Fahamu kwanini Rais kaelekeza viongozi waandamizi kupitia upya hoja za CAG na kuzijibu, ikiwemo kuchukua hatua

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
876
4,101
Hatua za ukusanyaji taarifa, uchakataji, uandaaji na uwasilishaji wa ripoti ya CAG NI hizi zifuatazo;

1. CAG kila mwaka wa Fedha kupitia mpango kazi wake ufanya ukaguzi WA kawaida na ukaguzi maalumu katika taasisi za umma pamoja na mashirika ya umma.

2. Katika ukaguzi wa kawaida na hata ukaguzi maalum CAG uwasilisha Kwa taasisi husika barua yakuomba kufanyika Kwa ukaguzi na kisha barua hiyo ufuatiwa na kikao kazi baina ya wakaguzi na wakaguliwa. Lengo la kikao hiki nikuwatambulisha wakaguzi Kwa menejimenti inayokaguliwa, kueleza scope ya ukaguzi, taarifa wanazohitaji pamoja na muda au kipindi cha ukaguzi.

3. Baada ya kujadiliana na menejimenti wakaguzi uingia kazini na kuibua hoja mbalimbali. Hoja zinazoibuliwa uwasilishwa Kwa wakaguliwa waweze kuzitolea ufafanuzi na majibu ikiwemo kuwasilisha nyaraka mbalimbali kutatua changamoto zinazoibuka. NI katika kipindi hiki Ndipo hoja zisizo na majibu uibuka na zile zenye majibu kufutwa.

4. Baada ya ukaguzi ufanyika exit meeting ambayo lengo lake nikuieleza menejiment wapi wamefanya vyema na wapi panapoonekana Pana dosari.. katika kikao hiki ufunguliwa majadiliano kinzani ya hoja ambapo menejimenti serious ufanya KAZI usiku na mchana kuzifuta hoja kuepusha hoja hizo kuongizwa kwenye vitabu.

5. Hatua ambayo ufuata NI CAG kuandaa draft ya hoja na kuziwasilisha Kwa menejimenti kutaka majibu na hoja hizi ujibiwa Kwa kipindi flani; zile zinazokosa majibu Ndizo uingia kwenye kitabu cha mwisho zikionyesha madhara yatokanayo na hoja husika... Kwa maneno wayapendayo wapiga Kura uita ubadhirifu.

6. Ripoti husika uwasilishwa na kukabidhiwa Kwa Mhe Rais

7. Kwa kuwa Bunge Ndilo jicho la wananchi basi ripoti husika ufika bungeni na Mawaziri WA sekta husika uwajibika kuandaa majibu na ufafanuzi kuzima baadhi ya hoja.

8. Jukumu kubwa la serikali (Mawaziri wakisaidiwa na makatibu wakuu na viongozi waandamizi WA sekta) nikupangua hoja zote kwakuzipatia majibu.

9. Bunge linaweza kutoa maazimio Kwa Yale yote watakayobaini kuwa Mawaziri wameshindwa kuyapatia majibu; kamati za Bunge pia utumia hoja hizi kusisulubu sekta wakati wakifanya vikao kuzipitia hoja.
10. Mchakato WA kufuta hoja uendelea na hivyo kwenye taarifa ya CAG inayofuata hoja zote zilizojibiwa uondolewa na kubaki zile ambazo bado hazijibiki.

Kwa mchakato huu, kwanini Mhe. Rais amerejesha hoja Kwa Katibu Mkuu kiongozi na safu yake?

Majibu.
Kama mlimsikiliza Mhe. Rais kwenye hotuba yake akielekeza serikali au watendaji kufuta hoja ambazo zinafutika au hazina majibu.....hii nikutokana na ukweli kwamba kwenye ripoti ya CAG lazima aeleze hoja zote ambazo aliziwasilisha kipindi cha nyuma na azijapatiwa majibu.

Lengo la Mhe. Rais kumwelekeza Katibu Mkuu kiongozi wazifanyie KAZI hoja hizi nikwakuwa Mhe. Rais anaelewa kwamba ripoti ya CAG ikifika kwake haimaanishi kila ubadhirifu unaotajwa basi ni ubadhirifu.

Lakini pia anaelewa kwamba hoja hizi wanakwenda kukutana nazo Mawaziri bungeni ambapo Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri niyeye...kama Mawaziri wakikosa majibu ikaonekana hoja zote za CAG zipo kama zinavyosomeka basi Baraza la mawaziri litakuwa na shida na hivyo hata Mwenyekiti naye amtaonekana ameshindwa kusimamia.

Wakati huo huo Mhe. Rais anaelewa kwamba kwenye baadhi ya hoja lazima wapo watu wamekiuka maadili ikiwemo wizi; moja ya jukumu la serikali anayoingoza nikuadhibu Tabia zilizopo ndani ya binadamu. Anatambua kwamba anaowaongoza wapo wezi na waadilifu...hivyo ametoa fursa Kwa viongozi na watendaji waliokiuka maadili wawajibishwe na apewe taarifa....Ikumbukwe Mhe. Rais siyo hakimu na wala siyo mpelelezi, yeye anatekeleza sheria. Aidha ripoti ya CAG siyo documenti inayoweza kutumika mahakamani kama ushahidi, ripoti ya CAG inaonyesha maeneo yenye viashiria vya rushwa, uvunjifu WA sheria na ubadhirifu Kwa ajili ya taasisi zenye dhamana ya uchunguzi kuingia kazini. Hello Kwa Mhe. Rais kuwa mstahimilivu kusubiri wasaidizi wake wafanye KAZI na kumpa matokeo.

Tunajifunza nini; ninajifunza kwamba Mhe. Rais anatambua kwamba akihukumu yeye hakuna wakupinga hukumu yake. Hivyo kuliko atoe hukumu Bila kuwa na ushahidi na kuepuka kuingilia mfumo wa mahakama amewapa jukumu wanaomsaidia na aliowapa dhamana.

Swali la mwisho; Je aliowapa dhamana watachukua hatua? Wasipochukua hatua atafanya nini? Awafanye nini?
 
Hatua za ukusanyaji taarifa, uchakataji, uandaaji na uwasilishaji wa ripoti ya CAG NI hizi zifuatazo;

1. CAG kila mwaka wa Fedha kupitia mpango kazi wake ufanya ukaguzi WA kawaida na ukaguzi maalumu katika taasisi za umma pamoja na mashirika ya umma.

2. Katika ukaguzi wa kawaida na hata ukaguzi maalum CAG uwasilisha Kwa taasisi husika barua yakuomba kufanyika Kwa ukaguzi na kisha barua hiyo ufuatiwa na kikao kazi baina ya wakaguzi na wakaguliwa. Lengo la kikao hiki nikuwatambulisha wakaguzi Kwa menejimenti inayokaguliwa, kueleza scope ya ukaguzi, taarifa wanazohitaji pamoja na muda au kipindi cha ukaguzi.

3. Baada ya kujadiliana na menejimenti wakaguzi uingia kazini na kuibua hoja mbalimbali. Hoja zinazoibuliwa uwasilishwa Kwa wakaguliwa waweze kuzitolea ufafanuzi na majibu ikiwemo kuwasilisha nyaraka mbalimbali kutatua changamoto zinazoibuka. NI katika kipindi hiki Ndipo hoja zisizo na majibu uibuka na zile zenye majibu kufutwa.

4. Baada ya ukaguzi ufanyika exit meeting ambayo lengo lake nikuieleza menejiment wapi wamefanya vyema na wapi panapoonekana Pana dosari.. katika kikao hiki ufunguliwa majadiliano kinzani ya hoja ambapo menejimenti serious ufanya KAZI usiku na mchana kuzifuta hoja kuepusha hoja hizo kuongizwa kwenye vitabu.

5. Hatua ambayo ufuata NI CAG kuandaa draft ya hoja na kuziwasilisha Kwa menejimenti kutaka majibu na hoja hizi ujibiwa Kwa kipindi flani; zile zinazokosa majibu Ndizo uingia kwenye kitabu cha mwisho zikionyesha madhara yatokanayo na hoja husika... Kwa maneno wayapendayo wapiga Kura uita ubadhirifu.

6. Ripoti husika uwasilishwa na kukabidhiwa Kwa Mhe Rais

7. Kwa kuwa Bunge Ndilo jicho la wananchi basi ripoti husika ufika bungeni na Mawaziri WA sekta husika uwajibika kuandaa majibu na ufafanuzi kuzima baadhi ya hoja.

8. Jukumu kubwa la serikali (Mawaziri wakisaidiwa na makatibu wakuu na viongozi waandamizi WA sekta) nikupangua hoja zote kwakuzipatia majibu.

9. Bunge linaweza kutoa maazimio Kwa Yale yote watakayobaini kuwa Mawaziri wameshindwa kuyapatia majibu; kamati za Bunge pia utumia hoja hizi kusisulubu sekta wakati wakifanya vikao kuzipitia hoja.
10. Mchakato WA kufuta hoja uendelea na hivyo kwenye taarifa ya CAG inayofuata hoja zote zilizojibiwa uondolewa na kubaki zile ambazo bado hazijibiki.

Kwa mchakato huu, kwanini Mhe. Rais amerejesha hoja Kwa Katibu Mkuu kiongozi na safu yake?

Majibu.
Kama mlimsikiliza Mhe. Rais kwenye hotuba yake akielekeza serikali au watendaji kufuta hoja ambazo zinafutika au hazina majibu.....hii nikutokana na ukweli kwamba kwenye ripoti ya CAG lazima aeleze hoja zote ambazo aliziwasilisha kipindi cha nyuma na azijapatiwa majibu.

Lengo la Mhe. Rais kumwelekeza Katibu Mkuu kiongozi wazifanyie KAZI hoja hizi nikwakuwa Mhe. Rais anaelewa kwamba ripoti ya CAG ikifika kwake haimaanishi kila ubadhirifu unaotajwa basi ni ubadhirifu.

Lakini pia anaelewa kwamba hoja hizi wanakwenda kukutana nazo Mawaziri bungeni ambapo Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri niyeye...kama Mawaziri wakikosa majibu ikaonekana hoja zote za CAG zipo kama zinavyosomeka basi Baraza la mawaziri litakuwa na shida na hivyo hata Mwenyekiti naye amtaonekana ameshindwa kusimamia.

Wakati huo huo Mhe. Rais anaelewa kwamba kwenye baadhi ya hoja lazima wapo watu wamekiuka maadili ikiwemo wizi; moja ya jukumu la serikali anayoingoza nikuadhibu Tabia zilizopo ndani ya binadamu. Anatambua kwamba anaowaongoza wapo wezi na waadilifu...hivyo ametoa fursa Kwa viongozi na watendaji waliokiuka maadili wawajibishwe na apewe taarifa....Ikumbukwe Mhe. Rais siyo hakimu na wala siyo mpelelezi, yeye anatekeleza sheria. Aidha ripoti ya CAG siyo documenti inayoweza kutumika mahakamani kama ushahidi, ripoti ya CAG inaonyesha maeneo yenye viashiria vya rushwa, uvunjifu WA sheria na ubadhirifu Kwa ajili ya taasisi zenye dhamana ya uchunguzi kuingia kazini. Hello Kwa Mhe. Rais kuwa mstahimilivu kusubiri wasaidizi wake wafanye KAZI na kumpa matokeo.

Tunajifunza nini; ninajifunza kwamba Mhe. Rais anatambua kwamba akihukumu yeye hakuna wakupinga hukumu yake. Hivyo kuliko atoe hukumu Bila kuwa na ushahidi na kuepuka kuingilia mfumo wa mahakama amewapa jukumu wanaomsaidia na aliowapa dhamana.

Swali la mwisho; Je aliowapa dhamana watachukua hatua? Wasipochukua hatua atafanya nini? Awafanye nini?
Watanzania unajichosha tu kuwaandikia haya wengi ni wafu wanaotembea. Waambie habari za ndoa za jinsia moja utaona wanavyolipuka as if hapa TZ zipo... waambie habari za mapenzi hapo utawaona umahiri wao wengine hufikia hadi kulia kisa mapensi kwa kuangalia tamthilia za juakali na ujinga mwingine kama mipira n.k

Angalia yanavyodandia hii hoja kishabiki hata hayaelewi nini kinaendelea.

Nyerere alijenga nchi ya hovyo sana.
 
Mn
Watanzania unajichosha tu kuwaandikia haya wengi ni wafu wanaotembea. Waambie habari za ndoa za jinsia moja utaona wanavyolipuka as if hapa TZ zipo... waambie habari za mapenzi hapo utawaona umahiri wao wengine hufikia hadi kulia kisa mapensi kwa kuangalia tamthilia za juakali na ujinga mwingine kama mipira n.k

Angalia yanavyodandia hii hoja kishabiki hata hayaelewi nini kinaendelea.

Nyerere alijenga nchi ya hovyo sana.
Nikweli mkuu
 
Hatua za ukusanyaji taarifa, uchakataji, uandaaji na uwasilishaji wa ripoti ya CAG NI hizi zifuatazo;

1. CAG kila mwaka wa Fedha kupitia mpango kazi wake ufanya ukaguzi WA kawaida na ukaguzi maalumu katika taasisi za umma pamoja na mashirika ya umma.

2. Katika ukaguzi wa kawaida na hata ukaguzi maalum CAG uwasilisha Kwa taasisi husika barua yakuomba kufanyika Kwa ukaguzi na kisha barua hiyo ufuatiwa na kikao kazi baina ya wakaguzi na wakaguliwa. Lengo la kikao hiki nikuwatambulisha wakaguzi Kwa menejimenti inayokaguliwa, kueleza scope ya ukaguzi, taarifa wanazohitaji pamoja na muda au kipindi cha ukaguzi.

3. Baada ya kujadiliana na menejimenti wakaguzi uingia kazini na kuibua hoja mbalimbali. Hoja zinazoibuliwa uwasilishwa Kwa wakaguliwa waweze kuzitolea ufafanuzi na majibu ikiwemo kuwasilisha nyaraka mbalimbali kutatua changamoto zinazoibuka. NI katika kipindi hiki Ndipo hoja zisizo na majibu uibuka na zile zenye majibu kufutwa.

4. Baada ya ukaguzi ufanyika exit meeting ambayo lengo lake nikuieleza menejiment wapi wamefanya vyema na wapi panapoonekana Pana dosari.. katika kikao hiki ufunguliwa majadiliano kinzani ya hoja ambapo menejimenti serious ufanya KAZI usiku na mchana kuzifuta hoja kuepusha hoja hizo kuongizwa kwenye vitabu.

5. Hatua ambayo ufuata NI CAG kuandaa draft ya hoja na kuziwasilisha Kwa menejimenti kutaka majibu na hoja hizi ujibiwa Kwa kipindi flani; zile zinazokosa majibu Ndizo uingia kwenye kitabu cha mwisho zikionyesha madhara yatokanayo na hoja husika... Kwa maneno wayapendayo wapiga Kura uita ubadhirifu.

6. Ripoti husika uwasilishwa na kukabidhiwa Kwa Mhe Rais

7. Kwa kuwa Bunge Ndilo jicho la wananchi basi ripoti husika ufika bungeni na Mawaziri WA sekta husika uwajibika kuandaa majibu na ufafanuzi kuzima baadhi ya hoja.

8. Jukumu kubwa la serikali (Mawaziri wakisaidiwa na makatibu wakuu na viongozi waandamizi WA sekta) nikupangua hoja zote kwakuzipatia majibu.

9. Bunge linaweza kutoa maazimio Kwa Yale yote watakayobaini kuwa Mawaziri wameshindwa kuyapatia majibu; kamati za Bunge pia utumia hoja hizi kusisulubu sekta wakati wakifanya vikao kuzipitia hoja.
10. Mchakato WA kufuta hoja uendelea na hivyo kwenye taarifa ya CAG inayofuata hoja zote zilizojibiwa uondolewa na kubaki zile ambazo bado hazijibiki.

Kwa mchakato huu, kwanini Mhe. Rais amerejesha hoja Kwa Katibu Mkuu kiongozi na safu yake?

Majibu.
Kama mlimsikiliza Mhe. Rais kwenye hotuba yake akielekeza serikali au watendaji kufuta hoja ambazo zinafutika au hazina majibu.....hii nikutokana na ukweli kwamba kwenye ripoti ya CAG lazima aeleze hoja zote ambazo aliziwasilisha kipindi cha nyuma na azijapatiwa majibu.

Lengo la Mhe. Rais kumwelekeza Katibu Mkuu kiongozi wazifanyie KAZI hoja hizi nikwakuwa Mhe. Rais anaelewa kwamba ripoti ya CAG ikifika kwake haimaanishi kila ubadhirifu unaotajwa basi ni ubadhirifu.

Lakini pia anaelewa kwamba hoja hizi wanakwenda kukutana nazo Mawaziri bungeni ambapo Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri niyeye...kama Mawaziri wakikosa majibu ikaonekana hoja zote za CAG zipo kama zinavyosomeka basi Baraza la mawaziri litakuwa na shida na hivyo hata Mwenyekiti naye amtaonekana ameshindwa kusimamia.

Wakati huo huo Mhe. Rais anaelewa kwamba kwenye baadhi ya hoja lazima wapo watu wamekiuka maadili ikiwemo wizi; moja ya jukumu la serikali anayoingoza nikuadhibu Tabia zilizopo ndani ya binadamu. Anatambua kwamba anaowaongoza wapo wezi na waadilifu...hivyo ametoa fursa Kwa viongozi na watendaji waliokiuka maadili wawajibishwe na apewe taarifa....Ikumbukwe Mhe. Rais siyo hakimu na wala siyo mpelelezi, yeye anatekeleza sheria. Aidha ripoti ya CAG siyo documenti inayoweza kutumika mahakamani kama ushahidi, ripoti ya CAG inaonyesha maeneo yenye viashiria vya rushwa, uvunjifu WA sheria na ubadhirifu Kwa ajili ya taasisi zenye dhamana ya uchunguzi kuingia kazini. Hello Kwa Mhe. Rais kuwa mstahimilivu kusubiri wasaidizi wake wafanye KAZI na kumpa matokeo.

Tunajifunza nini; ninajifunza kwamba Mhe. Rais anatambua kwamba akihukumu yeye hakuna wakupinga hukumu yake. Hivyo kuliko atoe hukumu Bila kuwa na ushahidi na kuepuka kuingilia mfumo wa mahakama amewapa jukumu wanaomsaidia na aliowapa dhamana.

Swali la mwisho; Je aliowapa dhamana watachukua hatua? Wasipochukua hatua atafanya nini? Awafanye nini?
Wacha wajanja wajipigie
 
Hatua za ukusanyaji taarifa, uchakataji, uandaaji na uwasilishaji wa ripoti ya CAG NI hizi zifuatazo;

1. CAG kila mwaka wa Fedha kupitia mpango kazi wake ufanya ukaguzi WA kawaida na ukaguzi maalumu katika taasisi za umma pamoja na mashirika ya umma.

2. Katika ukaguzi wa kawaida na hata ukaguzi maalum CAG uwasilisha Kwa taasisi husika barua yakuomba kufanyika Kwa ukaguzi na kisha barua hiyo ufuatiwa na kikao kazi baina ya wakaguzi na wakaguliwa. Lengo la kikao hiki nikuwatambulisha wakaguzi Kwa menejimenti inayokaguliwa, kueleza scope ya ukaguzi, taarifa wanazohitaji pamoja na muda au kipindi cha ukaguzi.

3. Baada ya kujadiliana na menejimenti wakaguzi uingia kazini na kuibua hoja mbalimbali. Hoja zinazoibuliwa uwasilishwa Kwa wakaguliwa waweze kuzitolea ufafanuzi na majibu ikiwemo kuwasilisha nyaraka mbalimbali kutatua changamoto zinazoibuka. NI katika kipindi hiki Ndipo hoja zisizo na majibu uibuka na zile zenye majibu kufutwa.

4. Baada ya ukaguzi ufanyika exit meeting ambayo lengo lake nikuieleza menejiment wapi wamefanya vyema na wapi panapoonekana Pana dosari.. katika kikao hiki ufunguliwa majadiliano kinzani ya hoja ambapo menejimenti serious ufanya KAZI usiku na mchana kuzifuta hoja kuepusha hoja hizo kuongizwa kwenye vitabu.

5. Hatua ambayo ufuata NI CAG kuandaa draft ya hoja na kuziwasilisha Kwa menejimenti kutaka majibu na hoja hizi ujibiwa Kwa kipindi flani; zile zinazokosa majibu Ndizo uingia kwenye kitabu cha mwisho zikionyesha madhara yatokanayo na hoja husika... Kwa maneno wayapendayo wapiga Kura uita ubadhirifu.

6. Ripoti husika uwasilishwa na kukabidhiwa Kwa Mhe Rais

7. Kwa kuwa Bunge Ndilo jicho la wananchi basi ripoti husika ufika bungeni na Mawaziri WA sekta husika uwajibika kuandaa majibu na ufafanuzi kuzima baadhi ya hoja.

8. Jukumu kubwa la serikali (Mawaziri wakisaidiwa na makatibu wakuu na viongozi waandamizi WA sekta) nikupangua hoja zote kwakuzipatia majibu.

9. Bunge linaweza kutoa maazimio Kwa Yale yote watakayobaini kuwa Mawaziri wameshindwa kuyapatia majibu; kamati za Bunge pia utumia hoja hizi kusisulubu sekta wakati wakifanya vikao kuzipitia hoja.
10. Mchakato WA kufuta hoja uendelea na hivyo kwenye taarifa ya CAG inayofuata hoja zote zilizojibiwa uondolewa na kubaki zile ambazo bado hazijibiki.

Kwa mchakato huu, kwanini Mhe. Rais amerejesha hoja Kwa Katibu Mkuu kiongozi na safu yake?

Majibu.
Kama mlimsikiliza Mhe. Rais kwenye hotuba yake akielekeza serikali au watendaji kufuta hoja ambazo zinafutika au hazina majibu.....hii nikutokana na ukweli kwamba kwenye ripoti ya CAG lazima aeleze hoja zote ambazo aliziwasilisha kipindi cha nyuma na azijapatiwa majibu.

Lengo la Mhe. Rais kumwelekeza Katibu Mkuu kiongozi wazifanyie KAZI hoja hizi nikwakuwa Mhe. Rais anaelewa kwamba ripoti ya CAG ikifika kwake haimaanishi kila ubadhirifu unaotajwa basi ni ubadhirifu.

Lakini pia anaelewa kwamba hoja hizi wanakwenda kukutana nazo Mawaziri bungeni ambapo Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri niyeye...kama Mawaziri wakikosa majibu ikaonekana hoja zote za CAG zipo kama zinavyosomeka basi Baraza la mawaziri litakuwa na shida na hivyo hata Mwenyekiti naye amtaonekana ameshindwa kusimamia.

Wakati huo huo Mhe. Rais anaelewa kwamba kwenye baadhi ya hoja lazima wapo watu wamekiuka maadili ikiwemo wizi; moja ya jukumu la serikali anayoingoza nikuadhibu Tabia zilizopo ndani ya binadamu. Anatambua kwamba anaowaongoza wapo wezi na waadilifu...hivyo ametoa fursa Kwa viongozi na watendaji waliokiuka maadili wawajibishwe na apewe taarifa....Ikumbukwe Mhe. Rais siyo hakimu na wala siyo mpelelezi, yeye anatekeleza sheria. Aidha ripoti ya CAG siyo documenti inayoweza kutumika mahakamani kama ushahidi, ripoti ya CAG inaonyesha maeneo yenye viashiria vya rushwa, uvunjifu WA sheria na ubadhirifu Kwa ajili ya taasisi zenye dhamana ya uchunguzi kuingia kazini. Hello Kwa Mhe. Rais kuwa mstahimilivu kusubiri wasaidizi wake wafanye KAZI na kumpa matokeo.

Tunajifunza nini; ninajifunza kwamba Mhe. Rais anatambua kwamba akihukumu yeye hakuna wakupinga hukumu yake. Hivyo kuliko atoe hukumu Bila kuwa na ushahidi na kuepuka kuingilia mfumo wa mahakama amewapa jukumu wanaomsaidia na aliowapa dhamana.

Swali la mwisho; Je aliowapa dhamana watachukua hatua? Wasipochukua hatua atafanya nini? Awafanye nini?
Tusali sana 2025 tuachane na hii biashara
 
Maelezo mengi ungeandika tuu hao wanatakiwa kuwajibishwa ni kupangiwa majukumu mengine
 
Maelezo mengi ungeandika tuu hao wanatakiwa kuwajibishwa ni kupangiwa majukumu mengine
Nakubaliana nawe kuwa mleta mada ameegemea kumsifia Rais badala ya ukweli kwamba wachunguzwa wanapasa kuwa wamechukua hatua dhidi ya ubadhirifu ambao walishindwa kumridhisha CAG na timu yake. Kama wangefanya hivyo, kwa maeneo ya ubadhirifu, CAG angetoa ripoti kuhusu hayo. Km ununuzi hewa wa kifaa X, wahusika kwenye hiyo Taasisi hufahamika na menejimenti inapashwa kuchukua hatua mara moja CAG anapouona, kuuonesha kwao.

Kwa hoja yangu hiyo, Wakurugenzi wa Bodi za Taasisi hizo na Watendaji Wakuu wawajibishwe mara moja na Vyombo vya Dola viingie kazini kuchunguza kama nao walihusika. Kazi kwao ndio iwe mwisho kwa sababu ya kutokuwajibika. CHEO NI DHAMANA
 
Umeeleza vyema sana, tatizo nimeona nchi hii tuna madikteta wengi ni vile hawajashika madaraka tuu, tumuombe Mungu atupe wakina Samia wengi wanao heshimu UTU wa MTU kwa kuzingatia GOOD GOVERNANCE.
 
Ni upuuzi tu

USSR
Hakuna report ngumu kwenye utawala wwt km ya ukaguzi (audit),wanaipigania hii kwakua mashirika ya njewkt wanaenda kopa hii nimojawapo yakipimo kuona matumizi yapoje. ..very tough report hivyo unahitaji watu wanaojua kazi zao kuweza pangua hoja.
 
Hatua za ukusanyaji taarifa, uchakataji, uandaaji na uwasilishaji wa ripoti ya CAG NI hizi zifuatazo;

1. CAG kila mwaka wa Fedha kupitia mpango kazi wake ufanya ukaguzi WA kawaida na ukaguzi maalumu katika taasisi za umma pamoja na mashirika ya umma.

2. Katika ukaguzi wa kawaida na hata ukaguzi maalum CAG uwasilisha Kwa taasisi husika barua yakuomba kufanyika Kwa ukaguzi na kisha barua hiyo ufuatiwa na kikao kazi baina ya wakaguzi na wakaguliwa. Lengo la kikao hiki nikuwatambulisha wakaguzi Kwa menejimenti inayokaguliwa, kueleza scope ya ukaguzi, taarifa wanazohitaji pamoja na muda au kipindi cha ukaguzi.

3. Baada ya kujadiliana na menejimenti wakaguzi uingia kazini na kuibua hoja mbalimbali. Hoja zinazoibuliwa uwasilishwa Kwa wakaguliwa waweze kuzitolea ufafanuzi na majibu ikiwemo kuwasilisha nyaraka mbalimbali kutatua changamoto zinazoibuka. NI katika kipindi hiki Ndipo hoja zisizo na majibu uibuka na zile zenye majibu kufutwa.

4. Baada ya ukaguzi ufanyika exit meeting ambayo lengo lake nikuieleza menejiment wapi wamefanya vyema na wapi panapoonekana Pana dosari.. katika kikao hiki ufunguliwa majadiliano kinzani ya hoja ambapo menejimenti serious ufanya KAZI usiku na mchana kuzifuta hoja kuepusha hoja hizo kuongizwa kwenye vitabu.

5. Hatua ambayo ufuata NI CAG kuandaa draft ya hoja na kuziwasilisha Kwa menejimenti kutaka majibu na hoja hizi ujibiwa Kwa kipindi flani; zile zinazokosa majibu Ndizo uingia kwenye kitabu cha mwisho zikionyesha madhara yatokanayo na hoja husika... Kwa maneno wayapendayo wapiga Kura uita ubadhirifu.

6. Ripoti husika uwasilishwa na kukabidhiwa Kwa Mhe Rais

7. Kwa kuwa Bunge Ndilo jicho la wananchi basi ripoti husika ufika bungeni na Mawaziri WA sekta husika uwajibika kuandaa majibu na ufafanuzi kuzima baadhi ya hoja.

8. Jukumu kubwa la serikali (Mawaziri wakisaidiwa na makatibu wakuu na viongozi waandamizi WA sekta) nikupangua hoja zote kwakuzipatia majibu.

9. Bunge linaweza kutoa maazimio Kwa Yale yote watakayobaini kuwa Mawaziri wameshindwa kuyapatia majibu; kamati za Bunge pia utumia hoja hizi kusisulubu sekta wakati wakifanya vikao kuzipitia hoja.
10. Mchakato WA kufuta hoja uendelea na hivyo kwenye taarifa ya CAG inayofuata hoja zote zilizojibiwa uondolewa na kubaki zile ambazo bado hazijibiki.

Kwa mchakato huu, kwanini Mhe. Rais amerejesha hoja Kwa Katibu Mkuu kiongozi na safu yake?

Majibu.
Kama mlimsikiliza Mhe. Rais kwenye hotuba yake akielekeza serikali au watendaji kufuta hoja ambazo zinafutika au hazina majibu.....hii nikutokana na ukweli kwamba kwenye ripoti ya CAG lazima aeleze hoja zote ambazo aliziwasilisha kipindi cha nyuma na azijapatiwa majibu.

Lengo la Mhe. Rais kumwelekeza Katibu Mkuu kiongozi wazifanyie KAZI hoja hizi nikwakuwa Mhe. Rais anaelewa kwamba ripoti ya CAG ikifika kwake haimaanishi kila ubadhirifu unaotajwa basi ni ubadhirifu.

Lakini pia anaelewa kwamba hoja hizi wanakwenda kukutana nazo Mawaziri bungeni ambapo Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri niyeye...kama Mawaziri wakikosa majibu ikaonekana hoja zote za CAG zipo kama zinavyosomeka basi Baraza la mawaziri litakuwa na shida na hivyo hata Mwenyekiti naye amtaonekana ameshindwa kusimamia.

Wakati huo huo Mhe. Rais anaelewa kwamba kwenye baadhi ya hoja lazima wapo watu wamekiuka maadili ikiwemo wizi; moja ya jukumu la serikali anayoingoza nikuadhibu Tabia zilizopo ndani ya binadamu. Anatambua kwamba anaowaongoza wapo wezi na waadilifu...hivyo ametoa fursa Kwa viongozi na watendaji waliokiuka maadili wawajibishwe na apewe taarifa....Ikumbukwe Mhe. Rais siyo hakimu na wala siyo mpelelezi, yeye anatekeleza sheria. Aidha ripoti ya CAG siyo documenti inayoweza kutumika mahakamani kama ushahidi, ripoti ya CAG inaonyesha maeneo yenye viashiria vya rushwa, uvunjifu WA sheria na ubadhirifu Kwa ajili ya taasisi zenye dhamana ya uchunguzi kuingia kazini. Hello Kwa Mhe. Rais kuwa mstahimilivu kusubiri wasaidizi wake wafanye KAZI na kumpa matokeo.

Tunajifunza nini; ninajifunza kwamba Mhe. Rais anatambua kwamba akihukumu yeye hakuna wakupinga hukumu yake. Hivyo kuliko atoe hukumu Bila kuwa na ushahidi na kuepuka kuingilia mfumo wa mahakama amewapa jukumu wanaomsaidia na aliowapa dhamana.

Swali la mwisho; Je aliowapa dhamana watachukua hatua? Wasipochukua hatua atafanya nini? Awafanye nini?
Ni umetiririka vizuri sana ndugu yangu. Mimi ninasimamia kwenye USAHIHI katibu mkuu wa Wizara anaweza kumuwajibisha Waziri. Au anawezaje kumuwajibisha mtu aliyepo kwa favor yake na analipa fadhila?? Anaweza kujiwajibisha?

Ningeshauri Bunge lirekebishe sheria ya TAKUKURU iongezewe kipengele cha kudeal na ripoti ya CAG na isisubiri kuagizwa. Yes TAKUKURU iwe ndo intelejensia yetu ya uchumi kwa kuzuia rushwa, kung'amua ubadhirifu na jinai za kiutumishi wa Umma.

Kunsubiri Rais aagize ni kukosa uadilifu wa kikatiba hasa unapokuja utashi wa kupambana na ufisadi, ubadhirifu na dhambi zinazoumiza uchumi na maendeleo ya Taifa
 
Watanzania unajichosha tu kuwaandikia haya wengi ni wafu wanaotembea. Waambie habari za ndoa za jinsia moja utaona wanavyolipuka as if hapa TZ zipo... waambie habari za mapenzi hapo utawaona umahiri wao wengine hufikia hadi kulia kisa mapensi kwa kuangalia tamthilia za juakali na ujinga mwingine kama mipira n.k

Angalia yanavyodandia hii hoja kishabiki hata hayaelewi nini kinaendelea.

Nyerere alijenga nchi ya hovyo sana.
Jana nimeongea na shangazi yangu yuko kijijini huko. Ameniambia sikukuu ya Pasaka misa zote zimetaliwa na mahubiri ya mapadri kuwatahadharisha waumini kuwa ushoga unaingia kwa kasi Tanzania na kuna mpaka mwenyekiti wao. Mkuu Lusungo umesema kweli kabisa. Ila mimi sidhani sidhani shida ilianzia kwa Nyerere. Nasema hivi kwa sababu wale wasomi wa enzi za Nyerere mbona walikuwa wako vizuri sana vichwani? Kiini cha tatizo tulilonalo naona kimeanza miaka ya 1990 hivi. Kuanzia kipindi hiki elimu yetu ili-base zaidi kwenye kukariri ili kushinda mitihani na siyo kusoma ili kuelewa. Nakumbuka miaka hii ndiyo shule ziliweka vipaumbele kwenye kitu kinachoitwa ''tuition'' na wanafunzi wanapokuwa huko basically walikuwa wanaletewa past papers za mitihani ili kukariri majibu. Kwa kifupi kusomesha wanafunzi kulifutwa na kipaumbele kikawa ni kukaririsha wanafunzi.
 
Watanzania tunapenda Habari za JUMA LOKOLE, Mama Almas, Wema, yule sijui Aristoto, SIMBA, YANGA
Watanzania unajichosha tu kuwaandikia haya wengi ni wafu wanaotembea. Waambie habari za ndoa za jinsia moja utaona wanavyolipuka as if hapa TZ zipo... waambie habari za mapenzi hapo utawaona umahiri wao wengine hufikia hadi kulia kisa mapensi kwa kuangalia tamthilia za juakali na ujinga mwingine kama mipira n.k

Angalia yanavyodandia hii hoja kishabiki hata hayaelewi nini kinaendelea.

Nyerere alijenga nchi ya hovyo sana.
 
Jana nimeongea na shangazi yangu yuko kijijini huko. Ameniambia sikukuu ya Pasaka misa zote zimetaliwa na mahubiri ya mapadri kuwatahadharisha waumini kuwa ushoga unaingia kwa kasi Tanzania na kuna mpaka mwenyekiti wao. Mkuu Lusungo umesema kweli kabisa. Ila mimi sidhani sidhani shida ilianzia kwa Nyerere. Nasema hivi kwa sababu wale wasomi wa enzi za Nyerere mbona walikuwa wako vizuri sana vichwani? Kiini cha tatizo tulilonalo naona kimeanza miaka ya 1990 hivi. Kuanzia kipindi hiki elimu yetu ili-base zaidi kwenye kukariri ili kushinda mitihani na siyo kusoma ili kuelewa. Nakumbuka miaka hii ndiyo shule ziliweka vipaumbele kwenye kitu kinachoitwa ''tuition'' na wanafunzi wanapokuwa huko basically walikuwa wanaletewa past papers za mitihani ili kukariri majibu. Kwa kifupi kusomesha wanafunzi kulifutwa na kipaumbele kikawa ni kukaririsha wanafunzi.
Tunaacha matatizo halisi yanayotukabili kama jamii tunatilia mkazo kwenye hoja za kipuuzi sana! Sijawahi sikia maaskofu wakitumia majukwaa yao kusisitiza au kufundisha waumini umuhimu wa katiba mpya, athari za ufisadi, utunzaji na usafi wa mazingira na kubwa zaidi ni namna gani wapambane na umaskini.

Unachosema ni kweli maana jana nimeangalia taarifa ya ITV nchi nzima makanisani kulitawaliwa na habari za ndoa za jinsia moja je ni kweli nchi hii hizo ndoa zipo? Ni kweli hilo ndo tatizo kubwa sana linalotukabili au ni upuuzi na ujinga wa viongozi wa dini?

Nimeongelea Nyerere maana alipandikiza sana ujinga kipitia ujamaa wake ndio maana tuna kizazi cha hovyo sana.
 
Number 5 inakinzana na majumuisho yako kasome tena ulichoandika!
Kama menejiment ndiyo Ina wataalamu na wahusika wakuu katika hayo maswala ya fedha iweje waziri Sasa ambaye Ni political figure asiyekua na utaalam wowote akapangue Tena hoja hizo?
Nisaidie hapo kiongozi!
 
Tunaacha matatizo halisi yanayotukabili kama jamii tunatilia mkazo kwenye hoja za kipuuzi sana! Sijawahi sikia maaskofu wakitumia majukwaa yao kusisitiza au kufundisha waumini umuhimu wa katiba mpya, athari za ufisadi, utunzaji na usafi wa mazingira na kubwa zaidi ni namna gani wapambane na umaskini.

Unachosema ni kweli maana jana nimeangalia taarifa ya ITV nchi nzima makanisani kulitawaliwa na habari za ndoa za jinsia moja je ni kweli nchi hii hizo ndoa zipo? Ni kweli hilo ndo tatizo kubwa sana linalotukabili au ni upuuzi na ujinga wa viongozi wa dini?

Nimeongelea Nyerere maana alipandikiza sana ujinga kipitia ujamaa wake ndio maana tuna kizazi cha hovyo sana.
BTW hawa watu hawajui kuwa haya matatizo ya ufisadi na uongozi mbovu ndiyo yanasababisha mmomonyoko wa maadili na dhambi including huo ushoga! Wako mashoga wengi tu ''wametengenezwa'' kwa sababu ya huu uongozi mbovu. Kama huko uswahilini watu wanaishi maisha ya kuhemea kama kuku wa kienyeji, hawana muda wa kuangalia watoto wao. Matokeo yake ni kuwa watoto wanaanza kunyanyaswa tangu wakiwa wadogo na hakuna wa kuwalinda. Polisi na judiciary system wako ICU, jamii iko busy kuhemea, kwa nini mashoga wasichipukie?
 
BTW hawa watu hawajui kuwa haya matatizo ya ufisadi na uongozi mbovu ndiyo yanasababisha mmomonyoko wa maadili na dhambi including huo ushoga! Wako mashoga wengi tu ''wametengenezwa'' kwa sababu ya huu uongozi mbovu. Kama huko uswahilini watu wanaishi maisha ya kuhemea kama kuku wa kienyeji, hawana muda wa kuangalia watoto wao. Matokeo yake ni kuwa watoto wanaanza kunyanyaswa tangu wakiwa wadogo na hakuna wa kuwalinda. Polisi na judiciary system wako ICU, jamii iko busy kuhemea, kwa nini mashoga wasichipukie?
Halafu yalivyo majinga yanaamini hivi vitu ulaya vipo kwa kila family wakati ulaya level of civilization katika ngazi ya familia ni kubwa mara miamoja kulinganisha na Africa.
 
Watanzania unajichosha tu kuwaandikia haya wengi ni wafu wanaotembea. Waambie habari za ndoa za jinsia moja utaona wanavyolipuka as if hapa TZ zipo... waambie habari za mapenzi hapo utawaona umahiri wao wengine hufikia hadi kulia kisa mapensi kwa kuangalia tamthilia za juakali na ujinga mwingine kama mipira n.k

Angalia yanavyodandia hii hoja kishabiki hata hayaelewi nini kinaendelea.

Nyerere alijenga nchi ya hovyo sana.
Jamii mfu ambayo haiwezi kuhoji ni kusifu na mapambio 'yaani ni bora liende'
 
Back
Top Bottom