NBC Bank Tanzania

NBC Bank Tanzania

Loh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara.

Mbona majanga jamani.

Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu.

Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.

Ukitaka kujiajir nishtue nikupe tips za miradi
 
Loh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara.

Mbona majanga jamani.

Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu.

Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.

Pole,ila hayo ni khali ya kawaida sana kwa dunia ya sasa,ushauri wangu ukipata kazi sehemu usifanye kazi kama utakaa hapo milele na hapo inakuja issue ya kujituma ili uijue kazi unayofanya ikusaidie for your next job.Kama ulisikia "economic crisis" basi imefika hapo ulipo.Kuna kitu kinaitwa "no fault termination" or "layoff" so usishangae sana.Kama umepata experience ya kutosha itakusaidie otherwise 'take risk' employ yourself a.k.a go solo.
Kama mchangiaji mmoja alivyokwambia "only those who will adapt changes will survive" ,embrace the changes.
 
Loh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara.

Mbona majanga jamani.

Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu.

Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.


wala wateja hatushangai, kwa customer service mbovu and poor banking system...NBC leads all banks
 
...mizinga melu at work,lazima awanyonyoe tu...
 
yan ulivyo busy na JF tena muda kazi itatumika moja ya vigezo vya kukupumzisha.

hahaha mkuu umesahau wanawake wanasifika kwakuhimiri multitask functions:biggrin1:
 
io benk lazima ipate hasara maana imedumaa huduma zake.yaaan inaendeshwa kienz za nyerer
 
Hiyo bank inaelekea shimoni yaani hata huduma zao kwa sasa ni hovyo sana ukienda makao makuu hapafai.
 
Loh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara.

Mbona majanga jamani.

Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu.

Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.

mpunguzwe tu maana mna malingo mno unakuta jitu linanunua gari halafu linaishi nyumba ya kupanga kibarua kikinuka linaanza kusingizia majungu
maisha ni kujipanga mapema na kuacha mambo ya ulimbukeni
 
Nan amekwambia na umbea wako au na ww hua unahaongwa!
 
Nakupa msemo mmoja. if you cant take risk, you are working for someone who does take risk. if he fails you fail. Fursa ziko nyingi ukifungua mawazo yako
 
Back
Top Bottom