Nchi inakoelekea kunatisha

Nchi inakoelekea kunatisha

Na siku hizi anavyokunja sura sijui kafundishwa na nani, au anajihami kwa nini hajiamini?

Ajitahidi atafute amani ya moyo wake mapema kabla hajaanza kushamvuliwa na magonjwa ya moyo.
Hivi Tanzania tunauwezo wa kutengeza pacemaker
 
Bavicha si mnapumua nyie baada ya kuonewa sana kwa miaka 5?
 
  • Thanks
Reactions: nao
Aliyeandika shairi unamfananisha na "Machinga"?😀 au umetumia neno hilo kutaka 'kudogosha ujumbe wa bwana Ghassani?!Ukipata muda msikilize pale Dw na ni Mzanzibari aliyekomaa kifikra!
Hizbu huyo....masalia ya itikadi za akina Sultan Jamshid.....
 
Moja ya vitu vinavyoniudhi ni hichi kinachoitwa "tozo ya serikali"
Huu NI wizi,utapeli,ujambazi na uharamia.
Serikali bila ya vyanzo vipya vya mapato itapata pesa kutoka mbinguni?!!!

Usakala huo
 
Na siku hizi anavyokunja sura sijui kafundishwa na nani, au anajihami kwa nini hajiamini?

Ajitahidi atafute amani ya moyo wake mapema kabla hajaanza kushamvuliwa na magonjwa ya moyo.
Mh.Rais SSH akitaka aongoze vyema akopi kidogo mfumo wa hayati JPM huku akichanganya na wa Marais wengine wastaafu.....

Watanzania huwa hawaendi kwa KUWACHEKEA.......

SIEMPRE JMT
 
Back
Top Bottom