vincent kimambo
New Member
- Jun 23, 2014
- 2
- 1
safari njema
Nilikuwa na ndugu yangu mmoja tuko kwenye Tube bahati mbaya akafaint dah washenzi wale walikuwa wanatutizama tu.
Just like the old days
Hivi kwenda marekani ni bahati? yaani linaitwa zali? bado tuna kazi ndefu tu...
aya kila la kheri
![]()
Wanaopitia anga za p..orn wanajua shughuli yao.Kwanini mkuu
Ukipata mzungu usiache kutusimuliaaa
kuna watu hawajawahi toka nje ya kijiji chao miaka nenda rudi!
kuna watu hawajawahi toka nje ya kijiji chao miaka nenda rudi!
Sasa ngoja kila mtu aanze kusema alipo, lol..
....mie nipo hapa kibanda maiti, nilivyokuja na "Flying Horse" nilitapikaje!!
...nikupongeze Kasinde kwa kukwea pipa..
Hivi kwenda marekani ni bahati? yaani linaitwa zali? bado tuna kazi ndefu tu...
Dah, kashinde leo hajapata crush, basi huko kwa Obama naona atakufa kwa presha.