imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,035
Sisi tunampima kwa madini yake huo Uhizbu unaujuwa wewe.Hivi lini MCHAWI akasifia haki ya mutume wa Mungu?!!!
HIZBU NI HIZBU tu
Sisi tunampima kwa madini yake huo Uhizbu unaujuwa wewe.Hivi lini MCHAWI akasifia haki ya mutume wa Mungu?!!!
HIZBU NI HIZBU tu
Haijalishi, so long as ana simamia anacho kiamini' juu ya jambo fulani ambalo analijengea hoja! kwangu si tatizo, Lazima tujifunze kukubali kutokukubaliana! Kuna hii dhana ya kila anayetoa angalizo ama jambo fulani lilokinyume na itikadi ya kundi fulani basi atapachikwa 'Kibaraka, anatumika na mabeberu na Si Mzalendo' mantiki ya Uzalendo imepotoshwa sana siku za hivi karibuni! Inasikitisha!Hizbu huyo....masalia ya itikadi za akina Sultan Jamshid.....
Haya mpime ila CCM yote inajua huyo ni hizbu....Sisi tunampima kwa madini yake huo Uhizbu unaujuwa wewe.
Chandimu 😂😂 mtajifariji hadi kufaMajuha kama wewe ni tatizo kubwa sana nchi hii. Mmeongeza idadi ya Wapumbavu nchini na sasa Tanzania inaongoza duniani kwa kuwa na Wapumbavu wengi kuliko nchi yoyote ili duniani.
Endelea kusikitika tu....Haijalishi, so long as ana simamia anacho kiamini' juu ya jambo fulani ambalo analijengea hoja! kwangu si tatizo, Lazima tujifunze kukubali kutokukubaliana! Kuna hii dhana ya kila anayetoa angalizo ama jambo fulani lilokinyume na itikadi ya kundi fulani basi atapachikwa 'Kibaraka, anatumika na mabeberu na Si Mzalendo' mantiki ya Uzalendo imepotoshwa sana siku za hivo karibuni! Inasikitisha!
Mama ataendelea mpk kifo kitakapomtwaa. Nchi hii ya maiti hakuna wa kumzuia.
Nawachukia sana watanzania
CCM imeishiwa inamtegemea Sirro tu na mashushushu wenzake.Haya mpime ila CCM yote inajua huyo ni hizbu....
Sasa endelea kuwapuuza CCM.....🤣🤣🤣
Aendelee tu KUUFUKUZA UPEPO🤣🤣Chandimu 😂😂 mtajifariji hadi kufa
Mohamed Al Ghassani ni HIZBU.... unategemea nini kwake?!!!
#Siempre JMT
Hata Al Ghassani anayasema hayohayo.....CCM imeishiwa inamtegemea Sirro tu na mashushushu wenzake.
Mh.Rais SSH akitaka aongoze vyema akopi kidogo mfumo wa hayati JPM huku akichanganya na wa Marais wengine wastaafu.....
Watanzania huwa hawaendi kwa KUWACHEKEA.......
SIEMPRE JMT
Gurnah haendelezi UHIZBU...huyo Ghassani bado UNAMKEREKETA....Hizbu kama Abdularazak Gurnah?
Haya mpime ila CCM yote inajua huyo ni hizbu....
Sasa endelea kuwapuuza CCM.....
Hawaendi wapi wewe Kibwengo?
Yaaan marehemu ana nguvu tena duniani za kulaan watu?? tuwage silious kidogo basi mda mwingine!! shikamoo waarabu!Mtume (SAW) mlaani huyu shetani wa kike anayeonea watu
Unailinganisha Tanzania na nchi za MAGHARIBI?!!Kwani wewe unaishi Tanzania ipi ambayo huguswi na nchi kukosa maendeleo nchi baada ya miaka 60 ya uhuru haina chochote kile cha kujivunia?
Bongo ZWAZWA mkubwa!!!
🤣Inaelekea wapi? Sio kwamba wewe ndio unatishika? 😂😂 Chadomo kwa kujifariji hamjambo.
Majuha kama wewe ni tatizo kubwa sana nchi hii. Mmeongeza idadi ya Wapumbavu nchini na sasa Tanzania inaongoza duniani kwa kuwa na Wapumbavu wengi kuliko nchi yoyote ili duniani.