Nchi inapopata kiongozi mjinga inakuwa hatari sana hapo ndipo makundi ya kigaidi hujitokeza yanateka na kuuwa tukivuka hapa tusifanye makosa tena

Nchi inapopata kiongozi mjinga inakuwa hatari sana hapo ndipo makundi ya kigaidi hujitokeza yanateka na kuuwa tukivuka hapa tusifanye makosa tena

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Nchi inapopata kiongozi mjinga inakuwa hatari sana hapo ndipo makundi ya kigaidi hujitokeza yanateka na kuuwa tukivuka hapa tusifanye makosa tena.

Lazima tujiulize mpaka sasa ni wangapi wametekwa ni wangapi wame uwawa kikatili ni wangapi wamenyimwa haki zao, ni wangapi wapo gerezani kwa kesi ambazo kila mtu anajua ni za uongo ?

aisee mapambano ya kuondoa makundi haya yata tugharimu sana ndio maana ninasema hatupaswi kuwa na viongozi wajinga tunapaswa kutengeneza mifumo imara na yenye nguvu ikiwemo katiba ya nchi.
 
Hatuwezi kuvuka, Simbachawene a najitahidi lakini hamna kitu, Polisi wanaona kama vile anachekesha. Kwa sasa ikitokea mtu akamjeruhi askari wananchi watafurahi sana
 
Back
Top Bottom