Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

nimefurahi
Ujumbe mzuri Sana,itabidi tupunguze upendwa
Tatizo walokole muda mwingi tunakuwa rohoni(I'm joking)

Nitajitahidi kufwata huu ushauri muda wa kuingia kwenye ndoa ukifika,naamini hawatakosekana mashangazi na watu wazima wa kunifunda.

The Monk umepita huku?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nna experience ya ukungwi plz nione, nkufunde wallah ndoa utaiweka kiganjani huku uki slay kweny magwasumin ya pedeshee wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimeokoka, ndio mwaka WA 30 sasa nipo ndani ya YESU, ukubali ukatae hainihusu
Lakini sicho kilichonileta hapa, kilichonileta hapa ni hii kitu inaitwaga "NDOA"

Ndoa Bwana hainaga mwenyewe, Mungu aliotoa ndoa Kwa waliookoka, wapagani na wasiookoka, huu NI ukweli na hakuna upendeleo, kama vile mvua na jua vinavyowashukia watu wote Duniani, waovu na watakatifu

Nachopenda kushauri wale nduguzangu waliookoka tunaotarajia kwenda Mbinguni, ikija kuhusu Swala la "NDOA" bwana tumia akili Sana alizokupa mwenyezi MUNGU

Kwa Mfano:
1. Kabla haujaolewa kuna Yale mavazi ilikuwa unatupia mumeo akakutamani nayo anakuweka kichwani ukamchanganya mpaka akakuwowa! Yale mavazi skuhizi mbona hauvai, hata mkiwa na mumeo wawili?!

2. Yale mauno ulikuwa unayakata kabla hujaokoka Kwa mumeo, skuhizi mbona haumkatii unasema Mungu hapendi?

3. Yale maneno machafu yaleeee... Ulikuwa unamwambia mumeo mpaka anasimamisha mkiwa wawili chumbani, mbona skuhizi haumuongeleshi tena?! Kisa umeokoka au?! Jamani mnafeli wapi wenzetu??

4. Ule utundu utundu ule WA tendo la ndoa, ulokuwa unaufanya sebuleni, kwenye gari, jikoni, bafuni, ulikuwa ukimchanganyia NAO mumeo katika kukoleza penzi Lenu, mbona skuhizi hauufanyi?? Shetani gan amekubadilisha?

Ndio Biblia umesema Ndoa na iheshimiwe na watu wote, lakini haijasema uonekane mchovu na kilaza WA Mapenzi au ukaushe "OUR SEX LIFE katika ndoa yetu au uanze kunihubiria Kila unapoambiwa na mume umpe Haki yake pale linapokuja swala la Unyumba ndani ya ndoa.

Msimpe shetani nafasi walokole wenzangu, me kwenye swala la Unyumba na tendo la ndoa ulokole naeekaga pembeni Kwanza, staki mchezo kabisa nipo serious
Tena nahakikisha kiuno nakikata kama feni mbovu
Au nakosea wajameni?!

Nipo hapa ofisini narekodi kipindi cha YouTube cha kuhusu ndoa ya waliookoka na wasiookoka ipi inapendeza zaidi??
Upo Sahihi..!

Hii hata Mlokole akipinga basi ni MNAFIKI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom