Nchi ya Madokta (Phd's) wengi bila faida

🤣🤣🤣huku wengi wa mchongo

Kuna yule Dokta sijui Prof mroso aliyetuchonesha tukalipa bil kadhaa kwenye madini
Hata kizungu hajui🤣🤣😂

Ana ego wakati language, substance,confidence,pause Hana😂🤣

Kama ni kipanga hata ukiishia fomufoo ni kipanga🙏
Yule jamaa alikuwa mpuuzi sana. Hv yuko wp nikamtandike viboko
 
kuna jamaa alijua kilaza o-level yani kilaza kabisa, ila leo na yeye ana phD.
Nchi yakijanja sana hii, usipoelewa namna mambo inaenda huku utapata shida kidogo.
 
Ma PhD holders wa tz ukitaka uwajue vizuri, jiandikishe kusoma master's degree pale UDSM. watu Wana roho mbaya Kama vyoo vya kiswahili maeneo ya buguruni.!
Raha Yao waone mwanafunzi amefeli au wamemkamata kwa michongo. Wengi wao midomo zege aidha wanakamata wanafunzi kwenye masomo au ma bar maid.
Nadhani kua na PhD vinaendana na kua Domo zege.
 
Sisi waafrica (ngozi nyeusi) tumeundwa kutawaliwa. Kuna laana fulani hiv tulipewa. Sababu hata kujiongoza wenyewe hatuwezi achilia mbali kuunda vitu.
 
🤣🤣🤣huku wengi wa mchongo

Kuna yule Dokta sijui Prof mroso aliyetuchonesha tukalipa bil kadhaa kwenye madini
Hata kizungu hajui🤣🤣😂

Ana ego wakati language, substance,confidence,pause Hana😂🤣

Kama ni kipanga hata ukiishia fomufoo ni kipanga🙏
Profesa Majimarefu,Dr shokolokobangoshayo kutoka Sumbawanga.Waliokataa umande wanacheza na taaluma za watu
 
Hii nchi bila kuwa na kiongozi Kichaa kichaa, mwehu mwehu,chizi chizi, na Muuwaji hatuwezi kusonga na ndiyo maana hata hao Ma- Dr wapo tu kazi yao ni kusifia sifia ujinga tu!

Nadhai Tukimpa nchi hii Mtu mwehu kama Bashite hao Ma-Dr watanyooka tu na wataifanya kazi iliyotukuka!

Kuongoza vichaa ni lazima nawe uwe am u act kichaa. Haiwezekani mtu anaiba billions za kujenga soko au barabara halafu anakwenda ifungia hiyo hela ndani, kesho yake anapita ktk barabara mbovu au soko chafu kisha analalamika kuwa serikali haifanyi kazi. Kama sio ukichaa ni nini..
my take:
inawezekana hao tunaowaona ni vichaa mitaani wakawa wazima halafu sisi tunaojiona wazima tukawa ndio vichaa halisi, sema tu idadi yao ni ndogo na yetu ni kubwa
 
Ushamba umepelekwa mpaka huko nchi za nje,
Hersi kila mahali anajitambulisha kwa kuanza na Engineer wakati yuko kwenye fani ya mpira!
 
Mkuu sikupingi, ila there's no need to address ourselves to everyone that we're doctors, professors etc, I really don't see the point.

Siku hizi utasikia "wakili msomi", hivi kuna wakili asiye msomi? Ma-engineer nao wanaanza kuja na swagger za kijinga saivi, same to cpa holders, yaani kila mtu anataka awe addressed kwa elimu yake, while the output of what they've achieved in class is barely noticed.
Ni umangimeza uchwara na ulimbukeni tu.
 
Back
Top Bottom