Ngondombole
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 646
- 184
Lakini sheria za Ajira za Tanzania zinafahamika, huwezi fukuzwa kazi kizembezembe bila kupewa CHAKO. Usijali wakulipe afu uanze bussiness....!!
Loh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara.
Mbona majanga jamani.
Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu.
Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.
acha uoga we mtoto,kwan wamekwambia watakupunguza wewe?mi nilfkir tayar ushapunguzwa kumbe unahisi na ww utakuwepo,piga kaza songa mbele,competent cku zote haachwi,labda aumweLoh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara. Mbona majanga jamani. Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu. Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.
Loh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara.
Mbona majanga jamani.
Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu.
Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.
Ndiyo nini hicho?hakuna kitu cha magumash...nina post graduate yangu..cjui hata mtu hapa...niliomba kazi na nikaitwa kwa interview..ila mwaka jana walipunguza watu department flani...ambao wana kila kitu kwa kweli..ndio maana uoga unaingia...na bora wangepunguza kwa stail ya kuwafanyia interview upya...but nasikia wanakuja na majina yao tayar mknoni...kama haumo subiri barua yako..
kwa jina la Yesu utabaki kazini. hakuna silaha yoyote itakayoinuka juu yako.usiogope .Mungu ni mwema.matatizo gani?sina njaa ww...na mpz ninaye kajaa lete...nipishe huko
Unapenda aliyetoka kwenye matatizo ili uoe matatizo na upate matatizo square
Vipi binti, au wewe ndiye yule mwenye tabia mbaya sana wa customer care uliyenifokea juzi? Kama ni wewe, Mungu yuko karibu kujibu maombi yangu.
kwa jina la yesu utabaki kazini. Hakuna silaha yoyote itakayoinuka juu yako.usiogope .mungu ni mwema.
Ndiyo nini hicho?[/QUOTE)
ULIKIMBIA UMANDE AU?AU WW UNA DIV 5?OK NGOJA NIKUANDIKIE HERUFI MOJA MOJA..POST GRADUATE DIPLOMA IN LAW,MEDIATION AND ARBITRATION...ULIZA KINGINE...
wahudumu wa nbc mna nyodo sana hapo makao makuu hata kwenye matawi yenu hasa mabinti fukuzweni kazi hizo hziwafai nawachukia kama nini
mikazó;8741229 said:acha uoga we mtoto,kwan wamekwambia watakupunguza wewe?mi nilfkir tayar ushapunguzwa kumbe unahisi na ww utakuwepo,piga kaza songa mbele,competent cku zote haachwi,labda aumwe
mwehu weweyan ulivyo busy na jf tena muda kazi itatumika moja ya vigezo vya kukupumzisha.
mwehu wewe
hakuna kitu cha magumash...nina post graduate yangu..
kwa jina la Yesu utabaki kazini. hakuna silaha yoyote itakayoinuka juu yako.usiogope .Mungu ni mwema.