Nchi inasherehekea Pasaka kama msiba, hakuna shamrashamra!

Nchi inasherehekea Pasaka kama msiba, hakuna shamrashamra!

WALIZOEA KUIBA SERIKALINI NA KUUZA UNGA NA WAFANYABIASHARA KULETA MAKONTAINA BILA USHURU HELA NYINGI ZILIKUWA ZA HARAMU NDIO MAANA WATU WALIZITUMIA OVYO KWENYE SIKUKUU
Mbona ripoti ya sasa hivi ndo inaonyesha kuna hela nyingi sana zimeibiwa historia imevunjwa?na bado mtaani hela hakuna
 
WALIZOEA KUIBA SERIKALINI NA KUUZA UNGA NA WAFANYABIASHARA KULETA MAKONTAINA BILA USHURU HELA NYINGI ZILIKUWA ZA HARAMU NDIO MAANA WATU WALIZITUMIA OVYO KWENYE SIKUKUU
Umeongeaa shudu tupu wewe uko miongoni mwa Yuda!! Mnaopongeza mtu kinafiki na halihalisi inaonekana
 
Ijumaa kuu si ni kumbukumbu ya kifo? Unataka kusikia mirindimo ya miziki? Utakuwa na hamu ya pilau wewe!
 
Pasaka sio Sikukuu ya shamra shamra za kihivyo kufuatia kipindi cha Kwaresma. Sikukuu yenyewe ni kesho hivyo shamra shamra zitakuwepo ila fungu la kufanya matangazo ndilo limepungua.

Ni kweli pesa imekuwa ngumu, jana nimepita pale Mlimani City watu ni wengi, foleni za kulipa ni ndefu, na jioni Samaki Samaki pamefunga kama kawa.
P.
Mkuu wakat huu co Pasaka tu hata zngne zmepoa
 
sijui kwanini tunapenda kulalama sana.

Nakumbuka wana wa Israel Mungu aliwanyima kuingia kaanani kutokana na kupenda kulalama. walioiona kaanani ni vizazi vyao.

Tujifunze kwamba bila kutoa jasho hakuna sahani itayojaa.

Hakuna Serikali duniani inayochukua jukumu la mzazi.
 
Hii si Pasaka ya Wanyonge ila Serikali iko kwa ajili ya Kutetea Wanyongwe.
 
Natamam ufafanue zaidi vilaza tupate mwanga
Hawa watu wapo na wanaandaliwa na mipango husukwa hata miaka 50 au zaidi kuwa jambo fulani litafanyika.
Kwa mfano nchi kama UK wameanza utaratibu wa kuwafundisha somo la kujua ushoga kuanzia umri wa miaka 3 na shule zote wanafundisha sasa.

Dini huku Ulaya hakuna tena waumini wanaoenda kanisani ni kwa ubatizo, ndoa na kifo tu
Hapo utajua ni mikakati iliyotengenezwa hata David Cameron alipopitisha muswada wa gay aliamrishwa
Donald Trump anapofungua Ubalozi Jerusalem sio kwa mapenzi yake hasha bali ni mkakati ulioandaliwa miaka mingi iliyopita yeye anatekeleza tu
Kwanza ni mjerumani
Hapo Israeli hakuna mapenzi ya dini hapana bali ni maslahi ya biashara kubwa na Golan heights kuna mafuta mengi sana.

Tel Aviv leo mji unaongoza kwa wasenge duniani na sherehe zinafanyika kila mwaka
Huu nao ni mkakati ulioandaliwa.

Hivi karibuni tumeona Notre dame cathedral likiteketea kwa moto na dunia nzima ilijua lakini hawajali kuhusu dini yao bali hela za utalii
Maana kama ni dini siku hiyo hiyo msikiti mkubwa wa 3 duniani Al Aqsa uliwaka moto pia the same day lakini hakuna aliejali maana dunia ilikuwa eleysee

Kwa hiyo hao mapandikizi wapo kila sehemu duniani na wapo waliopandikizwa na zipo nchi ndio sera zao hizo kwa kusambaratisha dini zote kwani hata China misikiti mingi sana imevunjwa na waislam wengi wako jela na wengine kuuwawa
Na hiyo ni mikakati pia

Kuna mengi sana yanaendelea duniani ila naona niishie hapa kuna nyama nimenunua nataka kuchoma leo mishkaki maana jua limetoka hapa leo
 
WALIZOEA KUIBA SERIKALINI NA KUUZA UNGA NA WAFANYABIASHARA KULETA MAKONTAINA BILA USHURU HELA NYINGI ZILIKUWA ZA HARAMU NDIO MAANA WATU WALIZITUMIA OVYO KWENYE SIKUKUU
Sikubaliani na wewe kwa sasa watu wanatoka Dar wanafuata mzigo kampala, mzigo ambao ulipita kwenye bandari yetu wee unaona hapo ni sawa??
 
Shetani jaiba matilioni ,utafanya sherehe pesa utatoa wapi wakati mwizi kazilundika anapojua .
 
Back
Top Bottom