Baada ya kumsikiliza mkuu wa majeshi mstaafu katika mahojiano yake na vyombo vya habari vya serikali, nimewaza jambo.
CDF Mabeyo anasema wakuu wa vyombo walijulishwa hali ya mkuu wa nchi, na walimhamishia Mzena ambapo waliweka restrictions za watu kumwona mgonjwa Ili apumzike na kupata MATIBABU.
Anasema hayati alipozidiwa aliomba mkuu wa majeshi atoe amri arudishwe nyumbani.. Hii kauli ni nzito sana sana kwamba hayati alitaka mkuu wa majeshi aamrishe arudishwe nyumbani akafie nyumbani (MAANA yake mkuu huyu ndie alikuwa na mamlaka wakati huo kuliko yeyote)
Anasema alipofariki wao wakuu wa vyombo ndio waliwajulisha viongozi kama PM, CS na BAADAE VP.. Tena wote hawakuwepo eneo la tukio...
Hatuoni mahala makamo wa Rais,mwanasheria mkuu, Wala judge mkuu Wala spika wakiwa na maamuzi yeyote. Kila kitu kilipangwa na jeshi.
Na baada ya misuguano ya zile siku mbili ambazo watu walisahau katiba kidogo, mkuu wa majeshi aliwakumbusha na ndipo tarehe 19 akaapishwa mh. Makamu wa Rais Ili awe Rais....
JE INAWEZEKANA RAIS MAGUFULI ALIACHIA NCHI KWA JESHI NA VYOMBO VYA USALAMA NA VYENYEWE KWA WELEDI MKUBWA VILIHAKIKISHA VIMEILINDA KATIBA NA KUISIMAMIA KAMA WALIVYOAPA NA KUHAKIKISHA MAKAMU WA RAIS ANAAPISHWA KIWA RAIS.
KAMA HIVI NDIVYO, BASI MKUU HUYU ATUNUKIWE TUZO YA AMANI NA HESHIMA KWA KUSIMAMIA KAYIBA YA NCHI NA KUILINDA
CDF Mabeyo anasema wakuu wa vyombo walijulishwa hali ya mkuu wa nchi, na walimhamishia Mzena ambapo waliweka restrictions za watu kumwona mgonjwa Ili apumzike na kupata MATIBABU.
Anasema hayati alipozidiwa aliomba mkuu wa majeshi atoe amri arudishwe nyumbani.. Hii kauli ni nzito sana sana kwamba hayati alitaka mkuu wa majeshi aamrishe arudishwe nyumbani akafie nyumbani (MAANA yake mkuu huyu ndie alikuwa na mamlaka wakati huo kuliko yeyote)
Anasema alipofariki wao wakuu wa vyombo ndio waliwajulisha viongozi kama PM, CS na BAADAE VP.. Tena wote hawakuwepo eneo la tukio...
Hatuoni mahala makamo wa Rais,mwanasheria mkuu, Wala judge mkuu Wala spika wakiwa na maamuzi yeyote. Kila kitu kilipangwa na jeshi.
Na baada ya misuguano ya zile siku mbili ambazo watu walisahau katiba kidogo, mkuu wa majeshi aliwakumbusha na ndipo tarehe 19 akaapishwa mh. Makamu wa Rais Ili awe Rais....
JE INAWEZEKANA RAIS MAGUFULI ALIACHIA NCHI KWA JESHI NA VYOMBO VYA USALAMA NA VYENYEWE KWA WELEDI MKUBWA VILIHAKIKISHA VIMEILINDA KATIBA NA KUISIMAMIA KAMA WALIVYOAPA NA KUHAKIKISHA MAKAMU WA RAIS ANAAPISHWA KIWA RAIS.
KAMA HIVI NDIVYO, BASI MKUU HUYU ATUNUKIWE TUZO YA AMANI NA HESHIMA KWA KUSIMAMIA KAYIBA YA NCHI NA KUILINDA