Ndege ya Fastjet yaharibika,yashindwa kuruka kwenda Mbeya,bi harusi aangua kilio kuchelewa send-off

Mkuu Ngaliba Dume

Hii ndio wanasema vijana wa kisasa "bamba to bamba"...Watu wameisimanga sana ATCL kwenye mitandao kwa jambo la kawaida kabisa la kiufundi,ukiwauliza,utasikia wanasema "Man***g**" kasema.

Haya mambo ya "Technical" kwenye usafiri wa anga ni ya kawaida sana sana.Kwenye ATCL kuna kifaa kimeisha masaa,kinatakiwa kubadilishwa na kujaribiwa kabla ya kuruka,na hii ndio "safety standards" za usafiri wa anga,lakini watu wakasema weee,na matusi juu.

Hapa napenyezewa kuhusu Fastjet kushindwa kwenda Mbeya leo na hata hiyo kesho.

Kwa sasa Kampuni ya Fastjet wana ndege moja tu,aina ya Airbus 319(A319).Hii ndio inafanya "routes" zote za Dsm,Mbeya,K'njaro,Mwanza na Lusaka.

Ndege hiyo imepata matatizo ya kiufundi ya kifaa cha "Starter" kuharibika,ndege aina ya A319 jet engines,starter yake ni ya upepo na sio umeme,hivyo inapotaka ku-start inahitaji upepo mwingi kusukuma "turbine" ili injini ikolee.Ikiwa mbovu basi inasaidiwa na "Ground Air Starter" ambayo inakuwa mashine iliyopo chini na kuungwa kwenye mfumo wa injini.

Kwa sasa sababu "starter" ni mbovu,basi hiyo "Ground Air Starter" ndio inatumika ili kusaidia ku-busti injini iwake.Hapa Dsm hiyo Air Starter ipo,na huduma hiyo inatolewa na Swissport kwa Fastjet kama sehemu ya mkataba wa "Ground Handling".

Kwa uwanja wa Mbeya hiyo Ground Air Starter mbovu,na SwissPort hawajatuma kifaa huko Mbeya kuikarabati,hivyo rubani akawa na wazo la kuipeleka ndege na akifika Mbeya asizime injini na kupakia abairia na kurudi,lakini ikaonekana itakuwa kinyume na mambo ya safety kupakia watu wakati ndege injini moja inaunguruma.Na akizima injini maanake hawezi kuiwasha bila msaada wa Ground Air Starter.

Uamuzi ukawa ni kuiahirisha safari ya Mbeya huku kifaa kikisubiliwa kuja ndani ya siku mbili toka nje.

Kama mkuu Ngaliba Dume umesikia ndege inaenda Mwanza,ni kwa sababu huko huduma ya "Ground Air Starter" ipo,na KIA pia ipo,hivyo hata wakienda wana uhakika wa kurudi,lakini sio Mbeya.

Sasa haya mambo ni kawaida katika usafiri w anga,lakini watu hawakawii kutukana,tena ndio ingekuwa "MY DEAR ATCL",basi huko Instagram kungechafuka kwa matusi kwa bombadia zetu.

"IN AVIATION,SAFETY IS PRIORITY"
 
Huyo biarusi angeniambia mapema jioni ningempakiza kwenye gari ya IT au Costa za kidongochekundu kariakoo angefika kwao asubuhi kesho.
Wakati mwingine msing'ang'anie sana show off za ndege
Sasa ashawaambia wampokee songwe airport mkuu.
 
wanamuonea bure chenge. Yeye alikuwa anatekeleza ilani ya ccm ya kuliibia taifa...
Ccm akiwemo magufuli ni wapumbavu sana kwa sababu haya yote ni sababu yao wote kwa umoja wao dhidi ya rasilimali za watz. Alafu wanaunda mitume kwa kuwapa ulaji wa bure watu wkt walipitisha haya yote kwa mbwembwe huku wakiwatukana watz matusi ya nguoni.
Shame on them ccm + their corrupt leaders
Daaa unahasila ni balaa
 
wanamuonea bure chenge. Yeye alikuwa anatekeleza ilani ya ccm ya kuliibia taifa...
Ccm akiwemo magufuli ni wapumbavu sana kwa sababu haya yote ni sababu yao wote kwa umoja wao dhidi ya rasilimali za watz. Alafu wanaunda mitume kwa kuwapa ulaji wa bure watu wkt walipitisha haya yote kwa mbwembwe huku wakiwatukana watz matusi ya nguoni.
Shame on them ccm + their corrupt leaders
Wazazi wako ndio wapumbavu wameshindwa kukupa maadili mema narudia tena wazazi wako ndio wapumbavu
 
Mkuu Ngaliba Dume

Hii ndio wanasema vijana wa kisasa "bamba to bamba"...Watu wameisimanga sana ATCL kwenye mitandao kwa jambo la kawaida kabisa la kiufundi,ukiwauliza,utasikia wanasema "Man***g**" kasema.

Haya mambo ya "Technical" kwenye usafiri wa anga ni ya kawaida sana sana.Kwenye ATCL kuna kifaa kimeisha masaa,kinatakiwa kubadilishwa na kujaribiwa kabla ya kuruka,na hii ndio "safety standards" za usafiri wa anga,lakini watu wakasema weee,na matusi juu.

Hapa napenyezewa kuhusu Fastjet kushindwa kwenda Mbeya leo na hata hiyo kesho.

Kwa sasa Kampuni ya Fastjet wana ndege moja tu,aina ya Airbus 319(A319).Hii ndio inafanya "routes" zote za Dsm,Mbeya,K'njaro,Mwanza na Lusaka.

Ndege hiyo imepata matatizo ya kiufundi ya kifaa cha "Starter" kuharibika,ndege aina ya A319 jet engines,starter yake ni ya upepo na sio umeme,hivyo inapotaka ku-start inahitaji upepo mwingi kusukuma "turbine" ili injini ikolee.Ikiwa mbovu basi inasaidiwa na "Ground Air Starter" ambayo inakuwa mashine iliyopo chini na kuungwa kwenye mfumo wa injini.

Kwa sasa sababu "starter" ni mbovu,basi hiyo "Ground Air Starter" ndio inatumika ili kusaidia ku-busti injini iwake.Hapa Dsm hiyo Air Starter ipo,na huduma hiyo inatolewa na Swissport kwa Fastjet kama sehemu ya mkataba wa "Ground Handling".

Kwa uwanja wa Mbeya hiyo Ground Air Starter mbovu,na SwissPort hawajatuma kifaa huko Mbeya kuikarabati,hivyo rubani akawa na wazo la kuipeleka ndege na akifika Mbeya asizime injini na kupakia abairia na kurudi,lakini ikaonekana itakuwa kinyume na mambo ya safety kupakia watu wakati ndege injini moja inaunguruma.Na akizima injini maanake hawezi kuiwasha bila msaada wa Ground Air Starter.

Uamuzi ukawa ni kuiahirisha safari ya Mbeya huku kifaa kikisubiliwa kuja ndani ya siku mbili toka nje.

Kama mkuu Ngaliba Dume umesikia ndege inaenda Mwanza,ni kwa sababu huko huduma ya "Ground Air Starter" ipo,na KIA pia ipo,hivyo hata wakienda wana uhakika wa kurudi,lakini sio Mbeya.

Sasa haya mambo ni kawaida katika usafiri w anga,lakini watu hawakawii kutukana,tena ndio ingekuwa "MY DEAR ATCL",basi huko Instagram kungechafuka kwa matusi kwa bombadia zetu.

"IN AVIATION,SAFETY IS PRIORITY"
hivi hili kampuni la precious lipo ama sielew kitambo sana
 
huyo bibi harusi ana show off. mbeya sio njia ya kupata stress ya usafiri.. angesafiri usiku kwa it any day she want.. hata za mchana zipo.....
 
Mkuu Ngaliba Dume

Hii ndio wanasema vijana wa kisasa "bamba to bamba"...Watu wameisimanga sana ATCL kwenye mitandao kwa jambo la kawaida kabisa la kiufundi,ukiwauliza,utasikia wanasema "Man***g**" kasema.

Haya mambo ya "Technical" kwenye usafiri wa anga ni ya kawaida sana sana.Kwenye ATCL kuna kifaa kimeisha masaa,kinatakiwa kubadilishwa na kujaribiwa kabla ya kuruka,na hii ndio "safety standards" za usafiri wa anga,lakini watu wakasema weee,na matusi juu.

Hapa napenyezewa kuhusu Fastjet kushindwa kwenda Mbeya leo na hata hiyo kesho.

Kwa sasa Kampuni ya Fastjet wana ndege moja tu,aina ya Airbus 319(A319).Hii ndio inafanya "routes" zote za Dsm,Mbeya,K'njaro,Mwanza na Lusaka.

Ndege hiyo imepata matatizo ya kiufundi ya kifaa cha "Starter" kuharibika,ndege aina ya A319 jet engines,starter yake ni ya upepo na sio umeme,hivyo inapotaka ku-start inahitaji upepo mwingi kusukuma "turbine" ili injini ikolee.Ikiwa mbovu basi inasaidiwa na "Ground Air Starter" ambayo inakuwa mashine iliyopo chini na kuungwa kwenye mfumo wa injini.

Kwa sasa sababu "starter" ni mbovu,basi hiyo "Ground Air Starter" ndio inatumika ili kusaidia ku-busti injini iwake.Hapa Dsm hiyo Air Starter ipo,na huduma hiyo inatolewa na Swissport kwa Fastjet kama sehemu ya mkataba wa "Ground Handling".

Kwa uwanja wa Mbeya hiyo Ground Air Starter mbovu,na SwissPort hawajatuma kifaa huko Mbeya kuikarabati,hivyo rubani akawa na wazo la kuipeleka ndege na akifika Mbeya asizime injini na kupakia abairia na kurudi,lakini ikaonekana itakuwa kinyume na mambo ya safety kupakia watu wakati ndege injini moja inaunguruma.Na akizima injini maanake hawezi kuiwasha bila msaada wa Ground Air Starter.

Uamuzi ukawa ni kuiahirisha safari ya Mbeya huku kifaa kikisubiliwa kuja ndani ya siku mbili toka nje.

Kama mkuu Ngaliba Dume umesikia ndege inaenda Mwanza,ni kwa sababu huko huduma ya "Ground Air Starter" ipo,na KIA pia ipo,hivyo hata wakienda wana uhakika wa kurudi,lakini sio Mbeya.

Sasa haya mambo ni kawaida katika usafiri w anga,lakini watu hawakawii kutukana,tena ndio ingekuwa "MY DEAR ATCL",basi huko Instagram kungechafuka kwa matusi kwa bombadia zetu.

"IN AVIATION,SAFETY IS PRIORITY"
Binafsi nakushukuru maana sikuwa naelewa
 
Back
Top Bottom