Nchi inakoelekea kunatisha

Nchi inakoelekea kunatisha

Kwani wewe unaishi Tanzania ipi ambayo huguswi na nchi kukosa maendeleo nchi baada ya miaka 60 ya uhuru haina chochote kile cha kujivunia?
Bongo ZWAZWA mkubwa!!!
We ni zwazwa kweli,wapi Africa kwenye maendeleo? Si uhamie? Maendeleo gani unataka? Kwenye kuyatafuta umechangia nini?
 
We ni zwazwa kweli,wapi Africa kwenye maendeleo? Si uhamie? Maendeleo gani unataka? Kwenye kuyatafuta umechangia nini?
Fulafula huyo......

Mkuu Kuna hii taasisi hebu ifuatilie historia yake.....

Iko kona zote duniani...inamwaga visenti kwa mazwazwa aina ya huyo jamaa.....
ford.png
 
Haya mpime ila CCM yote inajua huyo ni hizbu....

Sasa endelea kuwapuuza CCM.....🤣🤣🤣
Hizbu ni nini na je alichoandika ndio tafsiri ya hizbu, yeye ni yeye na hayo mazombi yabaki mazombi, brain ya mtu inabaki ni brain tu, jibuni kwa hoja sio kwa udampa na uzombi. CCM ni genge kama magenge mengine hawana umiliki wala utukufu wa chochote. Mud katumia akili na nyie tumieni akili kuliko kuleta mavi ya kibaguzi pelekeni utusi wenu kwa toilet
 
Kwani mwanzo walikuwa wanapata wapi hela yao?
Mbona makato yalikuwepo.
Yaani makampuni ya simu wanalipa Kodi,ukitoa hela unakatwa ada,
Hapo hapo inaingia" TOZO YA SERIKALI"
hata Kama kulipa Kodi huu ni uonevu.
CHUKUA UNACHOSTAHILI.
Wanahalalisha na kuutetea wizi kwa nguvu zote.
 
Hizbu ni nini na je alichoandika ndio tafsiri ya hizbu, yeye ni yeye na hayo mazombi yabaki mazombi, brain ya mtu inabaki ni brain tu, jibuni kwa hoja sio kwa udampa na uzombi. CCM ni genge kama magenge mengine hawana umiliki wala utukufu wa chochote. Mud katumia akili na nyie tumieni akili kuliko kuleta mavi ya kibaguzi pelekeni utusi wenu kwa toilet
CCM wanao umiliki....

Ndio chama kiongozacho dola.....

ENDELEA KUWEWESEKA
 
Angalia TAAHIRA huyu!!!! Hujui kama nchi nyingi za Afrika kuna Dikteta na madhalimu kama maccm ambayo ni majizi, mafisadi na wauaji? Sasa Madikteta ambayo yako madarakani ili KUJITAJIRISHA lini watawaza kueta maendeleo PUMBAVU wewe!!! Afrika hakuna maendeleo lakini hujui sababu!!! Kwa hito kama Afrika hakuna maendeleo basi TUKLUBALI tu kwamba pamoja na Tanzania kuwa na UTAJIRI mkubwa rasilimali mbali mbali gesi, dhahabu, almasi, Tanzanet etc na mikopo na misaada toka nchi za Wafadhili na Mashirika ya Kimataifa kama SIDA, WB, IMF etc tukubali tu MEDIOCRE PERFOMANCE ya nchi iliyo huru kwa miaka 60 KUTOKUWA na maendeleo!!!! Hahahahahahah BONGO ZWAZWA!!!!

We ni zwazwa kweli,wapi Africa kwenye maendeleo? Si uhamie? Maendeleo gani unataka? Kwenye kuyatafuta umechangia nini?
 
Wakati wa mwalimu baadhi tulilalamika, akaja mwinyi baadhi tukalalamika, akaingia nkapa watu tukalalamika, alipokuja Jakaya malalamiko yakawa mengi, akaingia John watu tukalalamika, sasa mama Samia bado tunalalamika ........malalamiko yalikuwepo, yapo na yatakuwepo. Ni sehemu ya maisha
 
Back
Top Bottom