Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
Babuuu, long time no see u!! uko wapi? Karibu kwa Obama bana tule maisha, bills on my side lools, yaani mie nimeinjoy sijapata kero yoyote ila nahisi kiuna kinataka kufa ganzi kwa kukaa muda mrefu looh
Hiyo nayo ni sehemu ya ku-enjoy??
Ahsante sana kwa offer...Ngoja niwasiliane na bibi tuone kama tunaweza kuchangamkia fursa..
Na ticket unatutumia??