Ndege kupotea ni mchezo umechezwa..

Ndege kupotea ni mchezo umechezwa..

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,341
Reaction score
15,831
Nimekua nikitafakari juu ya habari ya ndege ya Malaysia iliyopotea karibu mwezi sasa naona akili hainipi kabisa kuwa ni kitu kinachoweza kutokea kweli na dunia nzima ishindwe kujua.

Uwezo mkubwa wa nchi kama marekani unanipa shaka kwamba nao wameshindwa na hasa ndio inayonipa imani kwamba kuna mchezo tusioujua ambao marekani kama hawajahusika basi wanaujua...nimemaliza

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nimekua nikitafakari juu ya habari ya ndege ya Malaysia iliyopotea karibu mwezi sasa naona akili hainipi kabisa kuwa ni kitu kinachoweza kutokea kweli na dunia nzima ishindwe kujua. Uwezo mkubwa wa nchi kama marekani unanipa shaka kwamba nao wameshindwa na hasa ndio inayonipa imani kwamba kuna mchezo tusioujua ambao marekani kama hawajahusika basi wanaujua...nimemaliza

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Nadhani tusifiriki kirahisi hivyo, tunajua fika kwamba eneo la bahari ni kubwa na pana zaidi na pengine location ambayo ndege iliangukia ilikokotwa na maji umbali wa maili kadhaa kutoka eneo hilo. Ndege ingekuwa na mawasiliano ingekuwa rahisi kujua wapi walipoangukia na kusaidia kuitafuta, kwa kesi hii ni hisia tu maana mawasiliano yalikatika masaa kadhaa kabla ya ndege kuanguka. Utafutaji nchi kavu ni mgumu sembuse baharini. tusiwape kichwa mno wamarekani.
 
Nimekua nikitafakari juu ya habari ya ndege ya Malaysia iliyopotea karibu mwezi sasa naona akili hainipi kabisa kuwa ni kitu kinachoweza kutokea kweli na dunia nzima ishindwe kujua. Uwezo mkubwa wa nchi kama marekani unanipa shaka kwamba nao wameshindwa na hasa ndio inayonipa imani kwamba kuna mchezo tusioujua ambao marekani kama hawajahusika basi wanaujua...nimemaliza

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

wewe unafikiri hiyo ndiyo ndege ya kwanza kupotea? hii dunia ni kubwa, kutafuta kijidege kilichopotea ni sawa na kutafuta punje ya sukari kwenye jangwa la sahara!!
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Kuna mahali nilisoma wanadai shilika moja la kimarekani kwa jina la freescale lenye utaalamu wa juu katika masuala ya ndege linahusika moja kwa moja na kutekwa kwa ndege hii ...sasa kwa kiasi gani ni kweli hapo sijuhi
 
wewe unafikiri hiyo ndiyo ndege ya kwanza kupotea? hii dunia ni kubwa, kutafuta kijidege kilichopotea ni sawa na kutafuta punje ya sukari kwenye jangwa la sahara!!

Mimi sijasema ni ya kwanza kupotea,ila naongelea uwezo wa dunia ya leo ulipofikia na kwa ishu kama hii ndio nimekuja na hiyo hisia,kama unafuatiliaga Discovery channels na National Geographic channels utakubaliana na mimi kwa uwezo walionao hawa jamaa walioendelea na utashangaa hapa wameshindwa kweli au kuna kitu kimefichwa...
 
Nadhani tusifiriki kirahisi hivyo, tunajua fika kwamba eneo la bahari ni kubwa na pana zaidi na pengine location ambayo ndege iliangukia ilikokotwa na maji umbali wa maili kadhaa kutoka eneo hilo. Ndege ingekuwa na mawasiliano ingekuwa rahisi kujua wapi walipoangukia na kusaidia kuitafuta, kwa kesi hii ni hisia tu maana mawasiliano yalikatika masaa kadhaa kabla ya ndege kuanguka. Utafutaji nchi kavu ni mgumu sembuse baharini. tusiwape kichwa mno wamarekani.

Sio kuwapa kichwa mkuu,ukweli ni kwamba hawa jamaa wanauwezo zaidi ya hata unavyofikiria...wako mbali sana amini hivyo
 
Sio kuwapa kichwa mkuu,ukweli ni kwamba hawa jamaa wanauwezo zaidi ya hata unavyofikiria...wako mbali sana amini hivyo

Mnaendelea kutuaminisha utumbo wenu wakati hiyo punje ya sukari jangwani imewatoa nishai...acheni upuuuzi wenu technologia imeshindwa vibaya msitake kuaminisha bitu ambavyo mlituaminisha ni bora kumbe fake.
Mpaka satellite ya mchina ilidetect kitu fake na dunia ikaelekeza hiko macho yake with nothing special found.
Jinga kabisa.
 
Kuna mahali nilisoma wanadai shilika moja la kimarekani kwa jina la freescale lenye utaalamu wa juu katika masuala ya ndege linahusika moja kwa moja na kutekwa kwa ndege hii ...sasa kwa kiasi gani ni kweli hapo sijuhi

Hujuhi shilika.......!!!!...😜anyway......labda wanajua sasa wanataka watokelezee na utaalamu wao waseme wameipata.......
 
Nimekua nikitafakari juu ya habari ya ndege ya Malaysia iliyopotea karibu mwezi sasa naona akili hainipi kabisa kuwa ni kitu kinachoweza kutokea kweli na dunia nzima ishindwe kujua. Uwezo mkubwa wa nchi kama marekani unanipa shaka kwamba nao wameshindwa na hasa ndio inayonipa imani kwamba kuna mchezo tusioujua ambao marekani kama hawajahusika basi wanaujua...nimemaliza

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kwenye bookshelf yangu kuna kitabu kinaitwa "The Superpower Myth" cha muandishi Nancy Soderberg. Sijakisoma sasa hivi list yangu ni ndefu sana. Nikipata muda nitakisoma.zaidi.

Lakini maudhui makuu ya kitabu ni kueleza kwamba kuna imani kwamba Marekani ni superpower na ina uwezo mkubwa sana.

Imani hii tunaweza kuipandisha kuliko ukweli wa mambo.

Mmarekani.anavyopenda sifa kama angekuwa na uwezo wa kuipata hiyo ndege tungejua mara moja.

And there have been so many conspiracy theories, I would like ro propose a conspiracy theory against the conspiracy theories.

That the Americans also don't know jack.

And this is coming from someone who is pro-America.
 
Kunatetesi kuwa hyo ndege ilitekwa na kuberekwa uarabun huko na watu hao wanakula gudtime! Na aliehuska n mdada mmoja mtaalam wa IT na mambo ya ndege! Ambapo amefanya jaribio lake likafanikiwa! Narudia ni tetesi wakuu msiniambie niwape ushahidi
 
Nyie subirini siku moja mje kusikia kuna mvuvi huko Papua New Guinea kaiona hiyo ndege!
 
kama ndege imepotea haijulikani yalipo na mabaki yake kuyapata ni ndoto,pia kuitafuta katika aridhi wanfekuwa wameshaipata ilipo ila ktika misitu mikubwa je wamejaribu kuangalia humo?Kama haipo hata katika aridhi basi mm ninaanza kuamini kuwa uwezo wa MUNGU ni mkubwa sana na technologia tuliyofika bdo ni decimal
 
Hao watafutaji wasitafute ndege tu, pia watumie vinasaba (ndugu na jamaa) wa hao watu-kama tulivyomtafuta Osama jamani
 
Back
Top Bottom