Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
What happened to the Plane? Well TGIF...
- Mafisadi wameiteka hawaiachilii hadi tuwaachilie
- Plane what plane? do we have presidential plane?
- Zanzibar hatuitumii ipasavyo kama sehemu ya Muungano - Mbunge wa CUF!
- Kwani tatizo lenu nini, ndege ni ya Rais nyinyi kinawasumbua nini - Waziri wa Habari
- Hii ndege ni kwa ajili ya safari maalum, kiwanja cha Songwe kikiwa tayari ndio mtaona umuhimu wake - Mbunge toka Mbeya
- Inafanyiwa matengenezo ili iongeze fleet ya ndege za ATC kusafirisha ma VIP. Itaanza safari za Dodoma kabla ya mwisho wa Bunge, tunaomba bilioni 5 - Mkurugenzi ATCL akizungumza na Kamati ya Bunge.
- Tunasubiri ndege nyingine ya Waziri Mkuu ili zote mbili ziwe kama farasi ambao wanatumiwa pamoja - Rubani Mkuu
- Kama ilivyokwishasemwa, ndege hii haiendani na hadhi ya Rais wetu hasa kutokana na wadhifa wake mpya wa Mwenyekiti wa AU hivyo tunasubiri ile Airbus 320 toka Ujerumani - Membe
- Wananchi wasiwe na wasiwasi, sasa hivi ndege inafanyiwa matengenezo ya mwisho kujiandaa na safari ya USA. Lazima Rais wetu na yeye aende na usafiri wa uhakika - Chitalilo
- Iuzwe!? hawa wapinzani wamekosa hoja, hatuwezi kuuza raslimali za Taifa - Karamagi
- CCM inaupendeleo, na tunaushahidi kuwa tarehe 2 mwezi wa 4 ndege ilionekana uwanjani ikiwa na mizigo ya aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu. Tunaamini inatumiwa na mafisadi, tumeiongeza kwenye orodha ya mafisadi - Dr. Slaa
- Mafisadi wameiteka hawaiachilii hadi tuwaachilie
- Plane what plane? do we have presidential plane?
- Zanzibar hatuitumii ipasavyo kama sehemu ya Muungano - Mbunge wa CUF!
- Kwani tatizo lenu nini, ndege ni ya Rais nyinyi kinawasumbua nini - Waziri wa Habari
- Hii ndege ni kwa ajili ya safari maalum, kiwanja cha Songwe kikiwa tayari ndio mtaona umuhimu wake - Mbunge toka Mbeya
- Inafanyiwa matengenezo ili iongeze fleet ya ndege za ATC kusafirisha ma VIP. Itaanza safari za Dodoma kabla ya mwisho wa Bunge, tunaomba bilioni 5 - Mkurugenzi ATCL akizungumza na Kamati ya Bunge.
- Tunasubiri ndege nyingine ya Waziri Mkuu ili zote mbili ziwe kama farasi ambao wanatumiwa pamoja - Rubani Mkuu
- Kama ilivyokwishasemwa, ndege hii haiendani na hadhi ya Rais wetu hasa kutokana na wadhifa wake mpya wa Mwenyekiti wa AU hivyo tunasubiri ile Airbus 320 toka Ujerumani - Membe
- Wananchi wasiwe na wasiwasi, sasa hivi ndege inafanyiwa matengenezo ya mwisho kujiandaa na safari ya USA. Lazima Rais wetu na yeye aende na usafiri wa uhakika - Chitalilo
- Iuzwe!? hawa wapinzani wamekosa hoja, hatuwezi kuuza raslimali za Taifa - Karamagi
- CCM inaupendeleo, na tunaushahidi kuwa tarehe 2 mwezi wa 4 ndege ilionekana uwanjani ikiwa na mizigo ya aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu. Tunaamini inatumiwa na mafisadi, tumeiongeza kwenye orodha ya mafisadi - Dr. Slaa