Nchi inasherehekea Pasaka kama msiba, hakuna shamrashamra!

Nchi inasherehekea Pasaka kama msiba, hakuna shamrashamra!

WALIZOEA KUIBA SERIKALINI NA KUUZA UNGA NA WAFANYABIASHARA KULETA MAKONTAINA BILA USHURU HELA NYINGI ZILIKUWA ZA HARAMU NDIO MAANA WATU WALIZITUMIA OVYO KWENYE SIKUKUU
Kwa hiyo watanzania karibia wote ni wauza unga wafanyabiashara wqkubwq waingizao makontena bila ushuru? Kwa zako akili hao watu uliowazungumzia unadhan shoping yao ni kariakoo na tandale?so despicable so pathetic !
 
Ukumbuke sikukuu ni pesa, na jana wamepata mishahara, lazima shamra shamra ziwepo tu.....
 
Pasaka sio Sikukuu ya shamra shamra za kihivyo kufuatia kipindi cha Kwaresma. Sikukuu yenyewe ni kesho hivyo shamra shamra zitakuwepo ila fungu la kufanya matangazo ndilo limepungua.

Ni kweli pesa imekuwa ngumu, jana nimepita pale Mlimani City watu ni wengi, foleni za kulipa ni ndefu, na jioni Samaki Samaki pamefunga kama kawa.
P.
Kwa nini fungu la kufanya matangazo lipungue wakati uchum unakua?
 
Kuna ile miaka 5 ya mwishoni, watanzania tutakimbia
 
Hakuna kipindi wasichopiga ndio maana report ya CAG wapigaji hawaitaki kuifanyia kazi...watu wanapiga hadi kwenye matibabu ujaona jamaa baada ya kukaguliwa gharama alizotibiwa kaamka na ufafanuzi wa kauli ya weakness wakati kwenye report za miaka nenda rudi ipo... tatizo sio kauli ni kuwekwa wazi gharama zao za matibabu na upigaji mwingine...
 
Kuna watu wanajibu kwa ufahari na deko nyingi utadhani wana maisha murua kweli kumbe wakijikuna vumbi linatimka.Hali ni ngumu kiuchumi muache kujipa pumbazo la moyo wakati down-under mnaumia kama wanaolalamika.Mnamdanganya nani?
 
Ukumbuke sikukuu ni pesa, na jana wamepata mishahara, lazima shamra shamra ziwepo tu.....
Mishahara?Wanadaiwa madukani kwa akina "Mangi" hadi huzuni.Hawana kitu.Na wasipolipa madeni dukani wajue pa kwenda kukopa upya.CCM hoyeeeeeee!
 
Kuna sehemu kama taifa tumekwama ila kwa kuwa uccm umetumeza tumekuwa tunajifariji tu, huruma sana kuishi Tz.
Dah..! Una akili sana mkuu umemaliza kila kitu alafu wala si uccm mi naona ni hulka yetu watanzania kulalamika pembeni huku kuigiza mambo safi hadharani.

Kimsingi watanzania wengi hawanaga mpango na mambo ya vyama mpaka kipindi cha uchaguzi. Ila hali ni ya taabu mtaani.
TAIFA KUNA MAHALI TUMEKWAMA TUJISAHIHISHE.
 
Miaka michache iliyopita kipindi cha pasaka kilikuwa na shamra shamra,
Watu walifanya manunuzi,matangazo ya bendi kufanya matamasha,wasanii,hoteli kuwa na special events,na mambo kama hayo!

Mwaka huu ni kama tuko msibani,,,kila familia iko kimya,imejiinamia,wafanyabiashara walizoea kuuza,sasa wananchi wanayapita MADUKA hawafanyi manunuzi

Kuna jambo haliko sawa
Wewe ni mchochezi mkuu,Rais wetu ,mtakatifu,kiongozi wa malaika na asiye na kasoro yoyote ile kaifanya Tanzania kuwa tajiri kwa muda mfupi mno,uchumi wa Tanzania ni mkubwa kuliko hata Belgium na mwakani tutakuwa donna kantreeee
..
Wewe una chuki binafsi,CCM Hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeweeeeerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr........
 
Kwetu kila nyumba kadondoshwa ng'ombe mambo no fire ni mwendo wa nyama choma tuu
 
Dah..! Una akili sana mkuu umemaliza kila kitu alafu wala si uccm mi naona ni hulka yetu watanzania kulalamika pembeni huku kuigiza mambo safi hadharani.

Kimsingi watanzania wengi hawanaga mpango na mambo ya vyama mpaka kipindi cha uchaguzi. Ila hali ni ya taabu mtaani.
TAIFA KUNA MAHALI TUMEKWAMA TUJISAHIHISHE.
Mfano, kikao kinaitishwana mkiki mmoja,agenda " Lazima tushinde Afcon hii" Wadanga wanaitika lazima. Yaani ukae tuu mezani na kuamua tunashinda bila mazoezi na juzi za kiufundi kama wenzetu? Watz noma!
 
WALIZOEA KUIBA SERIKALINI NA KUUZA UNGA NA WAFANYABIASHARA KULETA MAKONTAINA BILA USHURU HELA NYINGI ZILIKUWA ZA HARAMU NDIO MAANA WATU WALIZITUMIA OVYO KWENYE SIKUKUU
Kwahiyo na Wafanyakani wa serikali waliokaa miaka minne bila nyongeza za mishahara nao walizoea kuiba serikalini ?
Mwilize huyo mfalme wa Korea ya Kaskazini.
Hivi Annual excréments za wafanyakazi za miaka mnne kazipeleka wapi ?
Akikujibu lete mrejesho.
Gaidi sio lazima akulipue na Bomu.
 
Back
Top Bottom