Ndoa imenizawadia kiharusi

Pole sana mkuu, huenda tatizo halikuwa ndoa tatizo lilikuwa kumpenda binadamu kwa kiwango kusichostahili.

Kumpenda binadamu mwingine kupindukia ni tatizo la akili linalohitaji tiba ya kitabibu kabla halijaleta madhara ni vile tu Africa huwa tunapuuza ila inatakiwa kuwe na hosp maalum ambazo kuna kevel mtu akipenda akimbizwe hospitali.
 
Cool down
 
Kupenda sana Kunakufanya uwe mtumwa kwa asiyena mapenzi ya kweli nawe
 
Pole sana kaka
 
Mkuu, wala hili si tatizo iwapo mwanaume hajapenda kupitiliza, nadhani mapenzi kupitiliza ndo tatizo kuu.

Mtu mwenye mipaka katika kupenda, akili yake huwa haishindwi kuhandle mihemko ya mahusiano, iwe ndoa au mahusiano ya kawaida. So akiona mwanamke anamfaa atamuoa kwa kufata taratibu na akileta shida atadeal naye kiutu uzima.
 
Kabisa.
Japo wanaume mna matukio.lakini huwa nasikitika sana mwanaume akinyanyasika.
 
Hili si tatizo iwapo mwanaume hajapenda kupitiliza, nadhani mapenzi kupitiliza ndo tatizo kuu.

Mtu mwenye mipaka katika kupenda, akili yake huwa haishindwi kuhandle mihemko ya mahusiano, iwe ndoa au mahusiano ya kawaida. Akiona mwanamke anamfaa atamuoa kwa kufata taratibu hata kama walishapata watoto na akileta shida atadeal naye kiutu uzima.
 
Safi sana
 
Kupenda sana Kunakufanya uwe mtumwa kwa asiyena mapenzi ya kweli nawe
Mkuu hata akiwa na mapenzi nawe hupaswi kupenda kupitiliza, ni tatizo. Ukiona unapenda kupitiliza chukulia kama dalili za ugonjwa hatari hatari wa akili.

Ukishaanza kufanya maamuzi out of mapenzi badala ya uhalisia ndo umeshachanganyikiwa hivyo ni vile dunia imefumbia macho huu ugonjwa wa akili.
 
Ni sahihi, nimepitia haya mkuu.... kidogo tu unakuwa mtu wa kulialia
 
Ndoa ndoano
 
Unakuta mtu anahofia kumuacha Mke kwa kuogopa watoto kuwa watapata shida,lakini hawazi kuwa anaweza kufa muda wowote na akawaacha hao watoto.
Principle ni moja ukiona mtu anakupa stress ni ku cut off,awe ni Mke,mzazi,mtoto ,ndugu au rafiki.
At the end nothing last forever,maisha yataendelea.
 
Pole sana bro wa Mwananyamala jirani na mahakama
 
Aisee,Mkuu pole sana,umenishtua Kwa habari hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…