kipepeo mweusi
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 244
- 71
Haya hongera kwako, mpe salamu zangu za shikamoo obama..mwambie huku bongo ajira ni kizungumkuti..
aya kila la kheri
![]()
Kuwa makini usije achwa wakati wa kubadilisha flight, maviwanja ya wenzetu makubwa, ukizubaa tu unaachwa.
hahahahaa babu sasa ukija na bibi itakuwa shuhuli anyawei hapajaharibika neno vizuri uwe na kampani ya mzee mwenzio maana mie nabundi balaa, ntawatumia ticket na kila kitu na mwaliko kwa wote wawili mje kushangilia kombe la dunia kwa ObamaHiyo nayo ni sehemu ya ku-enjoy??
Ahsante sana kwa offer...Ngoja niwasiliane na bibi tuone kama tunaweza kuchangamkia fursa..
Na ticket unatutumia??
Nilishawahi kupata kazi ya kuhudumia mzee mmoja mwenye pesa zake huko ili kusaka mshiko tu. Nenda nawewe ukajaribu bahati yako mama lakini usisahau kubeba Mimba ya Kimarekani ili utokemo....
Mada imechangamka si mchezo.....mi bado niko tazara,full foleni tumejazana ndani ya DCM naenda kitunda, joto kama kawa,nakuoneaje wivu jimama,we nend a kale maraha state,ila usifanye dili za mapouda huko..!!
Hivi Kasinde tupo wote Kigamboni yapata siki ya nne leo ndo umeona uwarushe roho wana JF apa.....lol
Kaizer mwana wa Mungu nina nini nawe? kwani kuniweka kwenye gazeti la udaku? Yaani uniweke kigamboni siku 4 looh ukifanikiwa kunikamata na kunimiliki huko kigamboni nikitoka huko lazima niwe na kizygot tumboni. Kwa jinsi nilivo sleepery sijui kama utafanikiwa kunihifadhi hata kwa nusu saa maana huwa situlii. Niko state now am enjoying the summer time eating outside and bbq kwa sanaa, karibuu
Lakini kwenye ndege unatakiwa uzime simu, sasa hiyo conection ya net kwenye ndege uli ipateje wakati simu iko off.
Bado sijafika kwa Obama niko on the way natumia wifi internet ya kwenye ndege masaa 16 angani si mchezo daah!!!
Kasinde sio unatupiga kamba?, sisi wenzio tuliozoea kupanda Abood na Nganga tulisimuliwa kua kwenye ndege hakuna kuwasha simu, you either switch it, on a flight mode or swith off .......lipi ni lipi