kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,247
- 16,169
Tuliokuwepo tangu awamu ya kwanza tunafahamu kwanini kelele za huyooo huyooo, mchinjeee mchinjeee zinasikika kwa wingi. Nchi imepaa ndani ya muda mfupi tu wa awamu hii unexpected.
Ukiona nchi inapaa kwa kutumia vyanzo na rasilimali zilezile walizonazo awamu nyingine maana yake Kuna mirija ya zamani imefungwa na mingine mipya imefunguliwa.
Mirija iliyofungwa ndio chanzo kikuu cha kelele zinazosikika. Aina na ukubwa wa kilele hizo utategemea upana na urefu wa mirija iliyofungwa na watu na idadi yao waliokuwa wanategemea mirija hiyo.
Kumalizia mamiradi yote ambayo aliianziaha marehemu Magufuli kwa wakati na kuanzisha na kumaliza mingine was unexpected kwa mwanagenzi tena mwanamke tena muislamu tena mzanzibar.
Wote tunafahamu kelele zinazosikika Zina ukubwa Gani, ni za aina Gani, ni za akina nani, zinatokea upande gani na Zina harufu Gani.
Wamekwama, Sasa wanataka kuwachochoe askari ili wafanye jambo, maana wao wameshindwa na kukwama kwakuwa wananchi hawawaelewi.
Tunafahamu na tunawajuwa, songa mbeleen tuko nyuma yako kwa kukuwa tunawajuwa. Ukishajua jina la mbwa wao nusu ya kazi imekwisha. Bandari ndilo lililokuwa rija lao kuu kupita mamirija yao yooote, umeliziba ndindindi.
Ukiona nchi inapaa kwa kutumia vyanzo na rasilimali zilezile walizonazo awamu nyingine maana yake Kuna mirija ya zamani imefungwa na mingine mipya imefunguliwa.
Mirija iliyofungwa ndio chanzo kikuu cha kelele zinazosikika. Aina na ukubwa wa kilele hizo utategemea upana na urefu wa mirija iliyofungwa na watu na idadi yao waliokuwa wanategemea mirija hiyo.
Kumalizia mamiradi yote ambayo aliianziaha marehemu Magufuli kwa wakati na kuanzisha na kumaliza mingine was unexpected kwa mwanagenzi tena mwanamke tena muislamu tena mzanzibar.
Wote tunafahamu kelele zinazosikika Zina ukubwa Gani, ni za aina Gani, ni za akina nani, zinatokea upande gani na Zina harufu Gani.
Wamekwama, Sasa wanataka kuwachochoe askari ili wafanye jambo, maana wao wameshindwa na kukwama kwakuwa wananchi hawawaelewi.
Tunafahamu na tunawajuwa, songa mbeleen tuko nyuma yako kwa kukuwa tunawajuwa. Ukishajua jina la mbwa wao nusu ya kazi imekwisha. Bandari ndilo lililokuwa rija lao kuu kupita mamirija yao yooote, umeliziba ndindindi.