Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,076
- 7,854
Kuna mwenye taarifa inaendeleaje? Nani anaitumia kwa wakati huu? Iko salama? Na iko salama kiasi gani? Muungwana ameitumia lini mara ya mwisho? Matumizi yake yana tija kwa taifa?
Nina hamasa ya kuelewa nini kinaendelea. Hatukuuziwa mbuzi kwenye gunia?
Usalama wa rais wetu una umuhimu mkubwa kwetu kama watanzania!
Nina hamasa ya kuelewa nini kinaendelea. Hatukuuziwa mbuzi kwenye gunia?
Usalama wa rais wetu una umuhimu mkubwa kwetu kama watanzania!
Last edited by a moderator: