Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

Kuna dada ana chnl yake inaitwa Tamtam huwaga anatoa bonus tunaona hata mapaja, fanya kama yeye TCRA hawatakusumbua.
Aisee
Me nimeokoka naenda Mbinguni,
Labda Mungu ahairishe kuwa hatuendi Mbinguni nitaonyesha 😂😂😂
 
Mlokole anatakiwa kuanza mautundu jikoni sijui bafuni kabla ya kiolewa?
Kwanza mkichumbiana si amtakiwi kukaribiana?
Mautundu mengi au viungo kungwi wanaume huja kukulalamikia shoga yangu?
Halafu ndoa hainaga fundi kwakweli, ni kushukuru Mungu ukimpata chaguo lako/lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me nasema hivi tendo la ndoa labakia pale pale
Wether umeokoka au la
Nimekwambia Mungu ananyeshea mvua na kuchomozea jua waliookoka na wasiookoka na wapagani pia
Sasa kwanini tendo la ndoa liwe la wasiookoka Tu??
Me nimeokoka pale pale na ndoa yangu nailinda Kwa staili zote, ilimradi sizini nje ya ndoa yangu, ntabinuka mpaka Mbinguni[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Cc: Smart911 mahondaw KENZY 50thebe Extrovert

[emoji38] utabinukia nini hicho mpaka mbinguni?
 
Upo na mkeo nyumbani halafu nguo anazo vaa ni Yale magauni marefu wana yaita " Yesu ni Mwamba"
HELL NOOOOO!!!!

Uzuri wa kuwa na MKE nyumbani awe nusu uchi nusu uchi

Magauni peleka Kwa Baba ako mzazi
Yesu ni mwamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom