Ninaona waziri mkuu akianika madudu ya serikali kama raia asie na mamlaka. Anakuwa mtu wa kusoma uovu kwa kushangaa na kulalalmika, nikisha hakuna kinachoendelea juu ya maovu hayo. Tatizo ni kwamba hana uwezo?, si kazi yake?, hana nia thabiti zaidi ya propanganda za kisiasa? AU genge la uharibu linamzidi nguvu na hivyo kuishia kuguna na kuacha bora liende?
1. Mwaka jana aliongea wizi wa mabilioni ulifanyika hazina kwa muda mfupi baada ya kifo cha Mh. Magufuli. Baada yya hapo, hatukuona hatua yoyote ya kuonyesha uchungu wa uharifu huo hadi leo kimya. Hii inaashiria wizi wa kughushi malipo serikalini ni halali? Kama hazina ni wezi halali, report za CAG zian nguvu gani kama si matumizi mabaya ya fedha za umma?
Hii ni dalili kwamba hawa watu wamezoea na ni ilitakiwa overhauling ya hiyo ofisi. Lakine leo yako wapi?
2. Leo tena analalamika watu wamekaa china 60+days irrelevantly. Chunguzi hizi huchukua muda gani?
Inaonekana wanapomaliza kusema naye, yanaishia hapo.
Wizara ya fedha, haifai. Ifanyiwe mabadiliko.
3. Kuhusu matumizi ya balozi zetu, alipashwa hili aongee na mama ili aache kuzurura, badala yake atumie balozi zetu kuwasilisha na kusimamia agenda na maslahi ya taif ughaibuni badala ya kila mara barabarani.
Hii ni dhahiri kwamba baada ya mafisadi kushika hatamu, upigaji serkalini utakuwa umerudi pale pale. Watanzania wakakufa na maisha magumu, kdozi zikiwa katika viwango vya juu duniani, na atozo za matumizi juu!. My country Tanzania, nani atatuokoa?
1. Mwaka jana aliongea wizi wa mabilioni ulifanyika hazina kwa muda mfupi baada ya kifo cha Mh. Magufuli. Baada yya hapo, hatukuona hatua yoyote ya kuonyesha uchungu wa uharifu huo hadi leo kimya. Hii inaashiria wizi wa kughushi malipo serikalini ni halali? Kama hazina ni wezi halali, report za CAG zian nguvu gani kama si matumizi mabaya ya fedha za umma?
Hii ni dalili kwamba hawa watu wamezoea na ni ilitakiwa overhauling ya hiyo ofisi. Lakine leo yako wapi?
2. Leo tena analalamika watu wamekaa china 60+days irrelevantly. Chunguzi hizi huchukua muda gani?
Inaonekana wanapomaliza kusema naye, yanaishia hapo.
Wizara ya fedha, haifai. Ifanyiwe mabadiliko.
3. Kuhusu matumizi ya balozi zetu, alipashwa hili aongee na mama ili aache kuzurura, badala yake atumie balozi zetu kuwasilisha na kusimamia agenda na maslahi ya taif ughaibuni badala ya kila mara barabarani.
Hii ni dhahiri kwamba baada ya mafisadi kushika hatamu, upigaji serkalini utakuwa umerudi pale pale. Watanzania wakakufa na maisha magumu, kdozi zikiwa katika viwango vya juu duniani, na atozo za matumizi juu!. My country Tanzania, nani atatuokoa?