DON YRN
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 475
- 1,002
- Thread starter
- #61
Nchi inaongozwa na madokta lkn mpaka sasa wakulima wanatumia ndoo kuuzia mazao, wafugaji bado wanafuga kienyeji, hatujawahi kutengeneza hata simu?!Jamii imejitosheleza mkuu......hakuna matatizo...Sasa unataka ma PhD holders tugundue nini