chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 20,725
- 31,307
Miaka michache iliyopita kipindi cha pasaka kilikuwa na shamra shamra,
Watu walifanya manunuzi,matangazo ya bendi kufanya matamasha,wasanii,hoteli kuwa na special events,na mambo kama hayo!
Mwaka huu ni kama tuko msibani,,,kila familia iko kimya,imejiinamia,wafanyabiashara walizoea kuuza,sasa wananchi wanayapita MADUKA hawafanyi manunuzi
Kuna jambo haliko sawa
Watu walifanya manunuzi,matangazo ya bendi kufanya matamasha,wasanii,hoteli kuwa na special events,na mambo kama hayo!
Mwaka huu ni kama tuko msibani,,,kila familia iko kimya,imejiinamia,wafanyabiashara walizoea kuuza,sasa wananchi wanayapita MADUKA hawafanyi manunuzi
Kuna jambo haliko sawa