The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
- Thread starter
- #81
Kwa hiyo hiyo habari ya kwamba CCM inafuata demokrasia ni uzushi tu?
Mgombea urais wa CCM, na hivyo rais wa Tanzania do far, anateuliwa na watu wachache, halafu wananchi wanapigwa changa la macho kwamba wamemchagua?
Uchaguzi ni ule wa Dodoma tu
mengine yoote ni maigizo matupu