NBC Bank Tanzania

NBC Bank Tanzania

Pole mdada, kama una elimu competent utapata kazi fasta. Hakikisha vyeti ni clean maana siku hizi ushindani ni mkubwa!!!
 
Siwasemi vbaya ila ni kweli wadada wa reception pale wana nyodo sana,kuna cku mwaka jana tuljibeba na frnd kupeleka applictns wadada walitujibu kwa dharau kama co wanawake wenzao yan ndo kwanza mwingne akawa bze na cm..daaah
 
Mpunguzwe tu mmezidisha dharau mnapokuwa kwenye vidirisha hivyo si mlifikiri bank ya baba yenu hiyo. Mtu umetoka zako kusota umekuja na vijisenti vyako ujihifadhie, unakikuta kidada kimekolea mkorogo kama jini kinaongea na simu kiulize swali sasa hizo dharau! Mpungue tu labda wataobaki wana nidhamu kidogo.
 
Loh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara.

Mbona majanga jamani.

Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu.

Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.

Toto la Kintoki wala usiogope. Maisha yanawezekana popote
 
Loh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara.

Mbona majanga jamani.

Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu.

Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.

si mnakuaga na nyodo kama bank za baba zenu au mabwana zenu.....mpunguzwe tu!!!...nasema mpunguzwe tu.....mana tumewachoka
 
We unaonekana siyo mzuri, I mean una sura ka ya bi Kidude thats why una wasiwasi wa kufukuzwa. Kama vipi 2tafutane unipe zigo mi nikupigie pande la ukweli, hutatoka ng'o mpaka R.I.P itakapokufikia.
 
Loh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara.

Mbona majanga jamani.

Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu.

Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.

Mie niliondoka 1995 NBC nikaingia mtaani na nimeweza kumudu kuendesha maisha yangu kwa msaada wake Mungu. Kazi sio NBC tu na maisha ni popote. JIPANGE
 
Sasa cc unataka tukusaidieje?. Ama tukaongee na bosi wako? Lete contacts ...ila na ujuba muwache. Mtu unaaga eti unakwenda office ukifika ni km vile ulifuatwa nyumbani ukafanye ile kazi kumbe uliiomba mwenyewe...munaboa
 
Poleni na kusubiria reduntant,hayo ndo maisha.Jifikirie kujiajiri zaidi kuliko kufikiria kuajiriwa itakusaidia zaidi.Fuatilia forum za ujasiria mali humu jf zitakusaidia sana.
Na hivi hamtoki mikono mitupu.Ukiweza pita na mkopo mkubwa ufungue biashara yako wakati ukiendelea kusubiria
 
we niite tu mwehu wakati hujui mtu halisi mwenye hii ID. kuna maboss zako hapa wanakuangalia tu.

hahhahh...mzee una biti.....sasa kilichobaki kuangalia anatumia server gani.... na kama ya kazini ndio ishakula kwake...
 
[/B][/COLOR]hahhahh...mzee una biti.....sasa kilichobaki kuangalia anatumia server gani.... na kama ya kazini ndio ishakula kwake...

we muache atarudi hapa hapa JF kutafuta nafasi ya kazi.
 
Mpunguzwe tu mmezidisha dharau mnapokuwa kwenye vidirisha hivyo si mlifikiri bank ya baba yenu hiyo. Mtu umetoka zako kusota umekuja na vijisenti vyako ujihifadhie, unakikuta kidada kimekolea mkorogo kama jini kinaongea na simu kiulize swali sasa hizo dharau! Mpungue tu labda wataobaki wana nidhamu kidogo.

hahaha

vimkorogo km vijini

wape mkuu
 
Hichi kidada du na avatar lake alivyotoa mimacho kinaonekana ni kimeo period!!! Apunguzwe tu
 
Itakua nyie ndo wale wenye shahada za sociology au political science mnakimbilia kufanya kazi bank,hapo redundancy ikipita lazima ikukumbe.
 
Back
Top Bottom