Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 4,686
- 5,144
Nchimbi ni mwanaCCM mwenzetu na makamu wa rais mstaafu.
Zaidi ya yote ni mtanzania.
Tunaomba serikali iseme aliko au yeye ajitokeze.
Tunajua yupo hai.
Sisi watanzania wa kusini tunajiuliza maswali mengi mfano:
1. Kwa nini asionekane kwenye uapisho wa makamu mpya wa rais ikiwa kujihudhuru kwake ni kwa kawaida?.
2. Kwa nini kama kuna kosa au makosa kafanya asishtakiwe?
3. Serikali haioni kwamba watu wanazidi kupata ushahidi kuwa watu wote waliopotea au kutekwa waliikosea serikali.
4. Familia yake nayo imeshikwa na kigugumizi kusema alipo baba wa familia?
5. Kazi na utu! Utu una maana gani?.
Naomba yeyote aliemshikilia amuachie au kama ni yeye ameamua kujifungia sehemu ajitokeze.
Tanzania hii ni yetu na kila mtu aliyemo atapita kama upepo.
Kwa niamba ya watu wa kusini mwa Tanzania.
Mungu aibariki Tanzania.
Zaidi ya yote ni mtanzania.
Tunaomba serikali iseme aliko au yeye ajitokeze.
Tunajua yupo hai.
Sisi watanzania wa kusini tunajiuliza maswali mengi mfano:
1. Kwa nini asionekane kwenye uapisho wa makamu mpya wa rais ikiwa kujihudhuru kwake ni kwa kawaida?.
2. Kwa nini kama kuna kosa au makosa kafanya asishtakiwe?
3. Serikali haioni kwamba watu wanazidi kupata ushahidi kuwa watu wote waliopotea au kutekwa waliikosea serikali.
4. Familia yake nayo imeshikwa na kigugumizi kusema alipo baba wa familia?
5. Kazi na utu! Utu una maana gani?.
Naomba yeyote aliemshikilia amuachie au kama ni yeye ameamua kujifungia sehemu ajitokeze.
Tanzania hii ni yetu na kila mtu aliyemo atapita kama upepo.
Kwa niamba ya watu wa kusini mwa Tanzania.
Mungu aibariki Tanzania.