Nchi inaendeshwa na 'KITENGO'?

Nchi inaendeshwa na 'KITENGO'?

Hebu jiongeze kidogo basi
kama kitengo kiko sahihi leo kumuondoa Lowasa
kitengo kinaaweza kesho kumuondoa mwingine kwa sababu ambazo sio sahihi
je wao kitengo nani kawapa mamlaka?
wao ni wasafi kiasi gani?
mbona Ngeleja hana tofauti na Lowassa na kitengo wamemtumia?
Ndio usome somo la siasa ya kwamba Urais unaandaliwa na hivyo vyama vyenu ni vumbi la macho tu kutekeleza agizo la nchi za magharibi lakini hakuna Upinzani pale ni ushindani kaa klabu za mpira..

Ikiwa leo wewe unashangaa KITENGO kumuondoa mtu wakati vyama vinaondoa watu na wengine kupokea watu pasipo kujali historia zao, iweje ufikirie kwamba KITENGO kinaweza kumuondoa mtu asiyekuwa sahihi? sahihi kwa nani? maana usahihi wenyewe lazima utokane na interest za nchi sio za chama.

Na inapotokea mtu kuanzisha Cartel ndani ya Chama huoni kama ndivyo mlivyowadhania kina Kitila na Zitto na mkawafukuza. Huyu kapewa heshima na kaachwa hadi dakika ya mwisho..Kwanza ilitakiwa wagombea wote wa Urais wafanyiwe screen chack na Usalama, kehso wakija kuuza nchi je!

Leo mmekuwa na Ujasiri gani kufanya yale yale mloyakataa kwa kina Zitto kwa tuhuma tu leo ukatae utafiti wa KITENGO juu ya Lowassa!.. halafu maajabu yenyewe wanaopinga ni Chadema ambao wanasema Chama kina KANUNI zake unafikiri nchi haina KANUNI zake? Hao KITENGO unadhani wamejifunza nini kama sio kulinda Katiba na Kanuni za nchi hii... hata huko Marekani CIA lazima wampitishe mgombea Urais, UK lazima M16 wampitishe mgombea Urais sio swala la chama na wananchi pekee.
 
Ndio maana mi naamini hii nchi haitapiga hatua kidemokrasia wala kiuchumi hadi nafasi za kiutendaji zitakapoachwa kuongozwa kisiasa...

Usalama wa taifa, polisi, jeshi, TAKUKURU, mahakama, watendaji wa bunge, wakuu wa mashirika na taasisi za umma nk ... wote wapo affiliated kwa chama kimoja cha siasa...

Ili hali hii iweze kuondoka ni lazima wananchi wawezeshwe kukidhoofisha chama hiki kwa kukipunguzia sauti kwenye vyombo vya maamuzi kuanzia chini kabisa kwenye ngazi za halmashauri za vijiji, za wilaya na bunge...
 
Ndio maana mi naamini hii nchi haitapiga hatua kidemokrasia wala kiuchumi hadi nafasi za kiutendaji zitakapoachwa kuongozwa kisiasa...

Usalama wa taifa, polisi, jeshi, TAKUKURU, mahakama, watendaji wa bunge, wakuu wa mashirika na taasisi za umma nk ... wote wapo affiliated kwa chama kimoja cha siasa...

Ili hali hii iweze kuondoka ni lazima wananchi wawezeshwe kukidhoofisha chama hiki kwa kukipunguzia sauti kwenye vyombo vya maamuzi kuanzia chini kabisa kwenye ngazi za halmashauri za vijiji, za wilaya na bunge...
Mkuu hili lingewezekana tu kama nchi yetu ingekuwa haina uadui wa vyama vya siasa. Vyama vingeundwa kuleta denmokrasia nchini wakati Usalama wa taifa wapo kulinda NCHI na katiba iwe msingi na mwongozo wa kiutawala lakini kwa hali iliyopo vyama vya Upinzani havikubaliani na NCHI hii na wamezua uadui usokuwa na maana kabisa.

Hapa inabidi nguvu za ziada zitumike na ndio maana nikasema Katiba inayotakiwa ni ile inayo tuunganisha na sio kututenganisha. Mkumbiuke vyombo hivi vyiote vilinandwa ili kuilinda nchi, sasa ikiwa uadui unaanza katika vyama lazima nguvu ya ziada itumike..

Wewe nambie kwa nini Chadema walifikia mkusema Muunganio wetu ni FEKLI halafu utegemee Usalama wa Taifa utakuwa nanyi? That alone Politivally was wrong! iunaweza mkudai serikali tatu laizni sio kusema Muungano wetu ni Fake hata hadi za Muungano zilikuwa forged.. Ni hatari kabisa..
 
Kuna vitu vinajitokeza kipindi hiki cha uchaguzi
ambavyo vinapaswa kuulizwa
je nikweli wananchi wa Tanzania ndio wasemaji wa mwisho wa masuala ya nchi hii?
au kuna watu kwa aakili zao na utashi wao wamejipa 'jukumu' hilo?

Kingunge alisema 'KITENGO' ndio kiliamua nani awe mgombea wa CCM na sio
wanachama......na Ukisoma gazeti la Raia Mwema wanasema watu wa 'usalama'
walimwambia Ngeleja awaambie wazanzibar kumchagua 'mgombea wa kitengo'
ndio akashinda....maswali yanajitokeza
1.kitengo kinaendeshwa na nani hasa?
2.Ni watu wangapi wanaofanya hayo maamuzi?
3.Ni kweli maamuzi yao yote ni kwa faidaya Taifa?
4.Wananchi wakipishana maamuzi na 'kitengo' maamuzi ya wananchi yataheshimiwa?
5.Nguvu ya 'kitengo' kwa tume ya uchaguzi ni halali?
6.kuna faida ya kushiriki uchaguzi huku 'kitengo' kimeshafanya maamuzi?
7.Je tuna demokrasia kweli au tunaruka ruka ttu na maigizo?

Lengo la KITENGO ni kuweka mgombea dhaifu kutoka CCM na kusababisha mtafaruku ili kusafisha barabara kwa UKAWA kuchukua nchi kiulaini.
 
Uchaguzi ni ule wa Dodoma tu
mengine yoote ni maigizo matupu

Mkuu The Boss historia inatufundisha tofauti. Huwezi kutumia mbinu chafu kushika madaraka wakati wote. Mwisho wa hizo mbinu ni pale umma unapojitambua na kusimamia maslahi yake; na hizo zama zimeshatimia kwa Watanzania. Tanzanians can no longer be carried like a basket of tomatoes to any marketplace.
 
Kuna vitu vinajitokeza kipindi hiki cha uchaguzi
ambavyo vinapaswa kuulizwa
je nikweli wananchi wa Tanzania ndio wasemaji wa mwisho wa masuala ya nchi hii?
au kuna watu kwa aakili zao na utashi wao wamejipa 'jukumu' hilo?

Kingunge alisema 'KITENGO' ndio kiliamua nani awe mgombea wa CCM na sio
wanachama......na Ukisoma gazeti la Raia Mwema wanasema watu wa 'usalama'
walimwambia Ngeleja awaambie wazanzibar kumchagua 'mgombea wa kitengo'
ndio akashinda....maswali yanajitokeza
1.kitengo kinaendeshwa na nani hasa?
2.Ni watu wangapi wanaofanya hayo maamuzi?
3.Ni kweli maamuzi yao yote ni kwa faidaya Taifa?
4.Wananchi wakipishana maamuzi na 'kitengo' maamuzi ya wananchi yataheshimiwa?
5.Nguvu ya 'kitengo' kwa tume ya uchaguzi ni halali?
6.kuna faida ya kushiriki uchaguzi huku 'kitengo' kimeshafanya maamuzi?
7.Je tuna demokrasia kweli au tunaruka ruka ttu na maigizo?

Mkuu kuna maswali mengi sana yanajitokeza ambayo tunatakiwa kujuliza, na kimsingi yanaharatisha usalama wa nchi. Kwanza inaonekana kuwa "KITENGO" kiko juu ya CCM, maana hata uchaguzi kimeingilia na kimevuruga kanuni za chama ni wanachama wachahce tu wanalalamikia hicho.

Lakini vile vile kuna maajabu kuhusu JP Magufuli kupewa ulinzi, hatujui ni kwa minajiri gani amepewa ulinzi na idara za serikali, sijui kama tuna sheria yoyote inayohalalisha hilo na kama kuna fedha zimetengwa kwa ajili ya kazi hiyo (japo hawasemi lakini ni usalama wa taifa wanaotoa ulinzi). Inabidi tujue kama vyama vingine vikichagua wagombea watapewa ulinzi kama JP.

Heavy presence ya usalama wa taifa, polisi na jeshi kwenye mkutano wa CCM ni doa kubwa sana kwenye demokrasia. Inaoanesha by default ni vyombo vya CCM, i wonder kama hayo tutayaona kwenye mikutano ya vyama vya upinzani.
 
Halafu hujiulizi kura za Asha Rose na Amina zilipungua?
kuingia tano bora Asha kura 280 halafu eti baadae akapata kura 50?
huoni hii results ya kutengenezwa ili Magufuli aonekane ana support?
Pengine walijua kura za Magufuli zisingetosha kutokana na hasira za waliokuwa wana muunga mkono Lowasa,na hii ingesababisha kupatikana mgombea dhaifu zaidi miongoni mwa wale kina Mama, huu ni mtazamo wangu kwamba kura zilipigwa na matokeo kutoka kwa staili ile kwa kusudi maalum,
 
Hakuna kitengo wala kitenge hao wazee ni wezi mfano wa pakashume lengo lao ni kuweka mtu msikivu kwao na si msikivu kwa wananchi. Awamu hii watajibeba. Kwa akili yao wanajiona eti wanamaono kuliko Wanachama na wapenzi wa CCM mamilioni walioko Tanzania. Kwanza natangaza katika idadi ya wanachama wa CCM nchini watoe jina langu.

Uko sahihi kabisa. Watz tusikubali upuuzi huu. Eti Kitengo!!? Hili ni genge la kimafia lenye lengo la kuendelea kupora rasilimali za hii nchi kwa kushirikiana mabwana zao wa nje ambalo kwa sasa ndilo linalothibiti CCM.
 
Hakuna kitengo wala kitenge hao wazee ni wezi mfano wa pakashume lengo lao ni kuweka mtu msikivu kwao na si msikivu kwa wananchi. Awamu hii watajibeba. Kwa akili yao wanajiona eti wanamaono kuliko Wanachama na wapenzi wa CCM mamilioni walioko Tanzania. Kwanza natangaza katika idadi ya wanachama wa CCM nchini watoe jina langu.
Uwezekano wa hili ulosema ni mkubwa sana Kiongozi na hii ina ukweli ndani yake.
 
UKAWA ni kama hawajui wanachofanya nimaigizo tu
KITENGO ndio final say wa maamuzi ya nchi

Labda wanaelewa na ndiyo maana wanasema mwaka huu wamejipanga katika kulinda kura, swala la watazilindaje wanajua wao.
 
Faida ya wengi?

Ambao wakistaafu kwenye ujaji wanakuwa watia nia wa CCM(Augustino Ramadhani)...ambao wakistaafu kutoka ukuu wa majeshi wanakuwa wagombea ubunge through CCM(Robert Mboma)...ambao wakistaafu u-IGP wanagombea ubunge through CCM(Omar Mahita)...ambao wakistaafu ukurugenzi wanakuwa watia nia wa uraisi through CCM. Wengine wakistaafu u-RPC wanapewa u-DC(Zelothe)

Kweli kama ulivyosema...ni wengi na ni haki yao kabisa kwa manufaa mapana ya nchi na kwa muda mrefu!

Hao uliowataja mieleka yao hukuiona mkuu??!!
 
Nasikitika kusikia usalama wa taifa 'kitengo' mlihusika kukatwa majina ya wagombea urais ccm.Tiini matakwa ya umma.
 
Hans Kitine alikuwa mkuu wa Usalama wa Taifa akaenda chukua fomu za kugombea Urais CCM
na Agustin Mahiga alikuwa deputy wa Usalama wa Taifa
akachukua fomu CCM
What was the motive??!!!
Vipi kama ilikuwa ni colour mixing to get the secondary one. . . . .
 
Kwanini wasubiri hadi uteuzi wa Rais ndo washiriki?
why wasizuie mafisadi wote before?
au kushinikiza wafungwe jela?
Mkuu umeisoma sheria ya 1996 inyoongoza shughuli. . . . ??!!!
Unajua mtu mzima unamshauri mtaa huu sio salama kupita usiku. . . . .Akipita badala ya kuacha vijana wamkabe unaweza andaa mazingira akamwagiwa maji ya ukoko tu kesho hapiti. . . . . .Ila pia anaweza amua pita huku kavaa rain coat kabisa. . . . .
 
The Boss ila inabidi tuwashukuru sana hata hivyo. Nchi yetu bado haijakaa sawa kuwaachia wanasiasa wafanye watakavyo. Kwa hiyo ushiriki wao hasa kwa chama ambacho bado kina nguvu sana kwenye dola ni muhimu.Kitengo kikiacha hii kazi tutanyukana muda si mrefu. Wanajua wanachofanya na wanakifanya kwa manufaa ya nchi na si kwa CCM. Tuwapongeze na tuache kuwatifua tifua. Wanaona mengi ambayo hatuoni. Mfano Mzee Mkapa alivyowaambia Wa NEC kwamba Kikwete anafahamu mengi kulio WANEC. Pia Mzee Karume alisema kwamba kuna mambo yakiwekwa hadharani watu wataishia kudhalilika. Ndo maana Lowassa yupo Kimya. Ila wafuasi wake wenye ufahamu mdogo ndo wanapiga kelele. Iwapo madudu ya baadhi ya wagombea yakiwekwa watabaki uchi. Ni mara kumi watu wasijue ili hawa wagombea waendelee kubaki n aheshima kwenye jamii

Hiko kitengo kipo CCM tu!?
Kitengo hakiwezi kuchagua wapinzani?
Double standards hizi.
 
Bila kitengo kuingilia kati , nchi ingekuwa pabaya kumbukeni hii n nchi ya kiafrika na bado uelewa wa wananchi sio mkubwa hivyo mafisadi kama lowasa , karamagi, kingunge, rostam, Reginald mengi yakiachiwa tuu yajifiche kwenye demokrasia nchi ingekuwa kama Congo DRC

Mnapiga tu kelele kwa kuwa mmo humu
 
Back
Top Bottom