Mtamile
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 2,838
- 1,274
Mwanamziki FidQ Kwenye wimbo wake wa Bongo HipHop anasema "Siyo tu bongo mpaka ng'ambo hakuna uhuru wa habari kuna uhuru wa mwenye chombo, mitambo na mwenye mali"
Kuhusu "KITENGO" Lazima tu tuwe wakweli kila chama au taasisi lazima kuwepo na kitengo Ukienda CUF lazima kuna kitengo ndio hicho kila kikampitisha Lipumba kuwa mgombea urais wa CUF na ndo hicho hicho kinampitisha kila siku kuwa mwenyekiti wa CUF kana kwamba hakuna wanachama wengine wenye uwezo wa kuwa wenyeviti au wagombea uraisi ndani ya CUF hali kadhalika NCCr-Mageuzi mambo ni yale yale
Hata ukienda Chadema ni lazima tuu utakutana na Kitengo ndo hicho kilikaa 2009 kikamwambia Zitto amwachie Mbowe nafasi ya Uenyekiti ndiyo hicho hicho kilikaa 2010 kikamuweka dr Slaa awe mgombea uraisi 2010 kwani ulisikia mchakato wa kura za maoni 2010?? eeeehh ni kitengo ndo kilifanya kazi ndio hicho hicho kitengo kinasubiliwa kumsimika tena mgombea urais wa Chadema 2015 Sijui ni Slaa ama Lowasa hicho Kitengo kinasubiiliwa tu kimalize Mazungumzo na Lowasa ndio kitangaze ama Dr Slaa au Lowasa ndo awe mgombea uraisi 2015 kupitia Chadema na hatimaye UKAWA
Kwa hiyo Mkuu The Boss ukisikia kitengo wala usishituke vitengo vipo kila sehemu hata ukienda Marekani kwenye demokrasi pana kabisa nakuhakikishia lazima utakutana tu na Vitengo
Kuhusu "KITENGO" Lazima tu tuwe wakweli kila chama au taasisi lazima kuwepo na kitengo Ukienda CUF lazima kuna kitengo ndio hicho kila kikampitisha Lipumba kuwa mgombea urais wa CUF na ndo hicho hicho kinampitisha kila siku kuwa mwenyekiti wa CUF kana kwamba hakuna wanachama wengine wenye uwezo wa kuwa wenyeviti au wagombea uraisi ndani ya CUF hali kadhalika NCCr-Mageuzi mambo ni yale yale
Hata ukienda Chadema ni lazima tuu utakutana na Kitengo ndo hicho kilikaa 2009 kikamwambia Zitto amwachie Mbowe nafasi ya Uenyekiti ndiyo hicho hicho kilikaa 2010 kikamuweka dr Slaa awe mgombea uraisi 2010 kwani ulisikia mchakato wa kura za maoni 2010?? eeeehh ni kitengo ndo kilifanya kazi ndio hicho hicho kitengo kinasubiliwa kumsimika tena mgombea urais wa Chadema 2015 Sijui ni Slaa ama Lowasa hicho Kitengo kinasubiiliwa tu kimalize Mazungumzo na Lowasa ndio kitangaze ama Dr Slaa au Lowasa ndo awe mgombea uraisi 2015 kupitia Chadema na hatimaye UKAWA
Kwa hiyo Mkuu The Boss ukisikia kitengo wala usishituke vitengo vipo kila sehemu hata ukienda Marekani kwenye demokrasi pana kabisa nakuhakikishia lazima utakutana tu na Vitengo
Last edited by a moderator: