepa hapa, nakukata kwa huu and so on). Hakuna kushinda kirahisi. Hivi sasa wanapima upepo wa kisiasa na mjadala unaoendelea kuhusu kulipa au kutolipa na kutingisha kibiriti hapa na pale ili waone ni upi wakati mwafaka na jinsi ya kukabidhiana malipo hayo.

Watanzania tujue kwa kadiri utawala huu utakavyokuwa madarakani na watu modeli ya Rostam Aziz wakiwa na nafasi na sauti nzito ndani ya chama kinachotawala (na vingine) basi tusipoteze muda kujadili matokeo. Ni kama mtu kabakwa halafu watu mnaishia kuulizana kama alipigwa ngwala au kipepsi, alishikwa mkono au kiuno, alizibwa mdomo kwa matambara au alishikiwa kisu! Total wastage of time and resources. We either find ways of getting rid of the mafia regime or keep our peace (whatever that is)!
 
Slaa anaweza kulijibu vizuri zaidi.


Slaa hana cha kujibu kwakuwa wakwakwe alivunja ndoa,ninyi CCM mbona mnamshupalia Slaa,anawakera sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa eehhhhhhhh,for your information the marriage was broken na ndoa mpya ikafungwa.Bahati mbaya mlitegemea kuisikia kwenye vyombo vya habari.
 
Mkuu Mkandara,
Tujipe pole wale wote tunaomuzwa na kadhia hii na natunguliza pole zaidi kwa sababu pesa tutalipa.
1. Kisheria mkataba wa Tanesco na Dowans ni halali, kwa sababu Mkataba wa Tanesco na Richmond ni halali kwa vile sheria yetu haikatazi kampuni kuingia mkataba wa kweli na kuleta mashine kweli.#

2.Kitendo cha Richmond kushindwa kuzalisha umeme, kiliuvanya mkataba ile uwe voidable na kilitosha kuuvunja mkataba wa awali, lakini Tanesco hawakuuvunja, kama ilivyo sheria ya voidable marriage, bali Tanesco walikubali kuurisisha kwa Dowans na Dowans wakazalisha umeme, hivyo kuikorect ile voidabilitiy ya mkataba wa mwanzo na kuufanya mkataba kuwa umetekelezwa.

3. Baada ya Tanesco kupata umeme, jenereta bado zipo, huwezi kuibuka na kudai Dowans sio halali kwa vile Baba yake Richmond hakuwa halali. Hata katika ndoa, mkeo akikuzalia mtoto ambaye unahisi sio wako, chukua hatua ndani ya miaka miwili, ikipita bila wewe kuchukua hatua zozote, usisubiri kula mafao yake na ndipo baadae usewe mwana sio wako, sheria haikulindi, na mtoto kisheria ni wa kwako utake usitake na huruhusiwi hata kupima DNA kwa vile ulijua na hukuchukua hatua.

4. Mpaka leo, mpaka kesho, hakuna sheria, taratibu wala kanuni kwa mikataba yoyote individual kufikishwa bungeni, ukiondoa mikataba ya kimataifa ambayo hufikishwa kwa ajili ya kuridhiwa tuu (ratification).

5. Wa kufikishwa mahakamani ni kina nani wakati karibu wahusika wote ni wanafanya tuu kazi ya mabwana wakubwa?. Kama Kagoda imesajiliwa hapa hapa na kila kitu ni hapa hapa na account zao ziko hapa hapa wameshindwa kuwachukulia hatua yoyote huku kila kitu kiko wazi, kuanzia pesa alichukua nani, zikaingizwa account ya nani na benefisharies ni kina nani, leo itakuwa Dowans ya Cyprus tena Off Shore Company?.
Pasco, una maanisha kuwa ndo maana waswahili wanasema kitanda hakizai haramu:disapointed:
 
Nakubaliana na Pasco. Kulipa ni lazima tulipe - kisheria. Ila tuwashughulike waliotufkisha hapa. Tunapata shida sana kuzungumzia tattizo letu la uongozi legelege tunakazana kutaka kujenga nchi ya warushi wa kibiashara. Nani waliotuongoza kuingia mkataba na Richmond? Nani aliouhaulisha mkataba huo kwa Dowans? Nani aliyevunja mkataba na Dowans? Katika maswala yote haya watanzania tulikuwa na wenzetu tuliowaamini watuwakilishe kwenye hayo majadiliano - tukagharimia mahudhurio yao kwa kodi zetu. Kwa nini leo tunachelea kuwachukulia hatua hawa wenzetu tunatafuta watu wa Costa Rica ambao hatuwajui? Mimi nasema tulipe Dowans kisha serikali ya JK tuishughulikie kikamilifu, ikiwa ni pamoja na kuwafikisha mahakamani wale wote walihusika moja kwa moja.
 
Mzee Mwanakijiji, mkataba wa ndoa ndio mkataba pekee katika ya mikataba yote ambao unaweza kuingia kwa hiari, lakini kamwe huwezi kuuvunja kwa hiari, ni mahakama pekee ndio yenye mamlaka ya kuuvunja tena ikiridhishwa na sababu. Pia ndio mkataba pekee ambao hauna haki ya ku huishwa!.

Mikataba mingine yote, mnaingia kwa hiari, na mnaweka vifungu vitakavyopelekea mkataba huu kuvunjika pamoja na haki ya ku huishwa kwa mkataba husika.

Kwa hiyo kisheria, ndoa ya serikali na Richmond inahuishwalika kihalali kwa paende mbili kuridhia bwana mpya au bibi mpya. Kwa mujibu wa mkataba ule, ulikuwa kama ndoa ya Ki Hindu kwa Bwana ni Richmond na serikali ya Tanzania ndio iligeuzwa bibi, lakini kikawaida, anayalipa mahari ndio huwa bwana, na anayelipiwa ndio huwa bibi.

Anayelipa mahari ndio hupanga anataka nini, (Tanesco) na kumtogoza bibi (Richmond), ukimwambia unataka nini, naye hupanga bei, mkikubaliana ndoa kufungwa kama ilivyofungwa.

Mkataba na masharti ya mkataba ilikuwa ayatayarishe bwana, Tanesco, lakini kutokana na kubabaika na uzuri wa sura, bwana akamwachia bibi ayatengeneze na yeye akabakia, kutia mkono tuu akiamini ni mapenzi ya dhati.

Baada ya ndoa kufungwa, licha ya Bibi Richmond kushindwa kutoa huduma, na hapa ndipo kwenye moja ya vipengele vywa kumalizika ndoa hiyo kwa amani, kama Bibi Richmond, angekubali kui consumate hii ndoa lakini rigwaride likamshinda, angekuwa na haki ya kuomba talaka na mkawanya mali mliochuma kwenye ndoa yenu.

Lakini ndoa hii ya Tanesco na Richmond, haikuwahi kuwa consumated, hivyo inageuka ni void ab-initio yaani ndoa imefungwa lakini hakuna ndoa, kinachotakiwa kufanyika ni kwenda mahakamani ili mahakama iibatilishe ndoa ile. Baada ya Richmond kushindwa kutimiza masharti, na bwana alistahili kurudishiwa mahari yake, au wangekubaliana kila mmoja kuubeba msalaba wake.

Cha ajabu badala ya bwana Tanesco kuomba kuibatilisha ndoa, bibi Richmond akakiri kwa bwana, kuwa ndoa imemshinda, ila atamletea mwanamke mwingine Bingwa kuikamilisha ndoa ile, na mwanamke bingwa ndio Dowans na bwana hata kabla hajaulizwa na kukubali, mzazi wa bwana, Tanesco, ambaye ni serikali, akamlazimisha mwanae, amkubali mwanamke mpya na ndoa ikahuishwa na ikaendelea.

Ingekuwa ni ndoa ya kweli, hakuna ku huishwa, lakini ndoa ya kimkataba, uhuishwaji huu ni halali, ndio maana ICC ikazingatia kuwa mkataba ule ni halali.

Mzee Mwanakijiji, na wengine wote mnaoitakia nchini yetu mema, tutajadili na kujadili lakini kwa mkataba ule niliouona humu, tumefungwa mikono na miguu, hatuna pa kutokea, pesa zile ni lazima tulipe, tupende, tusipende, vingevyo viongozi wetu wajivike ujasiri kama wa Nyerere na kusema, " to hell with ICC", hao wawekezaji na waondoke tuu, watuachie madini yetu, tutayachimba hata kwa kucha, na almasi zetu tutachezea bao!.

Pasco, thanks for ur deep analysis but naomba niongeze yafuatayo:- Let say Tanesco(bi arusi), Serikali(baba wa bi arusi/walii) na Richmond na Dowans ni ma bw.arusi); then ili ndoa iwe halali ni lazma ipate idhin toka kwa walii(ndiye anayejua trend ya ndoa za bintiye). Kitendo cha walii kumuoza bintiye(Tanesco) kwa bwana wa pili(Dowans) means amejiridhisha kuwa bintiye ameachika salama kwa bwana wa kwanza(Richmond) hivyo hiyo ndoa kisheria ni halali kabsaaa! Kumvunjia mkataba bwana wa pili kwa kisingizio cha kwamba ndoa ya kwanza ni batili ni kosa na walii(Serikali) haina budi kumlipa mvunjiwa mkataba simply asingelimfungisha ndoa ya pili bila kujua fact ya ndoa ya kwanza! Kwa uchambuzi wa namna hii,bwana wa pili(dowans) alipwe tu(japo naumia kwelkwel). Tena nna wasiwasi kuwa hata huyu bwana wa kwa kwanza huko mbeleni atamshtaki walii(Serikali) ili naye alipwee kwa kisingizio ndoa yake bado halali na wanapendana bi arusi(kwani umeme ambayo ndo sbb ya ndoa yao hamna ati)!
 
Mzee Mwanakijiji, mkataba wa ndoa ndio mkataba pekee katika ya mikataba yote ambao unaweza kuingia kwa hiari, lakini kamwe huwezi kuuvunja kwa hiari, ni mahakama pekee ndio yenye mamlaka ya kuuvunja tena ikiridhishwa na sababu. Pia ndio mkataba pekee ambao hauna haki ya ku huishwa!.

Mikataba mingine yote, mnaingia kwa hiari, na mnaweka vifungu vitakavyopelekea mkataba huu kuvunjika pamoja na haki ya ku huishwa kwa mkataba husika.

Kwa hiyo kisheria, ndoa ya serikali na Richmond inahuishwalika kihalali kwa paende mbili kuridhia bwana mpya au bibi mpya. Kwa mujibu wa mkataba ule, ulikuwa kama ndoa ya Ki Hindu kwa Bwana ni Richmond na serikali ya Tanzania ndio iligeuzwa bibi, lakini kikawaida, anayalipa mahari ndio huwa bwana, na anayelipiwa ndio huwa bibi.

Anayelipa mahari ndio hupanga anataka nini, (Tanesco) na kumtogoza bibi (Richmond), ukimwambia unataka nini, naye hupanga bei, mkikubaliana ndoa kufungwa kama ilivyofungwa.

Mkataba na masharti ya mkataba ilikuwa ayatayarishe bwana, Tanesco, lakini kutokana na kubabaika na uzuri wa sura, bwana akamwachia bibi ayatengeneze na yeye akabakia, kutia mkono tuu akiamini ni mapenzi ya dhati.

Baada ya ndoa kufungwa, licha ya Bibi Richmond kushindwa kutoa huduma, na hapa ndipo kwenye moja ya vipengele vywa kumalizika ndoa hiyo kwa amani, kama Bibi Richmond, angekubali kui consumate hii ndoa lakini rigwaride likamshinda, angekuwa na haki ya kuomba talaka na mkawanya mali mliochuma kwenye ndoa yenu.

Lakini ndoa hii ya Tanesco na Richmond, haikuwahi kuwa consumated, hivyo inageuka ni void ab-initio yaani ndoa imefungwa lakini hakuna ndoa, kinachotakiwa kufanyika ni kwenda mahakamani ili mahakama iibatilishe ndoa ile. Baada ya Richmond kushindwa kutimiza masharti, na bwana alistahili kurudishiwa mahari yake, au wangekubaliana kila mmoja kuubeba msalaba wake.

Cha ajabu badala ya bwana Tanesco kuomba kuibatilisha ndoa, bibi Richmond akakiri kwa bwana, kuwa ndoa imemshinda, ila atamletea mwanamke mwingine Bingwa kuikamilisha ndoa ile, na mwanamke bingwa ndio Dowans na bwana hata kabla hajaulizwa na kukubali, mzazi wa bwana, Tanesco, ambaye ni serikali, akamlazimisha mwanae, amkubali mwanamke mpya na ndoa ikahuishwa na ikaendelea.

Ingekuwa ni ndoa ya kweli, hakuna ku huishwa, lakini ndoa ya kimkataba, uhuishwaji huu ni halali, ndio maana ICC ikazingatia kuwa mkataba ule ni halali.

Mzee Mwanakijiji, na wengine wote mnaoitakia nchini yetu mema, tutajadili na kujadili lakini kwa mkataba ule niliouona humu, tumefungwa mikono na miguu, hatuna pa kutokea, pesa zile ni lazima tulipe, tupende, tusipende, vingevyo viongozi wetu wajivike ujasiri kama wa Nyerere na kusema, " to hell with ICC", hao wawekezaji na waondoke tuu, watuachie madini yetu, tutayachimba hata kwa kucha, na almasi zetu tutachezea bao!.[/QUOTE]
Mkuu Pasco umeelezea kwa ufasaha sana lakini as long as wote tumeshasikia kwamba huu ni mpango wa watu watatu wa hapahapa kwetu kujianda na uraisi 2015 inabidi tuwe majasiri kama ulivyosema.,,ANGALIA HAPO KWENYE RED" tuone kama wawekezaji wataondoka!!!!!
 
Mifano yako ni batili..tunaongelea contract za kibiashara (Doawans vs. Tanesco et.al)

Huwezi kulinganisha na Ndoa, mkataba wa kijamii kubwa zaidi unahusisha dini imani na hisia??

Incentives, motives na objectives ya mkataba wa ndoa na kibiashara ni kama mbigu na ardhi

mwkjj tuombe radhi sisi wenye kuheshimu dini zetu.
 
Labda tuseme hivi: Kama Richmond na Dowans waliingia mkataba wa kuhamisha mkataba wa Richmond na Tanesco kwenda Dowans kabla na bila idhini ya Tanesco, na wakaanza kuutekeleza mkataba huo bila Tanesco kujua wala kuiambia Tanesco halafu baadaye Richmond/Dowans wanashtuka kuwa wamefanya kosa la kisheria kwani ule mkataba ulisema huwezi kuuhamisha bila idhini ya Tanesco je wangefanya nini? Sasa tuseme kuwa baada ya kugundua kosa hilo la kisheria Richmond inaifuata Tanesco na kuwaambia wanataka kuhamisha mkataba kwenda Dowans, na Dowans wanakuja na kusema wako tayari kuchukua mkataba na baada ya majadiliano mkataba unahamishwa tena mara ya pili (ili kuridhisha matakwa ya kisheria) je ule mkataba wa pili wa kuhamisha uko halali? Hasa ikizingatiwa kuwa Richmond na Dowans walikuwa tayari wameshapeana mkataba na kujifunga kisheria bila ya kuishirikisha Tanesco?

Itakuwaje kama Dowans inatambua ule mkataba wa kwanza na siyo ule wa pili wakati Tanesco inajua mkataba wa pili lakini ilikuwa haijui mkataba ule wa kwanza uliofanywa sirini?
 
Bila kumtaja Dr.Slaa hupati usingizi. Una kazi kweli kweli. Msg. sent na umeelewa kwa ujumla. Tunashukuru kwa hilo. Lingine????

Mara nyingi mtu akikuzungumzia sana hata mahali ambapo hapahusu ujue wewe ni threat kwake, and most likely anakukubali sana sema anavikwazo vingi vinavyomfanya asiweze kukueleza. Dr. Slaa sio mbunge tena, lakini he is a threat to the other side. They talk about him even when he does not fit in that topic.
 
Mkuu Sheria ya ndoa inasema ni lazima hiyo ndoa itangazwe kwa muda wa anagalu mwezi mmoja ili kama kuna pingamizi basi liwekwe wazi ili ndoa ikifungwa iwe halali,
Kwa hiyo ndoa itakapowekwa hadharani ni lazima tutasema huyu mwanamke bado ana mume na ajaachika kihalali hivyo hapaswi kuolewa mpaka avunje ndoa yake ya mwanzo

Same na mikataba Mkuu, Mikataba mikubwa ikishawekewa proposal inapaswa kuwa Public ili watu waweze kuijugde, sasa kama ndoa ya kwanza ya Richmond haikuwa halali, iweje ndoa ya Dowans iwe halali, huo uhalali unatokea wapi?
 
Mwaka huu tumeuanza vibaya...mjadala huu unagusa hisia nyingi - kisheria wananchi wanajiskia kusalitiwa siyo tu na wanasheria waliokuwa na dhamana ya kuweka maslahi yao mbele, bali hata Serikali yao ambayo wameiweka madarakani iwaongoze.

Mwananchi wa kawaida mjadala wa technicallities za kisheria hauwezi kumwingia akilini hata kidogo! Mwananchi wa kawaida anaangalia haki siyo kufuatana na vipengere vya kisheria bali "haki ya asili" - haki inayoonekana kwa mtizamo wa logic. Kwamba kwanini alipishwe mabilioni yote hayo ilhali kwanza hakuhusika kwenye majadiliano hayo na pia huduma husika haipati.Ninaweza kuamini kuwa pengine umeme ungekuwa umepatikana tena kwa bei nzuri inayomridhisha mwananchi huenda mjadala wa kuwalipa au kutokuwalipa Dowans usingekuwepo.

Kwa upande mwingine, kama ni sheria, basi mwananchi anategemea iwe na "haki sawa kwa wote" - kuna madeni mengi ambayo hadi leo serikali haijalipa kwa kisingizio kuwa hakuna pesa.Mfano mzuri ni deni la wastaafu wa EAC.... kama pesa hakuna ya kuwalipa, inakuwaje DOWANS wao walipwe ( hata kama ni TANESCO WAMELAZIMISHWA KULIPA ) ilhali kuna wenye kuhitaji zaidi?

Tukiacha huu mjadala wa ndoa batili nk. Nadhani hili swala la DOWANS litaweka precedent nzuri sana ya kuona umuhimu wa kupambana na uzembe wa watendaji katka vyombo vya umma. Haiwezekani watu wasomeshwe na kuajiriwa kama wataalamu halafu washindwe kufanya " preventing lawyering"! Kila leo unasikia watu wanapelekwa kwa kozi fupifupi kama ILI( International Law Institute) Washington DC , IDLI ( Int.Development law Institute) kule Roma Italy na kwingineko kwingi kwa gharama kubwa sana - huko wanafundishwa courses tailor-made on negotiating, aribitration, mining and energy contracts, etc... in maana hawaendi kujifunza bali kutalii ?? Sitaki kuamini ndivyo.Sasa ujuzi huu kama hawautumii kwa manufaa ya nchi kwanini wanagharamiwa? Je uzembe kama huu unapotOkea kwanini wasiadabishwe kwa kufukuzwa kazi?Kwanini mwananchi ndio awe wa kuumia kila mara?

IMEFIKA MAHALI WANASHERIA WANADHARAULIKA SANA KWA SABABU YA MATUKIO KAMA HAYA.WANAPASWA WASIMAME WAWE WA KWANZA KUANZISHA VITA DHIDI YA UFISADI NDANI YA TASNIA YA SHERIA.

Samahani kama nimetoka nje ya mada lakini nimeona tuangalie maswala haya pia.
 
Mkuu Mkandara,
Tujipe pole wale wote tunaomuzwa na kadhia hii na natunguliza pole zaidi kwa sababu pesa tutalipa.
1. Kisheria mkataba wa Tanesco na Dowans ni halali, kwa sababu Mkataba wa Tanesco na Richmond ni halali kwa vile sheria yetu haikatazi kampuni kuingia mkataba wa kweli na kuleta mashine kweli.#

2.Kitendo cha Richmond kushindwa kuzalisha umeme, kiliuvanya mkataba ile uwe voidable na kilitosha kuuvunja mkataba wa awali, lakini Tanesco hawakuuvunja, kama ilivyo sheria ya voidable marriage, bali Tanesco walikubali kuurisisha kwa Dowans na Dowans wakazalisha umeme, hivyo kuikorect ile voidabilitiy ya mkataba wa mwanzo na kuufanya mkataba kuwa umetekelezwa.

3. Baada ya Tanesco kupata umeme, jenereta bado zipo, huwezi kuibuka na kudai Dowans sio halali kwa vile Baba yake Richmond hakuwa halali. Hata katika ndoa, mkeo akikuzalia mtoto ambaye unahisi sio wako, chukua hatua ndani ya miaka miwili, ikipita bila wewe kuchukua hatua zozote, usisubiri kula mafao yake na ndipo baadae usewe mwana sio wako, sheria haikulindi, na mtoto kisheria ni wa kwako utake usitake na huruhusiwi hata kupima DNA kwa vile ulijua na hukuchukua hatua.

4. Mpaka leo, mpaka kesho, hakuna sheria, taratibu wala kanuni kwa mikataba yoyote individual kufikishwa bungeni, ukiondoa mikataba ya kimataifa ambayo hufikishwa kwa ajili ya kuridhiwa tuu (ratification).

5. Wa kufikishwa mahakamani ni kina nani wakati karibu wahusika wote ni wanafanya tuu kazi ya mabwana wakubwa?. Kama Kagoda imesajiliwa hapa hapa na kila kitu ni hapa hapa na account zao ziko hapa hapa wameshindwa kuwachukulia hatua yoyote huku kila kitu kiko wazi, kuanzia pesa alichukua nani, zikaingizwa account ya nani na benefisharies ni kina nani, leo itakuwa Dowans ya Cyprus tena Off Shore Company?.
Mkuu wangu tatizo letu sisi Watanzania ni kubuni kila kitu kulingana na sheria hali hatufahamu kilichotokea haswa... chunguza vizuri utaona kwamba Dowans na Richmond walipeana mke (Tanesco) pasipo mke kujua ukweli hadi siku ya unyumba..

Kuna kisa kimetokea hapa Dar mitaa ya Temeke ambapo jamaa mmoja alikwenda chumbia mke akakubaliwa na mahali ikatolewa, lakini siku ya kwenda chukua mke alikuja mtu mwingine kabisa na kudai yeye ni mshenga tu amekuja chukua mke kwani yule mume amjuaye bibie anaumwa hakuweza kufika..

Wazee wakakubali udhuru huo wakampa mke huyo Mshenga, na jamaa akachukua kitu hadi kwake..Usiku ulipofika mume haonekani kisha ndio jamaa akamwabia binti kwamba mume halisi ni yeye na yule alokuja kuchumbia alikuwa mchenga tu, akidai kwamba lini uchumba ukapelekwa na mume kama sii mshenga?..Yule jamaa alokuja chumbia ndiye mwongo kudai kuwa yeye ndiye anataka kuoa - Umeona eeeeh!

Mke akaja juu akamnyima jamaa unyumba na kuomba taraka yake..Haya wewe kuwa mwamuzi hapa taraka inaswihi au ndio bibie abebe mzigo huo maadam ndoa ilishafanyika.

Mbali na haya mkuu wangu Richmond na Dowans ni kanyaboya lililoandaliwa na viongozi wetu kuiweka nchi yetu hapa tulipo leo kwa makusudi kabisa na kinyume cha sheria tena sii moja tu. Kukubali upumbavu huu ndio umetupelekea kuendelea kutawaliwa kwa sababu tunatumia sheria kujimaliza wenyewe hali mafisadi hawatumii sheria yeyote..
Uhujumu Uchumu hauna sheria..
 
Back
Top Bottom