Ndege kupotea ni mchezo umechezwa..

Ndege kupotea ni mchezo umechezwa..

Mimi sijasema ni ya kwanza kupotea,ila naongelea uwezo wa dunia ya leo ulipofikia na kwa ishu kama hii ndio nimekuja na hiyo hisia,kama unafuatiliaga Discovery channels na National Geographic channels utakubaliana na mimi kwa uwezo walionao hawa jamaa walioendelea na utashangaa hapa wameshindwa kweli au kuna kitu kimefichwa...


Mkuu uko sahihi sana. Hata mm nimekuwa na mashaka na kilichoendelea.
 
nililiandika hili siku ya I tu ya kupotea Malysia Airlines watu walikebeh hapa,,,,,,ila huu ndo utabak kuwa ukweli

Upo sahihi. Hata hivyo, kuna baadhi ya maswali yanaashiria Ni sisi na si Mungu. Mfano, Ni kwanini au kwa uchungu upi wa abiria wachina wamerusha satellites kumi angani kwa mabilioni? Kulikuwa na nini ndegeni? Pili, ni kwanini warusi wamekaa kimya kabisa na waisraeli? Je! kama mimi ninaweza ku-itrack iphone yangu na ninaweza kulifuatilia gari langu kwa mtandao, kama lay man, iweje of all the things, Ndege, ya Malasia iliyotengenezwa Marekeani, Engine zilitoka Ufaransa na Mitambo ya Ki-elecronics ilitoka ujerumani isifanye kazi. Tukumbuke pia, ni wamarekani walimuonesha Arafat alipodondoka jangwani na Ndege baada ya wapalestina kumtafuta na kumkosa baada ya wiki nzima, sattelite za Mmarekani zilimnasa. Kuna jambo tusilolijua na lisilo la Ki-Mungu katika ajali hii.
 
Nimekua nikitafakari juu ya habari ya ndege ya Malaysia iliyopotea karibu mwezi sasa naona akili hainipi kabisa kuwa ni kitu kinachoweza kutokea kweli na dunia nzima ishindwe kujua.

Uwezo mkubwa wa nchi kama marekani unanipa shaka kwamba nao wameshindwa na hasa ndio inayonipa imani kwamba kuna mchezo tusioujua ambao marekani kama hawajahusika basi wanaujua...nimemaliza

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Wafanya kazi wao waandamizi 20 walikuwa kwenye ndege. Na baadhi waliishiriki ugunduzi mkubwa siku 4 kabla ya kupanda ndege. Soma mwenyewe between lines.

bofya .......

"Experts have been baffled how a large passenger jet seems to have flown undetected and possibly beaten military radar systems for up to six hours."

source: quote
 
Siku 2 baada ya ndege kupotea nilikuwa naangalia sky newz chnl 10.
Walikuwa wanahojiwa experts watatu.
Mmoja alikuwa mtaalam wa satelite na rada. Wa pili alikua engineer wa utengenezaj wa ndege na watatu alikuwa rubani mstaafu ambaye ana zaid ya miaka 40 anarusha ndege.
Walibishana sana kama nusu saa hivi kila mmoja kwa uzoef wake.
Ruban mstaafu point yake kuu alisema kwamba black box imezimwa makusud na kama ruban mzur ana uwezo wa kuendesha ndege na kutua popote haka kwenye barabara za magari nwa wapo waliowah kufanya hivyo.
Engineer wa ndege point yake kubwa n kwamba ndege imetengenezwa kwa materials ambayo n very light nakwamba ikipata crash yoyote kwenye land or ocean lazima ipasuke na ki2 cha kwaza kuspot eneo la 2kio kama n kwenye maj ni mabegi ya abiria na viti vya ndege huwa havizami.
Mtaalamtt wa rada alianza kwa kusewa kila kitu kina udhaifu wake. Akaelezea jinsi mbalimbali ndege 2 had 3 zinavyoweza kupita kwnye rada na rada ikaweza kuiona 1 tu.
Mwisho walikubaliana ndege imeibiwa. Nam naam

Sikubahatika kuona hiyo.... nadhani ulikua mjadala wa kuvutia mno...
 
Wafanya kazi wao waandamizi 20 walikuwa kwenye ndege. Na baadhi waliishiriki ugunduzi mkubwa siku 4 kabla ya kupanda ndege. Soma mwenyewe between lines.

bofya .......

"Experts have been baffled how a large passenger jet seems to have flown undetected and possibly beaten military radar systems for up to six hours."

source: quote

Ndo mchezo wenyewe utakua hivyo
 
Dunia kama kijiji "changa la macho au..?" labda imeangukia mabwepande..!!!!
 
Ndege hii ipo na siku moja tutazisikia habar zake and how it was
 
Back
Top Bottom