Ndo mara yangu ya kwanza...!

Ndo mara yangu ya kwanza...!

Mi nikajua ni mara ya kwanza kunanihiwa!

ahahahaaa jamani mie nilisha nanihiliwa siku nyingii hadi sku hizi nimeacha huo mchezo, mara ya kwanza kwenda kwa Obama, nashangaaje
 
Hahahahahahaa haya bana, ila angalia isije siku ukaamka ukajikuta maiti looh,

By the way mie huwa sidanganyi info zangu ni za kweli mie huwa namwaga tuu humu matukio ninayokutana nayo na huwa ni real, karibu kwa Obama.

Sasa mbona ile picha niliyoomba kwa inbox hujatuma?? I wanna see how real you are.."you know what I'm saying?"..lols
 
Picha wapi sasa usikute upo songwe mbeya unataka panda fast jet urudi dar sasa libaridi la mbeya unatuambia A/C?

sikudanganyi mie na kwani nikudanganye?

DSCN1677.jpg DSCN1666.jpg
 
Hongera zako bibie...
Mi mwenzio safari zangu ni za Gmboto -mnazi mmoja...Nikipata zali labda nimealikwa Tegeta Kibaoni kwa mtu fudenge humu..!! Kila la heri bidada..!!

hahahaahaaa acha kunifurahisha bana looh usijali one day yes!! huko ndo kwa boss kubwa hehee!! Mtufudege
 
Last edited by a moderator:
Wenzako wapo mikocheni B wakipokea na kudaka miguu ya kwenda Ulaya. We ulikua wapi best?
Hahahaaa... Kwa wale watakao elewa tu lakini.

Hahahahaahaa weweee ngoja akusome looh pokea upako wa kwenda marekani, pokea upako wa kazi, pokea upako wa kupata hela hahahaha chezea mama R wewe mwenyewe anasemaga, ''mbayaaa'' in her tone.... ''if u get free milk why keeping a cow'' mwisho unamuoana akipita kwenye ule wimbo wa oo moyo oomoyoeeeh omoyo onenee enenda sebaa...
 
Ukipata mzungu usiache kutusimuliaaa

aaaah ngozi baridi hizo mie wala hazilipi kwangu sema nikipata black american wallah ntaweka video yake hapa kuonesha mparangati ulikuwaje labda tuu mods waizuie video
 
Back
Top Bottom