cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 653
Kwa akili yako unadhani watakosa nafasi kwa sababu gani?Hakika tuombe awamu hii iishe salama na ijayo wakose nafasi!
Kwa akili yako unadhani watakosa nafasi kwa sababu gani?Hakika tuombe awamu hii iishe salama na ijayo wakose nafasi!
Labda huko kijijini kwenu.Miaka michache iliyopita kipindi cha pasaka kilikuwa na shamra shamra,
Watu walifanya manunuzi,matangazo ya bendi kufanya matamasha,wasanii,hoteli kuwa na special events,na mambo kama hayo!
Mwaka huu ni kama tuko msibani,,,kila familia iko kimya,imejiinamia,wafanyabiashara walizoea kuuza,sasa wananchi wanayapita MADUKA hawafanyi manunuzi
Kuna jambo haliko sawa
Mkuu hawa ni wale madalali waliokuwa wakishinda vijiwe vya waiza kahawa kusubiri hela za bila jasho.Kinembe unapoangalia nchi unaangalia wapi au akina nani? Mbona mi nasheherekea kwa shamra shamra? Acheni tabia za kike kulalamika lalamika.... Tafuten pesa hamna nyamazeni au zungumzien mambo ya maana. Kusheherekea ni suala la mtu binafsi...mimi nachinja mbuzi wawili wachomwe hapa home na nimealika jmaa zangu ambao wamekubali bila shida
Pascal Mayalla maisha ni yale yale. Niseme kwa watanzania asilimia 90 maisha ni yale yale kama zilivyokuwa awamu nyingine. Waliopigika ni wale wajanja wa mjinikama akina nyie mliokuwa ''mnaokota'' fedha wakati wa Kikwete. Na wanasiasa pia nao wameathirika. Na mna kelele balaa! Utadhani Tanzania inakwenda kuwaka moto kesho!
Soma report zilizopewa Mjengoni....WALIZOEA KUIBA SERIKALINI NA KUUZA UNGA NA WAFANYABIASHARA KULETA MAKONTAINA BILA USHURU HELA NYINGI ZILIKUWA ZA HARAMU NDIO MAANA WATU WALIZITUMIA OVYO KWENYE SIKUKUU
Na yeye naamini anaigiza furaha ili shooting iwe poa, si unajua mbele ya waandishi hakuna kinachoshindikana.Mara kwa Mara Sikh hizi sherehe nyingi zinafanyika Ikulu na Rais kuhutubia lakini ukifuatilia vizuri utaona ni yeye tu mwenye furaha, waalikwa wote wanakuwa kama msibani, vivyo hivyo wateuliwa wake ndo pekee nchi nzima wanakuwa na furaha wakihutubia. Lugha ya mwili inathibitishi hili.
Starehe sasa basi,fanya kazi kwa bidii uongeze kipato,sikukuu ni wakati wowote ukijisikiaMiaka michache iliyopita kipindi cha pasaka kilikuwa na shamra shamra,
Watu walifanya manunuzi,matangazo ya bendi kufanya matamasha,wasanii,hoteli kuwa na special events,na mambo kama hayo!
Mwaka huu ni kama tuko msibani,,,kila familia iko kimya,imejiinamia,wafanyabiashara walizoea kuuza,sasa wananchi wanayapita MADUKA hawafanyi manunuzi
Kuna jambo haliko sawa
Msiishi kwa mazoea,hivi ni yapi yalikuwa maisha mazuri na ya haki ya awamu hii au zilizopita???
Huko nyuma mlilalamika na leo tena mnalalamika,which is which???
Pascal Mayalla maisha ni yale yale. Niseme kwa watanzania asilimia 90 maisha ni yale yale kama zilivyokuwa awamu nyingine. Waliopigika ni wale wajanja wa mjinikama akina nyie mliokuwa ''mnaokota'' fedha wakati wa Kikwete. Na wanasiasa pia nao wameathirika. Na mna kelele balaa! Utadhani Tanzania inakwenda kuwaka moto kesho!
Kati ya nini na nini? Muwe mnafafanua wakuu, isije kuwa kati ya kuzimu na peponi.
hivi unaanzaje kuwa na furaha kwa awamu hii ya kishetani....Miaka michache iliyopita kipindi cha pasaka kilikuwa na shamra shamra,
Watu walifanya manunuzi,matangazo ya bendi kufanya matamasha,wasanii,hoteli kuwa na special events,na mambo kama hayo!
Mwaka huu ni kama tuko msibani,,,kila familia iko kimya,imejiinamia,wafanyabiashara walizoea kuuza,sasa wananchi wanayapita MADUKA hawafanyi manunuzi
Kuna jambo haliko sawa
![]()
za kunywa zikose,hata za kuvaa asee?,em fanyeni kunichangia wakuu elfu 70 tu
IronicKinembe unapoangalia nchi unaangalia wapi au akina nani? Mbona mi nasheherekea kwa shamra shamra? Acheni tabia za kike kulalamika lalamika.... Tafuten pesa hamna nyamazeni au zungumzien mambo ya maana. Kusheherekea ni suala la mtu binafsi...mimi nachinja mbuzi wawili wachomwe hapa home na nimealika jmaa zangu ambao wamekubali bila shida
Kuna watu duniani wanaitwa mapandikizi au sleep cells hawa wanatumika kwa mikakati fulani fulani
Labda na haya mambo ya dini ndio kwaheri na yatakuwa thing of the past
Miaka michache iliyopita kipindi cha pasaka kilikuwa na shamra shamra,
Watu walifanya manunuzi,matangazo ya bendi kufanya matamasha,wasanii,hoteli kuwa na special events,na mambo kama hayo!
Mwaka huu ni kama tuko msibani,,,kila familia iko kimya,imejiinamia,wafanyabiashara walizoea kuuza,sasa wananchi wanayapita MADUKA hawafanyi manunuzi
Kuna jambo haliko sawa
Hayo maisha ya haki unayoyataka ni gani?Sasa hivi kuna maisha ya haki?