Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
hichi kidada du na avatar lake alivyotoa mimacho kinaonekana ni kimeo period!!! Apunguzwe tu
amefanana na baba yake huyu.
hichi kidada du na avatar lake alivyotoa mimacho kinaonekana ni kimeo period!!! Apunguzwe tu
Loh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara.
Mbona majanga jamani.
Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu.
Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.
we niite tu mwehu wakati hujui mtu halisi mwenye hii ID. kuna maboss zako hapa wanakuangalia tu.
Loh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara.
Mbona majanga jamani.
Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu.
Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.
umenena mamii mtu anakuja kwako mwanaume mwenye nguvu zake anakula kwako,anakunywa muda wa kuondoka anaomba nauliSisi kuhongwa haijanza siku hizi. Jipya ni wanaume kuhongwa siku hizi. Muombee apate kazi ili mwenzio neema isimkatikie kule aliko kama na yeye ana tabia kama zako.
kumbe uko benk.....ongeraLoh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara.
Mbona majanga jamani.
Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu.
Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.
umenena mamii mtu anakuja kwako mwanaume mwenye nguvu zake anakula kwako,anakunywa muda wa kuondoka anaomba nauli
Huna haja ya kuogopa, muhimu ni kukubali aina yoyote ya mabadiliko katika maisha na kuyatumia kama changamoto kwako ili uweze kupambana na kusonga mbele.
Vp! Umeolewa?? Kama vp tutafutane 0716636641,,, natafuta mke wa kuoa
shikamoo...
Usiwe na wasiwasi , NBC wanalipa vizuri na 'send off package' yao ya 'redundancy' itakuwa 'handsome'.. Unaweza kajiajiri vizuri tu..Loh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara.
Mbona majanga jamani.
Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu.
Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.
usijali dada angu, yote hayo ni mapito tu, cha msingi jiamini unaweza hata kama hutakua hapo NBC, ila kama ulikua umewekeza kidogo itakusaidia kujishuhulisha na miradi mingine huku kitaa, sio utani huku kitaa maisha yamepinda kama dawa ya mbu best.Loh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara.
Mbona majanga jamani.
Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu.
Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.