TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,278
- 27,948
Hiko kitengo kipo CCM tu!?
Kitengo hakiwezi kuchagua wapinzani?
Double standards hizi.
Very logical questions!
Hiko kitengo kipo CCM tu!?
Kitengo hakiwezi kuchagua wapinzani?
Double standards hizi.
Kuna vitu vinajitokeza kipindi hiki cha uchaguzi
ambavyo vinapaswa kuulizwa
je nikweli wananchi wa Tanzania ndio wasemaji wa mwisho wa masuala ya nchi hii?
au kuna watu kwa aakili zao na utashi wao wamejipa 'jukumu' hilo?
Kingunge alisema 'KITENGO' ndio kiliamua nani awe mgombea wa CCM na sio
wanachama......na Ukisoma gazeti la Raia Mwema wanasema watu wa 'usalama'
walimwambia Ngeleja awaambie wazanzibar kumchagua 'mgombea wa kitengo'
ndio akashinda....maswali yanajitokeza
1.kitengo kinaendeshwa na nani hasa?
2.Ni watu wangapi wanaofanya hayo maamuzi?
3.Ni kweli maamuzi yao yote ni kwa faidaya Taifa?
4.Wananchi wakipishana maamuzi na 'kitengo' maamuzi ya wananchi yataheshimiwa?
5.Nguvu ya 'kitengo' kwa tume ya uchaguzi ni halali?
6.kuna faida ya kushiriki uchaguzi huku 'kitengo' kimeshafanya maamuzi?
7.Je tuna demokrasia kweli au tunaruka ruka ttu na maigizo?
Hiko kitengo kipo CCM tu!?
Kitengo hakiwezi kuchagua wapinzani?
Double standards hizi.
Waandishi wa kuaminika kama wa Raia Mwema wana ripoti tu hili bila kuuliza maswali
Waandishi wa kuaminika kama wa Raia Mwema wana ripoti tu hili bila kuuliza maswali
Mkuu, kwa wataalam wa saikolojia, mtu anapokuwa katika maruwe ruwe kuna nyakati husema yanayoonekana kama maruwe ruwe, ukweli ni kuwa anachosema ndicho alicho nacho moyoni.Kingunge alisema 'KITENGO' ndio kiliamua nani awe mgombea wa CCM na sio
wanachama......na Ukisoma gazeti la Raia Mwema wanasema watu wa 'usalama'
walimwambia Ngeleja awaambie wazanzibar kumchagua 'mgombea wa kitengo'
ndio akashinda....maswali yanajitokeza
1.kitengo kinaendeshwa na nani hasa?
2.Ni watu wangapi wanaofanya hayo maamuzi?
3.Ni kweli maamuzi yao yote ni kwa faidaya Taifa?
4.Wananchi wakipishana maamuzi na 'kitengo' maamuzi ya wananchi yataheshimiwa?
5.Nguvu ya 'kitengo' kwa tume ya uchaguzi ni halali?
6.kuna faida ya kushiriki uchaguzi huku 'kitengo' kimeshafanya maamuzi?
7.Je tuna demokrasia kweli au tunaruka ruka ttu na maigizo?
kila sehemu kuna watu wa kitengo hata hizo ndege zinazoiba raslimali zinasimamiwa na kitengoHebu fikiria kama CIA au M16 kama wangekuwa wanafanya siasa kwenye taasisi zao hizo nchi zao zingekuweje? Leo hii hapa kwetu Tanzania wageni wanakuja kuiba mchana kweupe wanachukuwa wanyama huko kwenye mbuga zetu na kuwapakiza kwenye ndege, madini yetu yanaibiwa kila siku na vijidege vidogodogo vinavyotuwa kwenye migodi.
Eti usalama wa taifa wapo busy kwenye ofisi za ccm kuhakikisha ccm haitoki madarakani. Usalama wa taifa unatumikia CCM badala ya taifa na rasilimali zake. This is shamefully and disgusting to us Tanzanian. Politics is everywhere, this is too dangerous to our nation playing politics in serious matter
ha ha ha...naona sasa vijana wamelipwa kuja mitandaoni kutuletea porojo.
ACHENI POROJO NA KUTUMIKA...
Lowasa mwenyewe ni hatari kwa afya yake binafsi...sembuse familia yake na watanzania.
Km kuna pahala TISS walicheza kwa ufanisi na busara ni pale walipohakikisha jina la Lowasa linakatwa.Ingekuwa enzi zile,Edo angelikwisha pata ajali siku nyngi.Hyo iko pote duniani hata Us.Hata opp. Kunyimwa ushndı ni kazi ya TISS, to be fair hauwezi kukabidhi nchi kwa watu km Mbowe.TISS ndo inasaidia kuwajengea uwezo opp na baada ya muda nadhani watawapa nafasi wakishnda.Wanaimprove kila siku na watu wenye akili wanawajoin, tutafika.
ha ha ha...naona sasa vijana wamelipwa kuja mitandaoni kutuletea porojo.
ACHENI POROJO NA KUTUMIKA...
Lowasa mwenyewe ni hatari kwa afya yake binafsi...sembuse familia yake na watanzania.
.Kabisa nakubali kupingana nayo, sio kipindi chote inakuwa sahihi. . .Nchi changa kidemokrasia elimu iko chini, purchasing power iko chini, inflation ya ajabu, rate of unemployement is acrueing. . . . . Hawa watu hawawezi kuwa na maamuzi sahihi asilani, wanakuwa influenced na vitu vingi ambavyo kama wangekuwa "free" hali isingekuwa hivyo. . .
Demokrasia gani kwa katiba hii ya sasa??!! Demokrasia gani kwa tume hii ya uchaguzi??!! Demokrasia gani kwa undugunization uliojaa katika vyama???!
Demokrasia inatumika na few eiltes na middle class kufanya maamuzi yao kwa mgongo wa wengi. . . .. .
Amri ya Mkapa ilivyozima vurugu NEC - Kitaifa | MwananchiKuna vitu vinajitokeza kipindi hiki cha uchaguzi
ambavyo vinapaswa kuulizwa
je nikweli wananchi wa Tanzania ndio wasemaji wa mwisho wa masuala ya nchi hii?
au kuna watu kwa aakili zao na utashi wao wamejipa 'jukumu' hilo?
Kingunge alisema 'KITENGO' ndio kiliamua nani awe mgombea wa CCM na sio
wanachama......na Ukisoma gazeti la Raia Mwema wanasema watu wa 'usalama'
walimwambia Ngeleja awaambie wazanzibar kumchagua 'mgombea wa kitengo'
ndio akashinda....maswali yanajitokeza
1.kitengo kinaendeshwa na nani hasa?
2.Ni watu wangapi wanaofanya hayo maamuzi?
3.Ni kweli maamuzi yao yote ni kwa faidaya Taifa?
4.Wananchi wakipishana maamuzi na 'kitengo' maamuzi ya wananchi yataheshimiwa?
5.Nguvu ya 'kitengo' kwa tume ya uchaguzi ni halali?
6.kuna faida ya kushiriki uchaguzi huku 'kitengo' kimeshafanya maamuzi?
7.Je tuna demokrasia kweli au tunaruka ruka ttu na maigizo?
Hats CIA wanapanga nani awe Rais
hapa inazungumziwa TISS kuegemea chama kimoja, ww unaleta mambo ya CIA kupanga nani aongoze nchi, democratic na republican wanabadilishana uongozi bila matatizo nyie mnakumbatia chama kimoja. maendeleo mtasubir miaka 1000