hahahaha ntakuletea best hilo tuu sema jingine
Ndege ya shirika gani hilo?
Kwani hujaambiwa kuzima simu?
basi ondoa shaka andaa matumbo tuu na vilainisha koo, ila haya ma mc donald hayaendi na beer wala alcohol ya aina yoyote
He! Ukinywa na bia unaumwa tumbo?
hahahahhaa usinchekeshe bana looh!! tumbo halitauma ila huku naona wanakula hizo mavitu na juice au soda au milkshake au ma smoothie yaani ni kula kula tuu na utamu utamu mwingii usipoangalia unakuwa wa duara kama mpira ila mie niko keen nimekuja na nguo zangu za mazoezi jioni naendazangu jogging, kama hapa ikifika saa kumi na mbili jioni naenda jogging.
hahahahhaa usinchekeshe bana looh!! tumbo halitauma ila huku naona wanakula hizo mavitu na juice au soda au milkshake au ma smoothie yaani ni kula kula tuu na utamu utamu mwingii usipoangalia unakuwa wa duara kama mpira ila mie niko keen nimekuja na nguo zangu za mazoezi jioni naendazangu jogging, kama hapa ikifika saa kumi na mbili jioni naenda jogging.
Sasa huko mbona kugumu kama wanakula vitu vitamu vitamu?! Milkshake ndio mishikaki? Na kuna chipsi au ndizi za kuchoma? Au hiyo mishikaki inaliwa na nini?
Kumbe na wewe ni mtundu eeehh looh, we hupendi vitu vitamu? milk shake sio mishkaki bana hahahahhaaa, ni mixer ya maziwa na any tunda au choklate so waweza pata chocklate milkshake, strawberry milkshake etc. chips zipo kwa wingi huku ndo kwake ila sio kama za bongo za huku zumekaangwa zizuri zimekauka safii, tamuuu. ndizi choma hamna labda ufanye bbq mwenyewe nyumbani yaani uchome mishkaki, kuku samaki choma, ndizi choma ndo wala huo msosi na salad pembeni na alcohol kwa sanaaa, ila hivo vingine ndo unapata huko mc donald and kfc and the like
Uniletee saa ya mkononi. Enjoy.
ooohh polee, basi utakula mc donald burger na chips na kuku, they r yummy
Alafu uwe makini huko unakoenda kukimbia usigongwe na piki piki (kwanza kuna boda boda huko?)
Tuko utanilipa mbavu zangu lakini? kwani kunichekesha hivi? hahahahahahhahahahahaa daaahh!! nakimbia along the compound ninayoishi so mtaa uko cool hauna movement za magari wala motorcycles. Mi tangu nifike hata kwenye main roads sijakutana na pikipiki hata, ni magari tuu. natembea na kukimbia pembeni kabisa mwa barabara hakuna shida, karibu one day hope you will enjoy.
I hope kuku wa kienyeji wapo. Vipi mtu ukitaka supu unafanyaje?