Ni kweli mkuu lakini hii app,nilishailipia nilipokua natumia android ambapo email niliyoitumia kwa android ni same na hii niliyoitumia AppStore,sasa kwanini wakate na huku wakati developer anasema email ambayo ilishawahi kununua haitahitaji kulipia tena app hiyo? Ishu yangu ipo hivyo