Nchi inakoelekea kunatisha

Kwani mwanzo walikuwa wanapata wapi hela yao?
Mbona makato yalikuwepo.
Yaani makampuni ya simu wanalipa Kodi,ukitoa hela unakatwa ada,
Hapo hapo inaingia" TOZO YA SERIKALI"
hata Kama kulipa Kodi huu ni uonevu.
CHUKUA UNACHOSTAHILI.
Unachostahili ni kipi!?
 
Unachostahili ni kipi!?
"ADA YA MIAMALA"
ambapo ndani yake kuna kodi ya serikali.
Sio huo utapeli wa TOZO.
makampuni ya simu yanalipa Kodi,wakala analipa Kodi,mteja analipa Kodi.
Bado unamuongezea na too kweli?.
tena nje ya ada ya kufanya muamala

Yaani ada ipo peke yake na tozo ipo peke yake.inaumizA Sanaa Bora wangeunganisha
 
Acha tu, 4 trilioni na upuku puku pensheni za wafanyakazi zimeliwa na dola, mandege yasiyo na faida kwa wengi na tunalzimishwa kusherekea huku kumtua ndoo ya maji mama hatujafanikiwa, masafari ya ndege kama yote kwa viongozi kama washamba, kukatika kwa maji na umeme kwa kwenda mbele, kurudishwa kwa mafisadi na wezi bodi ya TANESCO, bei ya petroli kupanda na kufanya bei za vyakula kuanzia sukari, mafuta ya kupikia, nyama, mazagazaga kupanda, kukosa hela serikalini na kulazimisha matozo kem kem kufidia matumizi na maisha ya kifalme kwa viongozi. MAISHA BONGO YANATISHA
 
Angalia TAAHIRA huyu!!!! Hujui kama nchi nyingi za Afrika kuna Dikteta na madhalimu kama maccm ambayo ni majizi, mafisadi na wauaji? Sasa Madikteta ambayo yako madarakani ili KUJITAJIRISHA lini watawaza kueta maendeleo PUMBAVU wewe!!! Afrika hakuna maendeleo lakini hujui sababu!!! Kwa hito kama Afrika hakuna maendeleo basi TUKLUBALI tu kwamba pamoja na Tanzania kuwa na UTAJIRI mkubwa rasilimali mbali mbali gesi, dhahabu, almasi, Tanzanet etc na mikopo na misaada toka nchi za Wafadhili na Mashirika ya Kimataifa kama SIDA, WB, IMF etc tukubali tu MEDIOCRE PERFOMANCE ya nchi iliyo huru kwa miaka 60 KUTOKUWA na maendeleo!!!! Hahahahahahah BONGO ZWAZWA!!!!
Nakuuliza wewe kubwa la ma taahira,onyesha nchi hata 3 za Kiafrika zilizo na maendeleo kama Asia au Ulaya..

Kwanza ulivyo mpumbavu umekariri ujinga kichwani kwamba kuishi kwenye compound Moja na mahakama ndio kujua sheria?

Kwa taarifa yako matatizo mengi ya Kiafrika sio ya ndani bali mfumo usio sawa wa uchumi Duniani..

Kwa akili yako finyu nitajie mambo ambayo hayajafanyika na Waafrika ambayo yamesababisha maendeleo haba kiasi kwamba wapuuzi nyie machadomo mkiwa viongozi yatafanyika na nchi itapaa kama Ulaya na uniambie time frame yenu maana umekalia udikteta tuu wakati Libya kulikuwa na Nafuu na ushenzi unaoitwa demokrasia haukuwepo.
 
Mama anaupiga mwingi 🕺🏾💃🎶
Kama hivi mkuu 👇

Screenshot_20211024-064109.png


Screenshot_20211024-064158.png
 
Ni aibu kwa rais mwanamke kubehave like some of those cruel African men presidents!!
Na bado mtanyooka kumbe mlitegemea mteremko kwa vimaneno vyenu vya kijinga kwamba mwanamke ni dhaifu sasa anawapelekea moto mnajamba Jamba tuu kwenye vyumba vyenu hamna cha kufanya 😂😂.

Go Samia go 👇

Screenshot_20211024-064109.png


Screenshot_20211024-064158.png
 
Tuondolee ujinga wako pimbi wewe!!! unategemea madikteta wasiotaka uchaguzi HURU na wa HAKI katika nchi za Afrika walete maendeleo badala ya kutunisha mifuko yao na their bank accounts outside of Africa!? Akili ya wapi hii BONGO ZWAZWA!? 😳😳😳😳

Nakuuliza wewe kubwa la ma taahira,onyesha nchi hata 3 za Kiafrika zilizo na maendeleo kama Asia au Ulaya..

Kwanza ulivyo mpumbavu umekariri ujinga kichwani kwamba kuishi kwenye compound Moja na mahakama ndio kujua sheria?

Kwa taarifa yako matatizo mengi ya Kiafrika sio ya ndani bali mfumo usio sawa wa uchumi Duniani..

Kwa akili yako finyu nitajie mambo ambayo hayajafanyika na Waafrika ambayo yamesababisha maendeleo haba kiasi kwamba wapuuzi nyie machadomo mkiwa viongozi yatafanyika na nchi itapaa kama Ulaya na uniambie time frame yenu maana umekalia udikteta tuu wakati Libya kulikuwa na Nafuu na ushenzi unaoitwa demokrasia haukuwepo.
 
Acha kututisha mzee. Nchi iko salama mikononi mwa mama. Hakuna linalotisha hadi sasa. Hata wakulima wana uhakika wa kuuza mazao yao.

mpaka sasa mama anaongoza goli 3
 
Tuondolee ujinga wako pimbi wewe!!! unategemea madikteta wasiotaka uchaguzi HURU na wa HAKI katika nchi za Afrika walete maendeleo badala ya kutunisha mifuko yao na their bank accounts outside of Africa!? Akili ya wapi hii BONGO ZWAZWA!? 😳😳😳😳
Kuzunguka koooote kumbe shida yako ni uchaguzi 😂😝😂..

Mtanyooka tuu chini ya Chief Mkuu Hangaya
 
"ADA YA MIAMALA"
ambapo ndani yake kuna kodi ya serikali.
Sio huo utapeli wa TOZO.
makampuni ya simu yanalipa Kodi,wakala analipa Kodi,mteja analipa Kodi.
Bado unamuongezea na too kweli?.
tena nje ya ada ya kufanya muamala

Yaani ada ipo peke yake na tozo ipo peke yake.inaumizA Sanaa Bora wangeunganisha
Bado inamaanisha serikali inahitaji hela,hawawezi chukua hela ili kujifurahisha tu
 
Mkapa alipoamua kusaini mkataba wa Tanzania kupata 3% ná wawekezaji kuchukua 97% aliwekewa bunduki kichwani?
Management ya Tanesco ilipogoma kusaini mkataba na Richmond kwa kuwa kulikuwa hakuna records zozote zile popote pale duniani za kuonyesha miradi iliyosimamiwa ná kampuni hiyo kisha mafisadi Lowassa na Kikwete kukazimisha mkataba usainiwe ilikuwa ni mfumo wa uchumi duniani pumbavu wewe!? Kumbe wanasaini mkataba na kampuni FAKE YA fisadi Rostam Aziz!? Toa ujinga wako pimbi wewe!!!

Mkapa alisafiri hadi Dodoma kwenda kuwatishia Wabunge wa maccm walipogoma kupitisha bajeti yote ya Serikali hadi waone mkataba wote na Barrick.

Nakuuliza wewe kubwa la ma taahira,onyesha nchi hata 3 za Kiafrika zilizo na maendeleo kama Asia au Ulaya..

Kwanza ulivyo mpumbavu umekariri ujinga kichwani kwamba kuishi kwenye compound Moja na mahakama ndio kujua sheria?

Kwa taarifa yako matatizo mengi ya Kiafrika sio ya ndani bali mfumo usio sawa wa uchumi Duniani..

Kwa akili yako finyu nitajie mambo ambayo hayajafanyika na Waafrika ambayo yamesababisha maendeleo haba kiasi kwamba wapuuzi nyie machadomo mkiwa viongozi yatafanyika na nchi itapaa kama Ulaya na uniambie time frame yenu maana umekalia udikteta tuu wakati Libya kulikuwa na Nafuu na ushenzi unaoitwa demokrasia haukuwepo.
 
unakoelekea wewe na familia yako ndio kwa tish. na huyo babu aliekosa kufanya akandika ushuzi wake,akauleta, ajue kuwa; MAMA ANA SONGA MBELE NA WATANZANIA TUNA SONGA MBELE Kama kurudi nyuma arudi yeye na familia yake. MAJITU MAZIMA OVYOOOO
 
Kosa kuu la mama Chief Hangaya kukubali wakuu mihimili kumpa utabiri wao na kumtisga kuna upande...wanamtisha kuna upande wanasiasa wanataka aendelee 2025 kuna upande wanamwambia kwani anataka nini awaachie waparurane.....yeye hajielewi anataka nini hadi sasa....hilo ndio kosa kuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom